Tetesi: CCM si wamoja, hamna siri. Kumbe kamati kuu yenu iligawanyika pakubwa kuhusu sakata la kufukuzwa Membe?

chama makini kinawategemea polisi wakimbie na masanduku ya kura kama walivyofanya KINONDONI.
Chama makini kinawanunua watu ili wakipigie kura kama walivyofanya UKONGA pale kila shahada ilinunuliwa kwa 10000/
hujui hata maana ya umakini wewena
nani yule aliyempa sumu mzee MANGULA?
kama kuna demokrasia huko mbona ime PRINTIWA FOMU MOJA TU
Halafu hii tsh 10,000/= wanaipenda sana ni ya mda mrefu sana, wenyewe wanakuwepo pale maeneo ya kupigia kura unavuta chako, ndio unaenda kupiga kura, na ten yako mfukoni.
 
Uzuri au ubaya wa CCM - hata hao wanaojidai eti walipinga Membe kufukuzwa, hawana balls za kutoka hadharani na kusema hilo wala hawana ubavu wa kumfuata Membe huko alipo. How come Magufuli walimpitisha kwa kura 100%?

Maisha yanaendelea. Na mtashangaa huyohuyo Membe anaomba kurudi alipotoka baada ya miaka michache tu. Siasa za Bongo zina wenyewe na it is just a matter of time
 
Uzuri au ubaya wa CCM - hata hao wanaojidai eti walipinga Membe kufukuzwa, hawana balls za kutoka hadharani na kusema hilo wala hawana ubavu wa kumfuata Membe huko alipo. How come Magufuli walimpitisha kwa kura 100%?

Maisha yanaendelea. Na mshangaa huyohuyo Membe anaomba kurudi alikotoka baada ya miaka michache. Siasa za Bongo zina wenyewe na it is just a matter of time
ZZK alifukuwa 2015 na mmoja wa walioshadadia afukuzwa ni Tundu.
2015, CDM walimwona ZZK kama msaliti. Leo 2020, Tundu amekwenda kwenye mkutano wa ACT ambao kiongozi wake mkuu ni ZZK na akawapongeza.

Tundu na wenzake CDM hawajawahi kutuambia ZZK ni msaliti kwa lipi (kwani tuhuma zake hazikuwa na mashiko.)
Je, ni lini kaacha kuwa msaliti mpaka wakaenda kwenye Mkutano Mkuu wa ACT??

JPM anajiuza kwa deliverables na tunahitaji kumwamini kwa next 5years.
Ila anahitaji kupata watu wenye IQ ya kufikiria namna rahisi ya Tanzania ya viwanda yenye kuzalisha ajira, yenye kukuza agro-processing and manufacturing ili kuongeza exports; angefika mbali sana kwa muda mfupi hasa kwa kutumia technology.
Rejea...
Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Huu hapa chini ulikuwa ushauri wangu wakati watu wanayangaza nia kabla hata wajumbe hawajafanya yao
Ubunge wa CCM ni "FURSA ya Kutoka" kuwa Waziri, Kupata Ajira ya miaka 5 au mengine mengine
 
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.

Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.

Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.

Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.

My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.
Ni hali ya kawaida kuwa na tofauti ya maono na msimamo. Maamuzi ya mwisho huwa ni ya juma hata kama hukutaka.
 
Uzuri au ubaya wa CCM - hata hao wanaojidai eti walipinga Membe kufukuzwa, hawana balls za kutoka hadharani na kusema hilo wala hawana ubavu wa kumfuata Membe huko alipo. How come Magufuli walimpitisha kwa kura 100%?

Maisha yanaendelea. Na mtashangaa huyohuyo Membe anaomba kurudi alipotoka baada ya miaka michache tu. Siasa za Bongo zina wenyewe na it is just a matter of time
Uko sahihi ndg mdau. CCM wana unafiki mwingi sana. Kama wao wana demokrasia kama wanavyodai, mbona walicchapisha fomu moja tu ya uraisi? By they way nami siamini pia kwamba mzee baba anapendwa 100% na kila mwana CCM. Huku mtaani wanasikika sana wakilalamika kwamba kuna mambo hayaendi sawa. Lakini wakifika mkutanoni wanampa 100% ya kura.
 
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.

Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.

Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.

Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.

My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.
Wanafiki kweli, wakitoka nje huku utadhani malaika
 
Back
Top Bottom