MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Hiki chama kinalinagamiza sana taifa hili na kuliingiza kwenye matatizo makubwa ya kiuchumi kisiasa na kijamii. Hatuwezi kuwaelewa watu ambao hawana nia njema na watoto wa maskini wanaokosa mikopo vyuoni, hawezi kuwaonea haya watu ambao wanavuruga biashara za watu kwa makusudi, hatuwezi kuwaonea haya watu wanaolea ubaguzi na upendeleo wa wazi wazi.
Nini Cha kufanya?
1.Katiba Mpya, haya ni mahitaji ya wananchi wote na sio wanasiasa flani flani na wala sio maamuzi ya mtu flani.
2.Lazima tuwaambie watawala kwa namna yeyote ile suala la mikutano ya kisiasa ni matakwa ya kikatiba na sio kauli au ruhusa za wanasiasa flani flani.
3.Lipumba na genge lake lazima waondoke CUF, kutumiwa kufifisha nguvu ya upinzani nchini hatutamwelewa na hatumtaki.
4.Mh Zitto na washirika wake lazima wakae pamoja na kuonesha Dhamira ya kweli kuwa wao ni wapinzani ili kuunganisha nguvu ya pamoja.
5. Lazima itumike mifumo na mikakatika yeyote ili kueneza kwa kasi itikadi za upinzani kupenya kila mahali nchini hasa maeneo ya vijijini ili kutahisisha kazi kuelekea 2020.
6.Kama kuna ugumu kwenye nafasi ya urais 2020 basi nguvu uhamie kwenye nafasi za ubunge, upinzani ukubaliane kwa pamoja mapema sana hasa wakati huu kuweka wagombea watakaoungwa mkono na wananchi wa vyama vyote ili kama kuna matatizo yatatuliwe mapema.Tusikubali wagombea wa ubunge wa CCM kupata kura hata kumi kwa namna yeyote ile. Kama wabunge wa upinzani watakua wengi bungeni basi Sipika na Waziri mkuu watatoka bungeni na bunge litadhibitiwa tofauti na sasa, Hoja zote za serikali lazima zipitishwe na bunge kutoka upinzani na hslutakua na mhimili uliojichmbia zaidi tena.
7.Vyamba vya upinzani sasa ni kutengeneza na kuandaa wapiga kura na sio wafuasi,hili ni lakufanyiwa kazi haraka ipasavyo.
CCM MUST GO 2020!
Nini Cha kufanya?
1.Katiba Mpya, haya ni mahitaji ya wananchi wote na sio wanasiasa flani flani na wala sio maamuzi ya mtu flani.
2.Lazima tuwaambie watawala kwa namna yeyote ile suala la mikutano ya kisiasa ni matakwa ya kikatiba na sio kauli au ruhusa za wanasiasa flani flani.
3.Lipumba na genge lake lazima waondoke CUF, kutumiwa kufifisha nguvu ya upinzani nchini hatutamwelewa na hatumtaki.
4.Mh Zitto na washirika wake lazima wakae pamoja na kuonesha Dhamira ya kweli kuwa wao ni wapinzani ili kuunganisha nguvu ya pamoja.
5. Lazima itumike mifumo na mikakatika yeyote ili kueneza kwa kasi itikadi za upinzani kupenya kila mahali nchini hasa maeneo ya vijijini ili kutahisisha kazi kuelekea 2020.
6.Kama kuna ugumu kwenye nafasi ya urais 2020 basi nguvu uhamie kwenye nafasi za ubunge, upinzani ukubaliane kwa pamoja mapema sana hasa wakati huu kuweka wagombea watakaoungwa mkono na wananchi wa vyama vyote ili kama kuna matatizo yatatuliwe mapema.Tusikubali wagombea wa ubunge wa CCM kupata kura hata kumi kwa namna yeyote ile. Kama wabunge wa upinzani watakua wengi bungeni basi Sipika na Waziri mkuu watatoka bungeni na bunge litadhibitiwa tofauti na sasa, Hoja zote za serikali lazima zipitishwe na bunge kutoka upinzani na hslutakua na mhimili uliojichmbia zaidi tena.
7.Vyamba vya upinzani sasa ni kutengeneza na kuandaa wapiga kura na sio wafuasi,hili ni lakufanyiwa kazi haraka ipasavyo.
CCM MUST GO 2020!