CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

CCM kujivua ‘gamba’ Dodoma

Kama sikosei huyu Kashanga ndiye Tambwe Hizza, sioni mwingine awezaye kutoa pumba hizi zaidi ya TH
 
Wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza juu ya msemo wa wahenga 'kujivua gamba' na maana yake katika siasa za kileo za nchini mwetu.
  • Ya kwamba ni sawa na kung'atuka kwa hiari au kwa manufaa ya chama?
  • Kwamba, ni kurejesha imani ya chama kwa wananchi kwa waliovuliwa magamba?
  • Kwamba, chama kina maslahi mbele kuliko maendeleo ya wananchi na nchi yao?
  • Ya kwamba, bila kujivua gamba nchi haiwezi kupiga hatua?
  • Kwamba, waliovuliwa magamba ndio kikwazo cha maendeleo na ustawi mzuri wa nchi?
  • Je magamba 'yameficha' nini ndani yake...mema au maovu?
  • Magamba kuvuliwa...ndio kielelezo cha kuzaliwa upya?
Inanisumbua sana kupata mantiki thabiti juu ya aina ya hadaa itolewayo na chama tawala, maana ingelistahili gamba kuvuliwa mpaka kwa cabinet nzima ikifuatiwa na serikali za mitaa na watendaji ili walau ithibitishe gamba kutolewa. Hizi semi huandaliwa mahsusi, nakumbuka mwaka 2005 halmashauri kuu ya chama tawala ilipomtangaza JK kuwa ndie mgombea uraisi kwa mwaka huo na akapewa nafasi ya kutoa neno na miongoni mwa aliyosema ni 'safari hii kura zimetosha' na si kwamba mwaka 1995 alishindwa. Kuvuliwa magambaa ulikuwa ni mpango maalum lakini ni jinsi gani ya ku-present na ku-deliver ujumbe kwa wananchi.
Yanipa shida, hebu tushauriane wadau kwa ilivyo na tueleweshane kistaarabu.
 
demokrasia ya kweli ni ile ya kusililiza cha mwenzako hata kama hupendi kusikia. La udini sina uhakika, lakini la ukabila liko saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tu. huna haja ya kwenda darasani na kuambiwa wachagga ndiyo chama chao hicho, pamoja n wengine wengi wa kaskazini
 
demokrasia ya kweli ni ile ya kusililiza cha mwenzako hata kama hupendi kusikia. La udini sina uhakika, lakini la ukabila liko saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tu. huna haja ya kwenda darasani na kuambiwa wachagga ndiyo chama chao hicho, pamoja n wengine wengi wa kaskazini
Hoja za kipuuzi utazijua tuu,sasa ukisema wachaga ndio chama chao, Mbona Wachaga haohao munaowatuhumu wameipa kura CCM mkoani Kilimanjaro?
 
Kashaga inaonekana we ni mshabiki na mfuasi mzuri wa siasa za ushabiki na propaganda zaidi kuliko hoja hizo hoja zako zote zina majibu kama unayataka we sema nitakupa ila kumbuka ni propaganda za CCM toka mwaka 1995 mpaka leo hawana jipya
 
Nafikiri tunakubaliana wote kwamba:
1. Nyoka ni utaratibu wake wa kibaolojia kwamba atajivua gamba mara kwa mara ... yaani sio mara moja tuu,
2. Akishavua gamba anang'aa anasahau ya gamba alilovua,
3. Baada ya muda gamba litakuja tena na atalivua,
4. Nyoka anabaki yule yule kibaolojia na kitabia na kila kitu

Sasa, CCM inanifanya niamini kwamba kujivua gamba ni:
1. Kila mara kutatokea ufisadi mara kwa mara na itakua inajivua gamba,
2. Ikishajivua gamba kwa danganya toto inataka ionekane ni CCM mpya,
3. Baada ya muda (sijui ni muda gani) ufisadi utarudi upya (gamba jipya),
4. CCM itabaki ile ile na ufisadi wake wa mara kwamara.

