gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
wewe naona wadudu bado wanakutekenya, inaonekana mwigulu hajakukuna vizuri jana.
Anyway,
hapo kwenye red ccm wangekuwa wanaelewa hilo, zile pesa ambazo lowassa na wenzake ukiwepo wewe walizokusanya pale club africo zaidi ya milioni 200 kwa ajili ya kampeni, badala ya kuzitumia kuwahonga vijana mmengezielekeza kwenye maendeleo, kwa kutambua dhana hiyo hiyo ya utawala bora hizo pesa mmengewagawia vijana na vikundi vya akina mama wakapata mikopo bila riba ili wakajikwamue kiuchumi.
Zile pesa mmezichangisha pale kimandolu zaidi ya milioni 200, wakati kimandolu pekee inahitaji milioni 50 tu kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Kama ccm wangekuwa na akili pesa zile wangezielekeza huko. Bahati mbaya mungu aliwanyima akili msione!
Arusha ccm wasahau kabisa!
Peopleeeezzzz!!!!!!
unajua Mungi mtu kama wewe unapaswa kuja na hoja za msingi na matusi. Manake kwa matusi chadema hamuwezekani nyie. Na tumewabatiza jina chadomo manake kutwa kuzusha, kutusi, kuleta ugomvi and the like.
Btw salam sana kwa Mzee wa Rula
Last edited by a moderator: