Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Kila la heri shonza et al.
Hahahaaaaa hahahaaaaa hahahaaaaa uuuuwiii hahahaaaaa hahahaaaaa nitacheka mpaka Jumapili
Kila la heri shonza et al.
Tofautisha WANYIRAMBA na machalii wa R-Chuga wewe,,, pale ni A-Town kuwepo tu pale tayari wewe ni form six...USHAURI: Chadema wajipange kulinda kura. Huyu mdada alisema hivyo kwenye chaguzi za kule Singida. Sitaki kusema yaliyotokea.
Kila la heri shonza et al.
Nacho kisemaRuzuku million 300 kwa mwezi hazifiki mikoani,wameshindwa kujenga makao makuu yao wamepanga,hata kugharamia mikutano tu nako wameshindwa kutwa kucha kuwachangisha wananchi halafu wanaenda kunywea pombe na kugawana pale mamba club.hicho ni chama au genge?
funguka mkuu
Wewe mwanamke utawapasua mioyo hawa Pro-Chadema.
Kweli umaskini na kukosa ajira ni hatari kuliko hata bomu la Hiloshima. Hivi ni wewe kweli? Uliyekuwa unawatukana CCM kuwa ni majambazi lakini leo uko nao kama kupe kwenye ng'ombe!! CCM uliwaita MAJAMBAZI, leo uko kwao, tukikuita na na wewe kama Dada JAMBAZI tutakuwa tunakuonea? Maana uka na wale uliowaita majambazi. JITATHMINI wewe mwenyewe na CCM jiangalieni msije mkawa mmepoke kirusiNdugu wana jukwaa,ikiwa imebaki siku moja uchaguzi wa kupata madiwani katika kata 26 za mikoa mbalimbali ya nchi hii ufanyike,huku upepo ukiwa mzuri kwa ccm katika kata zote ambapo ni wazi kabisa kwamba safari hii wapinzani watavuna mabua na kuambulia aibu.
Hali iliyotokana na wananchi kuchoshwa na vurugu za chama kinachojiita chama kikuu cha upinzani(chadema)ambapo kimekuwa kikiendesha siasa zake kwakutumia nguzo kuu tatu ambazo ni
uwongo
uchochezi
maandamano
Huku wakitumia gharama kubwa katika kampeni zao ambazo wanatumia helicopter hali inayopelekea kuteketeza zaidi ya million 200 halafu kwenye mikutano yao wanachangisha miamia za wananchi wanaowaita masikini.
Huko ni kukosa dira na kutoelewa dhana ya utawala bora kwani kama wangekuwa wanaelewa dhana ya utawala bora mamillion hayo wanayoyatumia kwenye helicopter wangeyaelekeza kusaidia vikundi vya vijana mbalimbali kujikwamua kiuchumi na kuweza kujiajiri.
Vijana wameshtuka kuwa walikuwa wanatumiwa mfano ukiwa ni mr Mboya na Niko ambao walikuwa wapambe damu wa Lemaaa na vijana wengine wengi ambao wameahidi kuipa ushindi ccm ,tena ushindi wa kishindo.
Vurugu mnazoifanyia ccm barabarani na kwenye mikutano yetu , uzushi mnaoueneza kwenye mitandao ya kijamii pamoja na matusi mnayotukana havitoweza kuwasaidia kuepuka adhabu mtakayopewa na wananchi wa Arusha kwakuwafukuza wawakilishi wao halmashauri na kusababisha kuweka likizo ya maendeleo ya kata zao nne .
Niitakie CCM ushindi wa kishindo maeneo yote ya nchi yanayotarajia kufanya uchaguzi kesho.
CCM kushinda kwa kishindo kesho.
Viva CCM.
Ms.Benazir
Helkopta ni mchango wa kujitolea wa kiongozi wetu mmoja tu wa kanda
1:Andika kama msomi mwenye shahada ya chuo kikuu
Correlation ya Chadema kutumia helkopta na dhana ya utawala bora iko wapi?Tafuta maana ya utawala bora kabla hujaropoka tu maana hapa utadhalilika
2:Unasema millioni 200?Leta mchanganuo na uthibitishe hayo!
