CCM ninayoijua siyo hii. Kamati ya Maadili ya CCM iko wapi?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,903
51,345
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
 
IMG_20211218_014906.jpg
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala haviliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Unauhakika wewe sio punguani?.
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala haviliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Tupo bize kwenye uzinduzi wa album ya harmo
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala haviliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Kichaa kinakuandama.
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Akiba mia chimbo cha Habari ,usimwambie mtu lakini.
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Makonda njoo hapa ,hakuna cha kuzunguka hapa , huyu dogo aliikubali pisi moja hivi , alafu akaichana kwamba yupo mke mzuri kuliko yeye , wakati pisi ilikua inaongea kwa bashasha tele
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Kuna memba amedai kuwa kwa matendo yake amemvua nguo mwenyekiti bado ni utatata mtupu
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Ilisha kufa fo fo fo...
 
Fukuzeni huyu mtu
Wewe si nyumbu wa chadema wewe? Unawaambia ccm wafukuze mwanachama wao wewe kama nani?
Nyie manyumbu tunawashauri (hata sisi tusiokuwa na vyama) mrudishe kwenye katiba yenu kifungu cha ukomo wa uongozi (kilichoondolewa kinyemela) ili mfalme mbowe aachie ngazi, mnakataa katakata. Mnasema mambo ya ngoswe tumwachie ngoswe mwenyewe!
Sasa wewe nyumbu wa chadema unapata wapi ujasiri wa kuwaambia ccm wafukuzane? Mambo ya ccm, waachie ccm wenyewe. We jali mambo ya huko kwenye chadema yenu ambako lisu amesema kumejaa rushwa kwenye uchaguzi.
 
Sasa ikiwa wewe umeshindwa hata kumtaja, kamati itajuaje Ili imtumbue?

Au unaongelea upinzani!!
 
Hivi iko wapi ile Kamati ya maadili ya ccm iliyowahi kuwachukulia hatua kali akina Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT taifa), Msambatavangu (akiwa mwenyekiti UWT mkoa wa Iringa), na iliyowapa kalipio kali mkatibu wakuu wastaafu wa ccm taifa, Abdulrahman Kinana na mzee Yusufu Makamba?

Kwanini hivi sasa hii Kamati inaonekana kusuasua kumchukulia hatua kali mtu ambaye anaonekana wazi kumdhalilisha mhe rais waziwazi kwa kulibagaza baraza lake la mawaziri? Yaani mtu mmoja anajifanya kuwa na taarifa nyeti za nchi kuliko rais, na kuthubutu kumpa taarifa kuwa anatukanwa na mawaziri wake??

Mtu anayejitapa kuwa yeye na merehemu damudamu na hatowcha kufuata nyayo zake? Hee! CCM mnakwama wapi?

Fukuzeni huyu mtu ana-set precedence mbaya. Kuna siku ataibuka kichaa atakuja kuitumia hii precedence kufanya maovu zaidi na mtashindwa kumshughulikia. Aibu haina kwao. Nyoka hakaribishwi ndani na wala havumiliwi.

Huyu mtu kaanzia mbali sana:-
1. Alimpiga ngwala mzee Warioba.
2. Alimtukana Lowasa.
3. Alitaka kumpiga Nape na bastola.
4. Amelisingizia baraza la mawaziri kuwa linamtukana mhe rais.
5. Anatukana na kudhalilisha watumishi hovyo.
6. N.k.

Hakuna aliye salama.
Kamati ya maadili ndani ya Chama, Mwenyekiti wake ndiye aliyemteua na hasikii wala haambiwi,unataka wajumbe wasemeje mkuu?
 
Back
Top Bottom