Kwa maoni yangu, tukipe hatamu chama ambacho sio nyoka maana kuvua gamba hakutuhakikishii kubadilika kwa tabia.
 
hawana lolote jipya kikwete na ccm yake kinachoendelea ni maigizo tu watanzania tuwe macho na hawa watu hawafai duniani wala mbinguni
 
Nafikiri tunakubaliana wote kwamba:
1. Nyoka ni utaratibu wake wa kibaolojia kwamba atajivua gamba mara kwa mara ... yaani sio mara moja tuu,
2. Akishavua gamba anang'aa anasahau ya gamba alilovua,
3. Baada ya muda gamba litakuja tena na atalivua,
4. Nyoka anabaki yule yule kibaolojia na kitabia na kila kitu

Sasa, CCM inanifanya niamini kwamba kujivua gamba ni:
1. Kila mara kutatokea ufisadi mara kwa mara na itakua inajivua gamba,
2. Ikishajivua gamba kwa danganya toto inataka ionekane ni CCM mpya,
3. Baada ya muda (sijui ni muda gani) ufisadi utarudi upya (gamba jipya),
4. CCM itabaki ile ile na ufisadi wake wa mara kwamara.

Kwa maoni yangu, tukipe hatamu chama ambacho sio nyoka maana kuvua gamba hakutuhakikishii kubadilika kwa tabia.

Well said, hakika umenena na yatupasa kuwa makini sana.
 
Tetesi Kuhusu Visukusuku vya Sokwe-Mtu Wa Beijing
c.gif
beijingyongren1.jpg
Visukuku vya sokwe-mtu wa Beijing kabla ya kupotea vilihifadhiwa katika sanduku la chuma la usalama la hospitali moja ya mji wa Beijing.
Siku chache kabla ya kuzuka vita ya Pasifiki, profesa Wei Dunrui, ambaye ni mtaalamu mashuhuri wa utafiti wa visukuku hivyo, aliona kuwa hospitali hiyo haikuwa mahali salama tena, hivyo alipendekeza kuvipeleka na kuhifadhiwa visukuku hivyo nchini Marekani. Siku moja ya wiki 2 au 3 kabla ya kuzuka tukio la Pearl Harbor, ofisa wa idara ya huduma ya hospitali hiyo Bo Wen aliarifu kuviweka visukuku 147 yakiwemo mafuvu 5 katika masanduku mawili ya mbao na kuyasafirisha hadi kwenye ubalozi wa Marekani mjini Beijing ili yasafirishwe pamoja na askari wa Marekani hadi Marekani. Lakini tokea hapo visukuku hivyo vilipotea na hakuna habari yoyote kuhusu visukuku hivyo.
Katika miaka ya karibuni, mtaalamu kuhusu elimu ya binadamu Bw. Zhou Guoxing alisikia kuwa siku chache kabla ya kusuka tukio la Pearl Harbor, askari mmoja aliyelinda mlango kati ya makao makuu ya jeshi la baharini la Marekani na ofisi ya ubalozi wa Marekani, aliona watu wawili walikuwa wakibeba sanduku moja na kulifukia katika ua ulioko sehemu ya nyuma ya nyumba ya ofisi ya ubalozi, na alikisia kuwa vitu vilivyokuwemo ndani ya sanduku hilo vilionekea kuwa ni visukuku vya sokwe-mtu wa Beijing. Bw. Zhou Guoxing alifika hapo, lakini hakuweza kuchimba, kwani sehemu hiyo imejengwa nyumba. Visukuku hivyo vilipotea kabla ya miaka miongo kadhaa iliyopita na hakuna habari yoyote kuhusu vitu hivyo. Hayati Zhou Enlai alipokuwa hai aliwahi kusema kuwa ni wachina kadhaa, ambao walikabidhi visukuku vya sokwe-mtu kwa wamarekani na vilipotea mikononi mwa wamarekani, wanasayansi waadilifu wangevirudisha kwa China.
SOKWE MTU WA MAHALE AKIWA KATIKA POZI





SERIKALI kwa kushirikiana na shirika la hifadhi ya taifa (TANAPA) ipo katika mchakato wa mwisho wa kukipandisha hadhi kisiwa tarajiwa cha Saa nane kilichopo katika mkoa wa Mwanza kuwa hifadhi ya taifa

