Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
Baada ya Msiba wa Regia Mtema Delegation yote ya serikali (Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na spika) picha zinajionesha
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu
Huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa DENI la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.
Akiongea na wanahabari jana Spika wa Bunge Anna Makinda alisema Serikali (Ya CCM ) itaongoza mazishi ya Regia Mtema Mpaka Kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa Chadema JJ Mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya Regia Kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero
Sasa Hapa sijaelewa Kwanini wanagombania Maiti...??
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu
Huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa DENI la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.
Akiongea na wanahabari jana Spika wa Bunge Anna Makinda alisema Serikali (Ya CCM ) itaongoza mazishi ya Regia Mtema Mpaka Kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa Chadema JJ Mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya Regia Kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero
Sasa Hapa sijaelewa Kwanini wanagombania Maiti...??