CCM must go for the year 2020!

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Hiki chama kinalinagamiza sana taifa hili na kuliingiza kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi kisiasa na kijamii. Hatuwezi kuwaelewa watu ambao hawana nia njema na watoto wa maskini wanaokosa mikopo vyuoni, hawezi kuwaonea haya watu ambao wanavuruga biashara za watu kwa makusudi, hatuwezi kuwaonea haya watu wanaolea ubaguzi na upendeleo wa wazi wazi.


Nini Cha kufanya?
1.Katiba Mpya, haya ni mahitaji ya wananchi wote na sio wanasiasa flani flani na wala sio maamuzi ya mtu flani.

2.Lazima tuwaambie watawala kwa namna yeyote ile suala la mikutano ya kisiasa ni matakwa ya kikatiba na sio kauli au ruhusa za wanasiasa flani flani.

3.Lipumba na genge lake lazima waondoke CUF, kutumiwa kufifisha nguvu ya upinzani nchini hatutamwelewa na hatumtaki.

4.Mh Zitto na washirika wake lazima wakae pamoja na kuonesha Dhamira ya kweli kuwa wao ni wapinzani ili kuunganisha nguvu ya pamoja.

5. Lazima itumike mifumo na mikakatika yeyote ili kueneza kwa kasi itikadi za upinzani kupenya kila mahali nchini hasa maeneo ya vijijini ili kutahisisha kazi kuelekea 2020.

6.Kama kuna ugumu kwenye nafasi ya urais 2020 basi nguvu uhamie kwenye nafasi za ubunge, upinzani ukubaliane kwa pamoja mapema sana hasa wakati huu kuweka wagombea watakaoungwa mkono na wananchi wa vyama vyote ili kama kuna matatizo yatatuliwe mapema.Tusikubali wagombea wa ubunge wa CCM kupata kura hata kumi kwa namna yeyote ile. Kama wabunge wa upinzani watakua wengi bungeni basi Sipika na Waziri mkuu watatoka bungeni na bunge litadhibitiwa tofauti na sasa, Hoja zote za serikali lazima zipitishwe na bunge kutoka upinzani na hslutakua na mhimili uliojichmbia zaidi tena.

7.Vyamba vya upinzani sasa ni kutengeneza na kuandaa wapiga kura na sio wafuasi,hili ni lakufanyiwa kazi haraka ipasavyo.


CCM MUST GO 2020!
 
Tulia wewe kuna timu inasukwa kwa umakini na wababe wa kisiasa mamafia wa kisiasa huhakikisha 2020 kuna cha kiambulie 14% na 23% ya kura za urais so jiandae kisaikolojia kuna mtu anakwenda kushinda kwa kishindo hao wengine bado sana kukabidhiwa hii nchi inahitajika mikakati na maono siyo matamko yasiyo kuwa na tija kajipangeni
 
Wananchi wameshaichoka CCM na muda wowote wapo tayari kwa mabadiliko lakini wanaotia shaka ni hao wanaohubiri mabadiliko kutoka upande huo.......

I can’t imagine anaondoka CCM anaingia LOWASA na Sumaye........its a big political joke

SIASA ZA NCHI HII ZIMESHAPOTEZA MUELEKEO
 
CCM ni janga la Taifa mkuu wao katuaibisha sana kimataifa baada ya kuchoma vifaranga vya kenya noma sana hii Albadir naona inafanya kazi



Swissme
 
Tanzania ni ileile, Watanzania ni walewale, unafiki ni uleule, si kwa Chadema ,Ccm, Act, na vinginevyo. Chadema ya Dr. Slaa na Zitto siyo ya leo, Chadema siku hizi kimekuwa chama cha jukimbizia maovu na mambo ambayo ni ya kinafiki, majungu na uroho wa madaraka. Mwacheni JPM aendelee kuinyoosha nchi, tuache unafiki wa kwenye mitandao.
 
Wewe acha porojo. CCM haiwezi kuondolewa kwa maneno matupu na propaganda za kitoto kama zako. Tangu 1995 mnaendeleza mawazo ya kijinga ya kuamini kwamba mtaiondoa CCM kwa mizaha ya kusimamisha waliokataliwa CCM.
 
