CCM Temeke ndani ya Kashfa nzito

E04BC9B8-BF3F-4922-8C9E-72CA2737AF38.jpeg

Walianza na benki ya wanawake wakagawana hela bila collateral, they literally chewed a whole institution to the ground, hii ya halmashauri waligawana billion 42, 65% ya hiyo hawajarejesha. Panya wa CCM hawana jinsia, wanatafuna hadi magunzi
 
View attachment 2116381
Walianza na benki ya wanawake wakagawana hela bila collateral, they literally chewed a whole institution to the ground, hii ya halmashauri waligawana billion 42, 65% ya hiyo hawajarejesha. Panya wa CCM hawana jinsia, wanatafuna hadi magunzi
Tupe takwimu zilizo nyoka ili tusemezane vizuri na wanachukua chako mapema.
 
99% ya wanasiasa ni majizi ya kutupwa, sasa huyu ndio umuweke kwenye kitengo cha maana, ndio hawa wanakuwa mabilionea baada ya miaka mi5
 
Hivi kuna mtu amekaa kwa akili yake timamu anaamini ccm na viongozi wake wapo kwaajili ya wananchi?atakua hana akili..ccm na viongozi wake ni genge la wezi..lilijificha kwenye siasa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Taarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.

Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.

Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.

Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
Hakuna ambae sio jambazi ccm,wote majambawazi
 
Taarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.

Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.

Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.

Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
Haya sasa kuchafuana kumeanza
 
Hii inchi upigaji kila kona mtu akipata upenyo kidogo ana kata mpk kamba
 
Hiyo mikopo ni Siasa ..Idara ya Maendeleo ya Jamii ,itasimamiaje Mikopo ilhalinkuna Maafisa Biashara...wanaobahaatika kupya Hiyo Mikopo ni lazima wawe Wana mafungamano na CCM!
Vikundi vingine ni vikundi hewa vya Wanasiasa!
Hilo limeenea nchi nzima!
 
Taarifa zinazojiri mtandaoni sasa ni tuhuma za ubadhirifu uliofanywa na Mweyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke bibie Almishi Hassal, ambaye anatuhumiwa kuunda vikundi hewa vya wanawake na vijana kisha kufanikisha uchotwaji wa zaidi ya Tshs milioni 300 za Halmashauri ya Temeke zilizopaswa kukopeshwa Wanawake, Vijana na Walemavu.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, Almish anatumia madaraka yake kuwatishia watendaji wa Halmashauri wanaofuatilia marejesho kutoka kwa vikundi hivyo hewa.

Sambamba na taarifa hizo, huyu Mwenyekiti wa Wilaya pia alisimama kidete kumtetea yule Mwenyekiti wa Mtaa wa moja ya Mitaa ya Kata ya Toangoma aliyetuhumiwa wizi wa Tshs milion 12 ambapo hadi leo kesi ipo mahakama ya Temeke ikipigwa danadana ili kumlinda mwenyekiti yule mwizi.

Pia hata wananchi wa mtaa ule walipopeleka pendekezo na saini zao kumkataa Mwenyekiti wa Mtaa kwa sababu ana tuhuma zingine za wizi wa milion zaidi ya 20 za wananchi alitumia madaraka yake kuzuia Wilaya kutimiza wajibu wake kwa wananchi hao.

Chanzo.
DarMpya BlogView attachment 2116089
Wameumbuka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hizo hela huwa Zinatolewa WAJANJA WALEE hakunaga cha maana... kuanzia upatikanaji wake mpaka matumizi ni janja janja
 
Kwa kifupi mikopo hiyo haipo kwa ajili ya kuwanufaisha watanzania wote bali inawanufaisha wanaccm pekee na wanapeana kwa kujuana tu
 
Back
Top Bottom