LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 11,788
- 15,404
kwa tume ipi?
Ni kweli kuwa kuna kura za chuki, na uchaguzi wowote hizo lazima ziwepo tuu. Wapo ambao 2015 hawakuipa Chadema kura kwa chuki za kuondoka kwa Slaa pia.safari hii atapata 10m.....
usisahau lowassa alipata kura kutokana na chuki kwa ccm sio kwa sababu ya usafi wake
Lowassa ni mchafu kiasi ambacho kwa akili za kawaida kutojua au kutambua ni mchafu unajidhalilisha wewe, anaweza hata akakuvua nguo ukabaki kimya kwa mahaba hayo
ccm ni wachafu, lowassa ni walewale mkuu...kuwa mkweli
Slaa angepata kura 4m mwaka 2015, mwaka 2020 angeongeza..2025 nchi ingeenda upinzani