Wewe acha porojo za kijinga na kilofa. CCM haiwezi kuondolewa kwa maneno matupu na propaganda za kitoto kama zako. Tangu 1995 mnaendeleza mawazo ya kijinga ya kuamini kwamba mtaiondoa CCM kwa mizaha ya kusimamisha magalasa na makapi ya CCM. Muwe na akili japo kidogo.
Kwahiyo CCM itatawala milele? Unafahamu kilichotokea Ghana 2017
 
kwa hiyo bila katiba mpya ccm haiwezi kuondoka?
Mikutano ya kisiasa ilikuwepo toka kuanzishwa kwa vyama vingi, lakini bado ccm ipo madarakani,
unasema lipumba na genge lake LAZIMA waondoke pale CUF, lakini hujaonesha hizo njia za `lazima' unazotaka kuzitumia kuwaondoa,
unasema zitto na wenzake waungane ktk mchakato wa kuing'oa ccm, ukawa imeishiwa pumzi? huyu jamaa si ndiye msaliti?
Bado ni ukweli usiopingika kwamba, mchawi wa upinzani nchi hii ni wapinzani wenyewe. Mnataka sana kuungana lakini maslahi binafsi ndicho kinawauwa.
mf: uchaguzi uliopita mliwaaminisha watu kwamba mnakwenda kuing'oa ccm kwa kutumia ukawa lakini mkafeli.
si ajabu leo wenje angekuwa mbunge wa jimbo la nyamagana, lakini kutokana na uroho wa madaraka, kila chama kikasimamisha mgombea, mkaishia kuzigawana kura za upinzani, then mkalialia mmeibiwa kura.
Anaerudisha nyuma maendeleo ya upinzani nchi hii na wapinzani wenyewe.
 
ccm ni chama cha makafiri na mafirauni.
Hakina hadhi wala sifa ya kuwa chama tawala kwa ridhaa ya wananchi; isipokuwa kwa hila, ulaghai na mabavu ya dola tu.
 
Screenshot_20171117-105540.png
 
Wewe acha porojo za kijinga na kilofa. CCM haiwezi kuondolewa kwa maneno matupu na propaganda za kitoto kama zako. Tangu 1995 mnaendeleza mawazo ya kijinga ya kuamini kwamba mtaiondoa CCM kwa mizaha ya kusimamisha magalasa na makapi ya CCM. Muwe na akili japo kidogo.

Nileze ni nchi gani duniani aliibuka mpinzani aliyekulia upinzani akaongoza taifa? Hao marais wote wa Nigeria,Ghana na kwingineko walitokea ruling parts.
Haya ndio madhara ya kujifanya mnajua kuchambua siasa,
 
kwa hiyo bila katiba mpya ccm haiwezi kuondoka?
Mikutano ya kisiasa ilikuwepo toka kuanzishwa kwa vyama vingi, lakini bado ccm ipo madarakani,
unasema lipumba na genge lake LAZIMA waondoke pale CUF, lakini hujaonesha hizo njia za `lazima' unazotaka kuzitumia kuwaondoa,
unasema zitto na wenzake waungane ktk mchakato wa kuing'oa ccm, ukawa imeishiwa pumzi? huyu jamaa si ndiye msaliti?
Bado ni ukweli usiopingika kwamba, mchawi wa upinzani nchi hii ni wapinzani wenyewe. Mnataka sana kuungana lakini maslahi binafsi ndicho kinawauwa.
mf: uchaguzi uliopita mliwaaminisha watu kwamba mnakwenda kuing'oa ccm kwa kutumia ukawa lakini mkafeli.
si ajabu leo wenje angekuwa mbunge wa jimbo la nyamagana, lakini kutokana na uroho wa madaraka, kila chama kikasimamisha mgombea, mkaishia kuzigawana kura za upinzani, then mkalialia mmeibiwa kura.
Anaerudisha nyuma maendeleo ya upinzani nchi hii na wapinzani wenyewe.
Kama huelewi si bora ukasoma uzi na kukaa kimya? Wa wapi wewe?
 
Hivi ninyi watu mnaazima akili kutoka wapi?
Nileze ni nchi gani duniani aliibuka mpinzani aliyekulia upinzani akaongoza taifa? Hao marais wote wa Nigeria,Ghana na kwingineko walitokea ruling parts.
Haya ndio madha ya watoto wadogo kujifanya mnajua kuchambua siasa, chuo hujamaliza unajifanya mchambuzi khaa!! Very low
Inategemea unachukua watu wa aina gani kutoka Chama Tawala. Hapa Tanzania kosa linalofanyika ni kuchukua watu wasio na integrity kwa jamii na kuwafanya Wagombea. Hapo ndio nasema kwa utoto wenu hamtakwenda IKULU kamwe. Halafu uwe na adabu. Mimi ni zaidi ya baba yako huwezi kuniandika ujinga wako. Huko Ghana na kwingineko wameshinda watu wenye integrity kutoka Chama Tawala na siyo mafisadi kama wa hapa.
 
Hiki chama kinalinagamiza sana taifa hili na kuliingiza kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi kisiasa na kijamii. Hatuwezi kuwaelewa watu ambao hawana nia njema na watoto wa maskini wanaokosa mikopo vyuoni, hawezi kuwaonea haya watu ambao wanavuruga biashara za watu kwa makusudi, hatuwezi kuwaonea haya watu wanaolea ubaguzi na upendeleo wa wazi wazi.


