Katibu wa CCM Idara ya siasa na Mahusiano ya kimataifa Mh. January Makamba katikati akizungumza na Mabalozi,Kulia Balozi wa Japani Hiroshi Nakagawa,Balozi wa Uswisi Adrian Schlapfer,na Balozi wa Norwegian Ingunn Klepsvik kulia kwake akiwa amefuatana na katibu wa ubalozi Veslemoy Lothe Salvesen.Mag3.. nadhani ni kwamba hawakufuata kile ambacho kinajulikana kama "the order of operation" ambayo enzi zile sisi tuliita MAGAZIJUTO. Yaani, ukipewa hesabu zenye masharti mbalimbali ya kuzifanya basi kuna mtiririko unatakiwa ufuate ili upate majibu. Hivyo, hesabu ambayo iko 34+45x23(34/10)-70 kwa mtu ambaye hajua Order of Operation ataanza kujumlisha!! Atafanya kile anachokiona lakini atafikia jibu lisilo sahihi kwani kanunu ya MAGAZIJUTO inatoa mwongozo wa kipi kifanyike kwanza kuanzia kushoto kwenda kulia.
Kwa hiyo naamini hawa jamaa pamoja na kuangalia HCF vile vile hawakufuata kanuni za MAGAZIJUTO matokeo yake wamepata majibu; tatizo ni majibu yasiyo sahihi.
kabla hauja post fikiria kuwa tunasoma watu wenye akiri zetu, kwani fujo ilianzishwa na nani bungeni? Au haukuangalia hata bunge umerukia tu,au unaleta masuala ya DARK MARKET HAPA NA WW tena sifuti kauri yangu. Kila siku kutengua kanuni tu asa waliziweka za nini?
demokrasia ya kweli ni ile ya kusililiza cha mwenzako hata kama hupendi kusikia. La udini sina uhakika, lakini la ukabila liko saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tu. huna haja ya kwenda darasani na kuambiwa wachagga ndiyo chama chao hicho, pamoja n wengine wengi wa kaskazini
sio siri chadema ndio chama kikuu cha upinzani kwasasa lakini kimekuwa kina kashfa nyingi sana kama vile swala la udini,ingawa walijaribu kumuita kundini prof safari ili kufuta dhana ya udini lakini bado swala la udini halijafutika mioyoni mwa watu,pia liko swala la kupewa fedha na mataifa ya nje,liko swala la ukabila,pia liko swala la vurugu,mfano hai ni pale mbunge machachari Godbless Lema alipotamka live bungeni kuwa milango ifungwe watu wapigane!(mwananchi ya leo) hivi kweli mtu aliyepewa dhamana na wananchi anaweza kutamka maneno kama hayo katika chombo kikuu cha maamuzi nchini?? sasa je chadema kuvua gamba na kuwa na sura mpya katika macho ya watu?
Hivi kwa mawazo yako ulichotoa ni hoja? Pole sana mkuu sio kosa lako ila kwa vile hapo Ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri. Hata ujinga ni kipaji maana sio wote waliojaliwa ujinga.jibu hoja siyo kusema upuuzi, kwa jinsi ulivyo comment, na wewe ni yule yuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Kuna mtu mmoja alikuwa na tabia mbaya sana mbele ya jamii lakini huwezi kuamini alivyobadilika baadaye na sasa ni mfano mzuri katika jamii (na visevesa hutokea pia) na ni hivyo baadhi wakiishafanikiwa kutokana na dhambi zao wanabadilika kuwa wacha Mungu na hata wahubiri wa dini. To be objective tuwape muda angalau miezi sita kuwasoma mwelekeo na ndipo tuweze ku-project based on relevant updated data.
Lakini pia tuliosoma zamani tulikuwa na HCF na LCM.
Mkuu Mwanakijiji, sasa kama hawakufuata kanuni za MAGAZIJUTO, hayo majibu yasiyo sahihi kwa nini yanalazimishwa kuwa halali ? Inaonekana tatizo kubwa hapa nchini ni kulazimisha mambo hata yale ambayo kwa akili tu ya kawaida hayakubaliki kwa kiwango chochote kile.Mag3.. nadhani ni kwamba hawakufuata kile ambacho kinajulikana kama "the order of operation" ambayo enzi zile sisi tuliita MAGAZIJUTO. Yaani, ukipewa hesabu zenye masharti mbalimbali ya kuzifanya basi kuna mtiririko unatakiwa ufuate ili upate majibu. Hivyo, hesabu ambayo iko 34+45x23(34/10)-70 kwa mtu ambaye hajua Order of Operation ataanza kujumlisha!! Atafanya kile anachokiona lakini atafikia jibu lisilo sahihi kwani kanunu ya MAGAZIJUTO inatoa mwongozo wa kipi kifanyike kwanza kuanzia kushoto kwenda kulia.
Kwa hiyo naamini hawa jamaa pamoja na kuangalia HCF vile vile hawakufuata kanuni za MAGAZIJUTO matokeo yake wamepata majibu; tatizo ni majibu yasiyo sahihi.