Rai hiyo ilitolwewa na kaimu mkurugenzi mkuu wa kisiwa hicho Donats Kayona wakati akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kisiwa hicho ili kujionea vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo katika visiwa hivyo

Kwa mujibu wa Kayona alisema kuwa tafiti mbalimbali zimeshafanyika ili kuweza kubaini ni wanyama wa aina gani ambao wataaweza kuishi katika kisiwa hicho kwa kuzingatia mahitaji ya kiikolojia

"Wataalamu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam wameshafika katika kisiwa hiki na kufanya utafiti wa hali ya juu wa wanyama ambao wataweza kuishi katika kisiwa hiki ili kuongeza vivutio vya utalii katika kisiwa hiki na kwamba serikali ipo kati mchakato wa mwisho kabisa wa kukipandisha hadhi kisiwa hiki kuwa hifadhi ya taifa" alisema Kayona

Kayomba alisema kwa sasa kisiwa hicho kina vivutio mbalimbali vya utalii kama vile mapango makubwa ya kuvutia yaliyozingirwa na miamba Swala, Mijusi ya aina mbalimbali,Kobe,Paka Mwitu, Nyoka Mamba aina na aina mbalimbali za ndege

Aliwataja wanyama watakaoongezwa mara baada ya kisiwa hicho kuwa hifadhi ya taifa ni pamoja na pundamilia,mbuzi mawe,Swala granti Dikidiki,Kobe na kwamba itachangia kwa kiasi kikubwa kukidhi mahitaji ya watalii wa ndani na nje

Mbali na mafanikio hayo Kayomba alisema kuwa kisiwa hicho kinakabiliwa na changamaoto kadha wa kadha ikiwemo miundo mbinu ya uendeshaji pamoja na usafiri kwani kisiwa hicho kina boto ndgo na kwamba watalii hupendela boti kubwa

"Tunakabiliwa na changamoto ya usafiri katika kisiwa hiki kwani watalii wengi hawpendi kutumia boti ndogo jambo mablo limekuwa likichangia kwa kiasi kikubwa kutopata wageni wakutosha kwa kuzingatia kuwa hii ni hifadhi pekee hapa nchini kati ya hifadhi 15 iliyopo ndani ya maispaa ya mji wa Mwanza

Kisiwa tarajiwa cha Saa nane kina ukubwa wa kilimita 0.7 za mraba na kwamba miaka 1964 kilikuwa pori la akiba na ilipofika mwaka 2008 kilikabidhiwa rasmi katika shirika la hifadhi ya wanyama pori(TANAPA)
 
Tetesi Kuhusu Visukusuku vya Sokwe-Mtu Wa Beijing
c.gif
beijingyongren1.jpg
Visukuku vya sokwe-mtu wa Beijing kabla ya kupotea vilihifadhiwa katika sanduku la chuma la usalama la hospitali moja ya mji wa Beijing.
Siku chache kabla ya kuzuka vita ya Pasifiki, profesa Wei Dunrui, ambaye ni mtaalamu mashuhuri wa utafiti wa visukuku hivyo, aliona kuwa hospitali hiyo haikuwa mahali salama tena, hivyo alipendekeza kuvipeleka na kuhifadhiwa visukuku hivyo nchini Marekani. Siku moja ya wiki 2 au 3 kabla ya kuzuka tukio la Pearl Harbor, ofisa wa idara ya huduma ya hospitali hiyo Bo Wen aliarifu kuviweka visukuku 147 yakiwemo mafuvu 5 katika masanduku mawili ya mbao na kuyasafirisha hadi kwenye ubalozi wa Marekani mjini Beijing ili yasafirishwe pamoja na askari wa Marekani hadi Marekani. Lakini tokea hapo visukuku hivyo vilipotea na hakuna habari yoyote kuhusu visukuku hivyo.
Katika miaka ya karibuni, mtaalamu kuhusu elimu ya binadamu Bw. Zhou Guoxing alisikia kuwa siku chache kabla ya kusuka tukio la Pearl Harbor, askari mmoja aliyelinda mlango kati ya makao makuu ya jeshi la baharini la Marekani na ofisi ya ubalozi wa Marekani, aliona watu wawili walikuwa wakibeba sanduku moja na kulifukia katika ua ulioko sehemu ya nyuma ya nyumba ya ofisi ya ubalozi, na alikisia kuwa vitu vilivyokuwemo ndani ya sanduku hilo vilionekea kuwa ni visukuku vya sokwe-mtu wa Beijing. Bw. Zhou Guoxing alifika hapo, lakini hakuweza kuchimba, kwani sehemu hiyo imejengwa nyumba. Visukuku hivyo vilipotea kabla ya miaka miongo kadhaa iliyopita na hakuna habari yoyote kuhusu vitu hivyo. Hayati Zhou Enlai alipokuwa hai aliwahi kusema kuwa ni wachina kadhaa, ambao walikabidhi visukuku vya sokwe-mtu kwa wamarekani na vilipotea mikononi mwa wamarekani, wanasayansi waadilifu wangevirudisha kwa China.
SOKWE MTU WA MAHALE AKIWA KATIKA POZI





