CCM Kuongoza Mazishi ya Regia Mtema

CCM Kuongoza Mazishi ya Regia Mtema

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2010
Posts
7,263
Reaction score
684
Baada ya Msiba wa Regia Mtema Delegation yote ya serikali (Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na spika) picha zinajionesha
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu

Huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa DENI la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.

Akiongea na wanahabari jana Spika wa Bunge Anna Makinda alisema Serikali (Ya CCM ) itaongoza mazishi ya Regia Mtema Mpaka Kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa Chadema JJ Mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya Regia Kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero


Sasa Hapa sijaelewa Kwanini wanagombania Maiti...??
 
Sioni Tatizo kwa kuwa alikuwa ni mbunge wa w-TZ wote na serikali ni ya CCM.tuache kukuza kila jambo jamani.Tuwe tunashirikiana katika mambo ya kitaifa.
 
Lakini si alikuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Baada ya Msiba wa Regia Mtema Delegation yote ya serikali (Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na spika) picha zinajionesha
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu

Huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa DENI la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.

Akiongea na wanahabari jana Spika wa Bunge Anna Makinda alisema Serikali (Ya CCM ) itaongoza mazishi ya Regia Mtema Mpaka Kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa Chadema JJ Mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya Regia Kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero


Sasa Hapa sijaelewa Kwanini wanagombania Maiti...??
Kupeng'e tunakuheshimu, please acha huu uzushi na insinuations za kuugeuza huu msiba kuwa ni mtaji wa kisiasa.

Mgombea ndio huwa wa chama cha siasa, akishachaguliwa, anageuka ni mtumishi wa bunge hivyo serikali kuhusika moja kwa moja!.

Nakuomba usiisingizie CCM kama chama, bali serikali kama serikali ndio inahusika moja kwa moja kwa tukio la kesho pale Karimjee, kwa vile ni serikali ya CCM, uhusika wake sio wa kichama bali ni kiserekali!.

Kwa maoni yangu msiba huu umeleta upendo, mshikamano na ushirikiano wa karibu baina ya vyama hasimu kisiasa kwa viongozi waliosusiana muda mrefu kusalimiana na kukaa meza moja ambalo ni jambo jema kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu!.
RIP Regia Mtema, asante kwa kutuachia upendo na mshikamano huu!.
Pasco.
 
acha fitina na chuki hizo wewe msiba si siasa hapa duniani tunapita tu hata wewe utakufa iko siko kama si leo kesho wacha kuchochoa mambo yalokuwa hayana msingi katika jamii
 
Sioni Tatizo kwa kuwa alikuwa ni mbunge wa w-TZ wote na serikali ni ya CCM.tuache kukuza kila jambo jamani.Tuwe tunashirikiana katika mambo ya kitaifa.
Mheshimiwa marehemu Regia Mtema alikuwa mbunge wa kitaifa Tanzania toka CHADEMA wala si mbunge wa CCM. Wacha kuchanganya mambo wewe kama CCM wanapenda wabunge wa upinzani wampe David Kafulila aliyetemwa na NCCR ubunge kwenye CCM basi kieleweke!!!!!!!

 
Kupeng'e tunakuheshimu, please acha huu uzushi na insinuations za kuugeuza huu msiba kuwa ni mtaji wa kisiasa.

Mgombea ndio huwa wa chama cha siasa, akishachaguliwa, anageuka ni mtumishi wa bunge hivyo serikali kuhusika moja kwa moja!.

Nakuomba usiisingizie CCM kama chama, bali serikali kama serikali ndio inahusika moja kwa moja kwa tukio la kesho pale Karimjee, kwa vile ni serikali ya CCM, uhusika wake sio wa kichama bali ni kiserekali!.

Kwa maoni yangu msiba huu umeleta upendo, mshikamano na ushirikiano wa karibu baina ya vyama hasimu kisiasa kwa viongozi waliosusiana muda mrefu kusalimiana na kukaa meza moja ambalo ni jambo jema kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu!.
RIP Regia Mtema, asante kwa kutuachia upendo na mshikamano huu!.
Pasco.

Na mimi nakuheshimu sana Pasco

We usifanye msiba huu kuwa mambo ya bahasha

Nini kilitokea wakati wa kudai katiba mpya? nini kilitokea wakati wa kupinga ufisadi?

