chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
BwegeFicha upumbavu wako wewe....
BwegeFicha upumbavu wako wewe....
Tupe takwimu zilizo nyoka ili tusemezane vizuri na wanachukua chako mapema.View attachment 2116381
Walianza na benki ya wanawake wakagawana hela bila collateral, they literally chewed a whole institution to the ground, hii ya halmashauri waligawana billion 42, 65% ya hiyo hawajarejesha. Panya wa CCM hawana jinsia, wanatafuna hadi magunzi
Mradi tu wasivimbiwe.Kauli mbiu, "kila mmoja kula kwa urefu wa kamba yake".
Sasa wasipovimbiwa titajuaje kama wamekula zaidi ya urefu wa kamba yao?Mradi tu wasivimbiwe.
Hakuna ambae sio jambazi ccm,wote majambawaziTaarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.
Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.
Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.
Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
Haya sasa kuchafuana kumeanzaTaarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.
Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.
Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.
Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
WameumbukaTaarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.
Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.
Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.
Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
Jamani tuwe tunaangalia hata sura tu.huyu sura yake ilivyochangamka hivyo afisa wa BLAC tu anauwezo wa kumgundua akimpa mkopo lazima asumbue marejesho,sembuse ndio mnampa asimamie hayo mamilioni.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Temeke bi Almish HassalView attachment 2116092