CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,059
- 4,224
Habari Tanzania,
Kama barua iliyoandikwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Mafunzo & Uenezi Cde Amos Gabriel Makalla inavyojieleza.
Tuendelee kuiombea CCM kwani ni hakika bila CCM imara nchi hii itayumba sana.
Kiduma Chama Cha Mapinduzi.
=======
UPDATES 001.
DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, ZANZIBARKama barua iliyoandikwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Mafunzo & Uenezi Cde Amos Gabriel Makalla inavyojieleza.
Tuendelee kuiombea CCM kwani ni hakika bila CCM imara nchi hii itayumba sana.
Kiduma Chama Cha Mapinduzi.
=======
UPDATES 001.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar tarehe: 19 Mei 2024
Dkt Mwinyi makamu mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwa na Mzee Abdulrahim Kinana pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Emmanuel Nchimbi katika kikao maalum Visiwani Zanzibar.
=====
UPDATES 002.
Katibu Mkuu Dkt Emmanuel Nchimbi akifafanua agenda za
kikao.
===
UPDATES 003.
Kamati Kuu imemteua Mrs. Suzan Peter kuwa Mrithi wa Jokati Mwegelo katika nafasi ya Katibu Mkuu UWT.
KAZI IENDELEE