SERIKALI kwa kushirikiana na shirika la hifadhi ya taifa (TANAPA) ipo katika mchakato wa mwisho wa kukipandisha hadhi kisiwa tarajiwa cha Saa nane kilichopo katika mkoa wa Mwanza kuwa hifadhi ya taifa

Rai hiyo ilitolwewa na kaimu mkurugenzi mkuu wa kisiwa hicho Donats Kayona wakati akizungumza na waandishi wa habari waliotembelea kisiwa hicho ili kujionea vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo katika visiwa hivyo

Kwa mujibu wa Kayona alisema kuwa tafiti mbalimbali zimeshafanyika ili kuweza kubaini ni wanyama wa aina gani ambao wataaweza kuishi katika kisiwa hicho kwa kuzingatia mahitaji ya kiikolojia

“Wataalamu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam wameshafika katika kisiwa hiki na kufanya utafiti wa hali ya juu wa wanyama ambao wataweza kuishi katika kisiwa hiki ili kuongeza vivutio vya utalii katika kisiwa hiki na kwamba serikali ipo kati mchakato wa mwisho kabisa wa kukipandisha hadhi kisiwa hiki kuwa hifadhi ya taifa” alisema Kayona

Kayomba alisema kwa sasa kisiwa hicho kina vivutio mbalimbali vya utalii kama vile mapango makubwa ya kuvutia yaliyozingirwa na miamba Swala, Mijusi ya aina mbalimbali,Kobe,Paka Mwitu, Nyoka Mamba aina na aina mbalimbali za ndege

Aliwataja wanyama watakaoongezwa mara baada ya kisiwa hicho kuwa hifadhi ya taifa ni pamoja na pundamilia,mbuzi mawe,Swala granti Dikidiki,Kobe na kwamba itachangia kwa kiasi kikubwa kukidhi mahitaji ya watalii wa ndani na nje

Mbali na mafanikio hayo Kayomba alisema kuwa kisiwa hicho kinakabiliwa na changamaoto kadha wa kadha ikiwemo miundo mbinu ya uendeshaji pamoja na usafiri kwani kisiwa hicho kina boto ndgo na kwamba watalii hupendela boti kubwa

“Tunakabiliwa na changamoto ya usafiri katika kisiwa hiki kwani watalii wengi hawpendi kutumia boti ndogo jambo mablo limekuwa likichangia kwa kiasi kikubwa kutopata wageni wakutosha kwa kuzingatia kuwa hii ni hifadhi pekee hapa nchini kati ya hifadhi 15 iliyopo ndani ya maispaa ya mji wa Mwanza

Kisiwa tarajiwa cha Saa nane kina ukubwa wa kilimita 0.7 za mraba na kwamba miaka 1964 kilikuwa pori la akiba na ilipofika mwaka 2008 kilikabidhiwa rasmi katika shirika la hifadhi ya wanyama pori(TANAPA)
 
Mag3.. nadhani ni kwamba hawakufuata kile ambacho kinajulikana kama "the order of operation" ambayo enzi zile sisi tuliita MAGAZIJUTO. Yaani, ukipewa hesabu zenye masharti mbalimbali ya kuzifanya basi kuna mtiririko unatakiwa ufuate ili upate majibu. Hivyo, hesabu ambayo iko 34+45x23(34/10)-70 kwa mtu ambaye hajua Order of Operation ataanza kujumlisha!! Atafanya kile anachokiona lakini atafikia jibu lisilo sahihi kwani kanunu ya MAGAZIJUTO inatoa mwongozo wa kipi kifanyike kwanza kuanzia kushoto kwenda kulia.