Nini Cha kufanya?
1.Katiba Mpya, haya ni mahitaji ya wananchi wote na sio wanasiasa flani flani na wala sio maamuzi ya mtu flani.

2.Lazima tuwaambie watawala kwa namna yeyote ile suala la mikutano ya kisiasa ni matakwa ya kikatiba na sio kauli au ruhusa za wanasiasa flani flani.

3.Lipumba na genge lake lazima waondoke CUF, kutumiwa kufifisha nguvu ya upinzani nchini hatutamwelewa na hatumtaki.

4.Mh Zitto na washirika wake lazima wakae pamoja na kuonesha Dhamira ya kweli kuwa wao ni wapinzani ili kuunganisha nguvu ya pamoja.

5. Lazima itumike mifumo na mikakatika yeyote ili kueneza kwa kasi itikadi za upinzani kupenya kila mahali nchini hasa maeneo ya vijijini ili kutahisisha kazi kuelekea 2020.

6.Kama kuna ugumu kwenye nafasi ya urais 2020 basi nguvu uhamie kwenye nafasi za ubunge, upinzani ukubaliane kwa pamoja mapema sana hasa wakati huu kuweka wagombea watakaoungwa mkono na wananchi wa vyama vyote ili kama kuna matatizo yatatuliwe mapema.Tusikubali wagombea wa ubunge wa CCM kupata kura hata kumi kwa namna yeyote ile. Kama wabunge wa upinzani watakua wengi bungeni basi Sipika na Waziri mkuu watatoka bungeni na bunge litadhibitiwa tofauti na sasa, Hoja zote za serikali lazima zipitishwe na bunge kutoka upinzani na hslutakua na mhimili uliojichmbia zaidi tena.

7.Vyamba vya upinzani sasa ni kutengeneza na kuandaa wapiga kura na sio wafuasi,hili ni lakufanyiwa kazi haraka ipasavyo.


CCM MUST GO 2020!

Hizi lugha siyo zetu, bora ungeandika Kiswahili chetu. Kichwa cha habari kipo tofauti na unachokisema kwenye bandiko lako. CCM must go for year 2020, inamaanisha CCM must stand/contest/contend in the year 2020 which is obvious...
 
Hiki chama kinalinagamiza sana taifa hili na kuliingiza kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi kisiasa na kijamii. Hatuwezi kuwaelewa watu ambao hawana nia njema na watoto wa maskini wanaokosa mikopo vyuoni, hawezi kuwaonea haya watu ambao wanavuruga biashara za watu kwa makusudi, hatuwezi kuwaonea haya watu wanaolea ubaguzi na upendeleo wa wazi wazi.


Nini Cha kufanya?
1.Katiba Mpya, haya ni mahitaji ya wananchi wote na sio wanasiasa flani flani na wala sio maamuzi ya mtu flani.

2.Lazima tuwaambie watawala kwa namna yeyote ile suala la mikutano ya kisiasa ni matakwa ya kikatiba na sio kauli au ruhusa za wanasiasa flani flani.

3.Lipumba na genge lake lazima waondoke CUF, kutumiwa kufifisha nguvu ya upinzani nchini hatutamwelewa na hatumtaki.

4.Mh Zitto na washirika wake lazima wakae pamoja na kuonesha Dhamira ya kweli kuwa wao ni wapinzani ili kuunganisha nguvu ya pamoja.

5. Lazima itumike mifumo na mikakatika yeyote ili kueneza kwa kasi itikadi za upinzani kupenya kila mahali nchini hasa maeneo ya vijijini ili kutahisisha kazi kuelekea 2020.

6.Kama kuna ugumu kwenye nafasi ya urais 2020 basi nguvu uhamie kwenye nafasi za ubunge, upinzani ukubaliane kwa pamoja mapema sana hasa wakati huu kuweka wagombea watakaoungwa mkono na wananchi wa vyama vyote ili kama kuna matatizo yatatuliwe mapema.Tusikubali wagombea wa ubunge wa CCM kupata kura hata kumi kwa namna yeyote ile. Kama wabunge wa upinzani watakua wengi bungeni basi Sipika na Waziri mkuu watatoka bungeni na bunge litadhibitiwa tofauti na sasa, Hoja zote za serikali lazima zipitishwe na bunge kutoka upinzani na hslutakua na mhimili uliojichmbia zaidi tena.

7.Vyamba vya upinzani sasa ni kutengeneza na kuandaa wapiga kura na sio wafuasi,hili ni lakufanyiwa kazi haraka ipasavyo.


CCM MUST GO 2020!
Headline haina maana uliyokusudia , bora kutumia kiswahili tu
 
Back
Top Bottom