3:Leo Mwenyekiti atafanya mikutano mingi ya kufunga kampeni.Naomba jumatatu urudi hapa.Mlidhani kumtembeza kijana Tesha kama Mwenge bila hata aibu mtakichafua chadema kwa unyama waliofanya Chama chako?
4:Uchochezi ni tafsiri ya wenye fikra mgando maana hata makaburu South Africa walitumia lugha hii dhidi ya ANC na akina Steve Biko.Soma vitabu vya historia achana na magazeti ya udaku unayosoma kila siku ya ijumaa na jumanne.I hope umeacha!
Kweli umaskini na kukosa ajira ni hatari kuliko hata bomu la Hiloshima. Hivi ni wewe kweli? Uliyekuwa unawatukana CCM kuwa ni majambazi lakini leo uko nao kama kupe kwenye ng'ombe!! CCM uliwaita MAJAMBAZI, leo uko kwao, tukikuita na na wewe kama Dada JAMBAZI tutakuwa tunakuonea? Maana uka na wale uliowaita majambazi. JITATHMINI wewe mwenyewe na CCM jiangalieni msije mkawa mmepoke kirusi
Aisee ha ha haaa you made my day.Kila la heri shonza et al.
Hapo ni kama atabahatika kuolewa......We juliana mtu atakayekuoa atapata shida sana
Hebu niambie Ben Saanane, huyu binti ni msomi wa chuo kikuu? Unamaanisha ana shahada ya chuo kikuu? Manake vyuo vikuu pia hutoa elimu ya vyeti na diploma.Ms.Benazir
Helkopta ni mchango wa kujitolea wa kiongozi wetu mmoja tu wa kanda
1:Andika kama msomi mwenye shahada ya chuo kikuu
Correlation ya Chadema kutumia helkopta na dhana ya utawala bora iko wapi?Tafuta maana ya utawala bora kabla hujaropoka tu maana hapa utadhalilika
2:Unasema millioni 200?Leta mchanganuo na uthibitishe hayo!
3:Leo Mwenyekiti atafanya mikutano mingi ya kufunga kampeni.Naomba jumatatu urudi hapa.Mlidhani kumtembeza kijana Tesha kama Mwenge bila hata aibu mtakichafua chadema kwa unyama waliofanya Chama chako?
4:Uchochezi ni tafsiri ya wenye fikra mgando maana hata makaburu South Africa walitumia lugha hii dhidi ya ANC na akina Steve Biko.Soma vitabu vya historia achana na magazeti ya udaku unayosoma kila siku ya ijumaa na jumanne.I hope umeacha!
Wewe mwanamke utawapasua mioyo hawa Pro-Chadema.
Juliana unakumbuka uliyoyasema pale viwanja vya mabibo wakati Dr Slaa alipokuja kuongea na wanafunzi wa UDSM? siamini kama huyu Juliana ndo kabadilika kuwa mjinga hivyo.Niamini Juliana ulipokuwa Chadema ulikuwa unajenga hoja,ulikuwa na vision inayosomeka ila sijui CCM wamekulisha nini? umekuwa kama dustb*n umekuwa waajabu kabisa na wala hufai tena.Hufanani na yule Juliana niliyekuwa nikimfahamu maana hata sura imekuwa mbaya sana siyo kama ile niliyokuwa naiona pale UDSM..Kweli kuwa CCM ni hatari!
Heshima ikurudie Mkuu wangu ,Heshima mbele Ben Saana.
1. Nikuombe sana ku-address mtu kwa namna anavyotaka a-be-addressed.
2. Kama wanachama wangekuwa kweli wanajitolea; yale madeni ya wanachama wenu waliokuwa wamekopesha chama na walikuwa wanataka kulipwa na chama yalitokea wapi? Hakuna mtu anatoa hela bure hapa... hiyo ni mikopo ambayo lazima ilipwe.
Unanikumbusha kisa cha vilabu vya Simba na Yanga, pale wanasema Mwanachama fulani amejitolea kumsajili mchezaji x kwa mamilioni y... Ukweli ni kwamba it is a business kila mtu anayetoa senti yake kwa hivi vilabu anarudishiwa... similar na hayo ya vyama...
Muda wa Kudanganya watu umeisha sasa...