Kwa hiyo naamini hawa jamaa pamoja na kuangalia HCF vile vile hawakufuata kanuni za MAGAZIJUTO matokeo yake wamepata majibu; tatizo ni majibu yasiyo sahihi.


Sasa mkuu unajua kuna wengine hawana uwezo wa kuona hilo wao wanajali tumebadillika tu
 
Kwani kupigana bungeni ni nini? Hivi kumfukuza mbunge eti kwa sababu amehoji namna kamati ilivyokiuka kanuni ni halali kumfukuza bungeni. Tena niwaambie, mimi ningekuwepo tayari ningefunga milango. Naamini pia wengi wetu tungefanya hivyo. Haiwezekana watu wakatudharau hivi hivi.
 
Kwa tuliosoma zamani na tuliopenda namba (hesabu), twajaribu kutafuta uwiano kati ya kitendo cha CCM kuvua gamba, je walitumia HCF (Highest Common Factor) au LCD (Lowest Common Denominator) ? Samahani wana JF kiswahili chake sikijui, nimesoma zamani.

Nadhani hizi picha mbili zitatusaida kujibu hiki kitendawili, Kazi kwenu !



Tangu hawa watu wawili wanadiwe na kupewa Ubunge hata mwaka bado. Cha ajabu walionadiwa eti wanatoswa kwa kuhusishwa na ufisadi lakini aliyewanadi na kusimamia uchakachuaji wa kura anaenziwa kama shujaa na asiye na na doa - CCM ni killer poke ?

mkuu hawa ccm wanavua gamba gani?? List of same or Quarter list of shame ya mwebeyaga? Je mwasisi wa kuinua mikono ya nyagumi hao wa ufisadi na yule mtu aliyesema chenge ni safi mpaka ahukumiwe na mahakama amevuliwa gamba? Je, ccm wamevua gamba au wameahidi kuvua gamba maana wametoa siku 90 kwa aliye na hamu ya kuvua gamba na afanye ivo, ila ikishindikana aachwe..kama yule aliyesema "...waacheni wazee wapumzike..."siku zile mzee wa uwazi na ukweli aliponaswa akitoroka na mgodi wa kiwira mkononi? Rai yangu kwa chama kikuu cha upinzni 2015,ccm waseme......."ccm tunajiandaa kuvua gamba baada ya siku 90" ili ile accrual statement iwe na maana kwa wananchi. kujibu swali nadhaniwametumia KDS maana KKS bado kwao, au ki haasibu wametumia Weighted average method, maana FIFO na LIFO hazitakubali maana nyaangumi wengine wamekepa fishnet.
 
hoja za kipuuzi utazijua tuu,sasa ukisema wachaga ndio chama chao, mbona wachaga haohao munaowatuhumu wameipa kura ccm mkoani kilimanjaro?



jibu hoja siyo kusema upuuzi, kwa jinsi ulivyo comment, na wewe ni yule yuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
 
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?

Umetumwa.
 
demokrasia ya kweli ni ile ya kusililiza cha mwenzako hata kama hupendi kusikia. La udini sina uhakika, lakini la ukabila liko saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tu. huna haja ya kwenda darasani na kuambiwa wachagga ndiyo chama chao hicho, pamoja n wengine wengi wa kaskazini

na demokrasia ya kusikiliza ya mwenzio hata kama hupendi kusikia ndio itakayotufikisha katika mafanikio,CDM siasa sio vita wala chuki!hakuna haja ya matusi bali tujibu hoja kwa hoja
 
Back
Top Bottom