Tanzania bana...very kontradikitingi
Wananchi tunaambiwa tutii sheria bila shuruti
viongozi wanavunja sheria bila shuruti...
Kuna mtu alikuwa anauza ARV feki, hadi leo hajachukuliwa hatua zozote...na ni kiongozi mkubwa wa CCM yao...
kwa kuwa jambo hilo wanalifanya kwa hila lazima litawaletea haibu na kuipaisha chadema, kila wakati nawaambia ccm waache kufanya mabo kwa hila,na hasa kuwafanyia hila chadema hawanisikii, ccm ni sikio la kufaHabari zilizopo ni kwamba katika kutafuta ungwaji mkono kanda ya Ziwa ambako chama hicho kipepoteza kukubalika kutokana na matatizo mbalimbali yanayo wakumba wananchi wa kanda hiyo hususani Serikali kushindwa kuendeleza kikamilifu zao la Pamba, huduma hafifu za jamii n.k
CCM imeona ni vyema kutoshiriki mazishi ya aliyekuwa Diwani na Mwenyekiti mstaafu wa ccm mkoa, hoja yao ni kwamba endapo watashiriki mazishi hayo itaonekana wanaunga mkono watu uvunjaji wa sheria kwani marehemu Mabina alijichukulia sheria mkononi kwa kumuua kijana wa miaka 12 asiyekuwa na hatia.
Angalizo:
CCM kimejaa watu wengi waharifu na wanaopenda kuvunja sheria, tumeona watu wakipigwa kwa kukatwa mapanga kwenye chaguzi, kuchomewa moto mali zao kwenye chaguzi, kupora mali za wanyonge n.k. Sioni kama ni suluhu kwa chama hicho kutoshiriki mazishi ya kiongozi huyo bali suluhu ni kukisafisha chama chao kwa kuondoa watu wote aina hiyo
ukiondoa watu wa aina ya MABINA ndani ya ccm basi bila shaka chama hicho kitabakiwa na majengo matupu .
Wanajamvi heshima kwenu,
Katika hali isiyo ya kawaida chama tawala kimekuwa kimya sana tangu kifo cha kada wake, diwani wa Kisesa, Clement Mabina. Wanajamvi kuna yeyote ameshatoa tamko rasmi (msemaji wa chama) kuhusiana na hili? Tumezoea sana kupata taarifa rasmi kupitia kwa Katibu Mwenezi kwenye vyombo vya habari, kupitia kwenye mitandao na blog mbalimbali hususan ya Michuzi kila mara kunapokuwa na jambo linalohusu viongozi wa chama tawala. Mmepata kigugumizi gani? Ama mnafikiri kwa kukaa kimya tutasahau?
Ah,"Ukifanya fujo,ukiambiwa usifanye hiki utapigwa tu!maana tumechoka sasa"Si tuliambiwa hivyo,au umesahau ndugu? Au ndiyo vile Mkuki kwa ngurue?Wanajamvi heshima kwenu,
Katika hali isiyo ya kawaida chama tawala kimekuwa kimya sana tangu kifo cha kada wake, diwani wa Kisesa, Clement Mabina. Wanajamvi kuna yeyote ameshatoa tamko rasmi (msemaji wa chama) kuhusiana na hili? Tumezoea sana kupata taarifa rasmi kupitia kwa Katibu Mwenezi kwenye vyombo vya habari, kupitia kwenye mitandao na blog mbalimbali hususan ya Michuzi kila mara kunapokuwa na jambo linalohusu viongozi wa chama tawala. Mmepata kigugumizi gani? Ama mnafikiri kwa kukaa kimya tutasahau?
Wanajamvi heshima kwenu,
Katika hali isiyo ya kawaida chama tawala kimekuwa kimya sana tangu kifo cha kada wake, diwani wa Kisesa, Clement Mabina. Wanajamvi kuna yeyote ameshatoa tamko rasmi (msemaji wa chama) kuhusiana na hili? Tumezoea sana kupata taarifa rasmi kupitia kwa Katibu Mwenezi kwenye vyombo vya habari, kupitia kwenye mitandao na blog mbalimbali hususan ya Michuzi kila mara kunapokuwa na jambo linalohusu viongozi wa chama tawala. Mmepata kigugumizi gani? Ama mnafikiri kwa kukaa kimya tutasahau?
Tanzania bana...very kontradikitingi
Wananchi tunaambiwa tutii sheria bila shuruti
viongozi wanavunja sheria bila shuruti...
Kuna mtu alikuwa anauza ARV feki, hadi leo hajachukuliwa hatua zozote...na ni kiongozi mkubwa wa CCM yao...
Hayakuhusu.
Nimefuatilia wachangiaji wote humu na nikagundua kweli magamba wamemtosa mwezao ata humu JF hawaonekani yani wameingia chaka.
Ila wewe naona unanukanukaka kimagamba vile.
Wanajamvi heshima kwenu,
Katika hali isiyo ya kawaida chama tawala kimekuwa kimya sana tangu kifo cha kada wake, diwani wa Kisesa, Clement Mabina. Wanajamvi kuna yeyote ameshatoa tamko rasmi (msemaji wa chama) kuhusiana na hili? Tumezoea sana kupata taarifa rasmi kupitia kwa Katibu Mwenezi kwenye vyombo vya habari, kupitia kwenye mitandao na blog mbalimbali hususan ya Michuzi kila mara kunapokuwa na jambo linalohusu viongozi wa chama tawala. Mmepata kigugumizi gani? Ama mnafikiri kwa kukaa kimya tutasahau?