Jiulize mara mbili utapata jibu...................:A S embarassed:
 
Tofautisha Chama na Serikali, Regia alikuwa mtumishi wa Serikali Kama mbunge. Kwa hiyo Serikali Ina wajibu wa kugharamia huu msiba. Na Kama mwanachama wa CHADEMA Chama chake pia lazima kihusike.

R.I.P Regia.
 
CCM ni chama Tawala hivyo kina majukumu ya kuhakikisha kuwa MAREHEMU anapata maziko yanayostahili
 
Kupeng'e tunakuheshimu, please acha huu uzushi na insinuations za kuugeuza huu msiba kuwa ni mtaji wa kisiasa.

Mgombea ndio huwa wa chama cha siasa, akishachaguliwa, anageuka ni mtumishi wa bunge hivyo serikali kuhusika moja kwa moja!.

Nakuomba usiisingizie CCM kama chama, bali serikali kama serikali ndio inahusika moja kwa moja kwa tukio la kesho pale Karimjee, kwa vile ni serikali ya CCM, uhusika wake sio wa kichama bali ni kiserekali!.

Kwa maoni yangu msiba huu umeleta upendo, mshikamano na ushirikiano wa karibu baina ya vyama hasimu kisiasa kwa viongozi waliosusiana muda mrefu kusalimiana na kukaa meza moja ambalo ni jambo jema kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu!.
RIP Regia Mtema, asante kwa kutuachia upendo na mshikamano huu!.
Pasco.

Pasco naomba usiwasemee watu kama wewe unamfahamu Kupeng'e na kumuheshimu ni wewe siyo wote.
 
Kwanza ilitakiwa Mafisad wote (=CCM) wapigwe marufuku kukanyaga pale msibani, wawape wafiwa faragha na muda wakuomboleza kupotelewa na mpendwa wao, walie watoe machungu ya mioyoni mwani mwao na si kupelekewa Ving'ora na wanausalama wa sisiemu.

Wanafki wakubwa hawa hawana lolote, zaidi ya kuuza sura.

RIP - Regia
 
Baada ya Msiba wa Regia Mtema Delegation yote ya serikali (Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na spika) picha zinajionesha
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu

Huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa DENI la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.

Akiongea na wanahabari jana Spika wa Bunge Anna Makinda alisema Serikali (Ya CCM ) itaongoza mazishi ya Regia Mtema Mpaka Kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa Chadema JJ Mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya Regia Kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero


Sasa Hapa sijaelewa Kwanini wanagombania Maiti...??

Huu wote ni unafikfi. Mnamdanganya nani? Serkiali inayoendesha nchi kinafiki hhaitakwepa hasira ya Mungu juu ya mahdambi yanayoangamiza taifa; UWT ndiyo mtabeba lawama!.Sasa hivi furahini tu lakini siku yenu imekwisha kuwekwa mbinguni,....
 
baada ya msiba wa regia mtema delegation yote ya serikali (rais, waziri mkuu, makamu wa rais na spika) picha zinajionesha
ilikimbilia msibani hii ilikuwa furusa nzuri serikali kujitakasa kwa wananchi ambao kwa sasa wana maisha magumu

huu msiba umekuwa lulu kwa serikali kuepuka hasira za wananchi baada ya kuwalazimisha kulipa deni la dowans bila kutaka kuanzania 15.1.2012.

Akiongea na wanahabari jana spika wa bunge anna makinda alisema serikali (ya ccm ) itaongoza mazishi ya regia mtema mpaka kilombero
:ballchain:
Katibu mwenezi wa chadema jj mnyika naye akiongea na wanahabari alisema baada ya regia kuagwa kiselikali pale karimjee mwili utasafirishwa na chadema hadi kilombero


sasa hapa sijaelewa kwanini wanagombania maiti...??

hawajamaa wa kijani wanatafuta huruma za wananchi lakini wananchi tushawasomaaa! Walitaka kulipa dowans wananchi kupitia cdm wakakataa sasa mameamua kulipa kinyemela kwa kuongeza bei ya umeme!!!! Shame on them!!

 
Back
Top Bottom