Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Mkutano mkubwa wa kihistoria wa CCM ukiwa umekwisha na kushuhudia mabadiliko makubwa ya uongozi ndani ya chama, ni jukumu letu wanaCCM kushirikiana na uongozi mpya kwa ajili ya nchi na Chama chetu. Napenda kuwapongeza viongozi wateule na wakuchaguliwa na kuahidi kushirikiana nanyi katika uongozi wenu.
Katika nyakati hizi ndio tunauona uimara wa CCM, kwa kauli moja tumempisha mwenyekiti wetu hakika hiki ndio kipindi cha vyama vingine kujifunza kutokana na uongozi wa CCM na ushirikiano ulionao nina imani watapata somo zuri.
Katika nyakati hizi ndio tunauona uimara wa CCM, kwa kauli moja tumempisha mwenyekiti wetu hakika hiki ndio kipindi cha vyama vingine kujifunza kutokana na uongozi wa CCM na ushirikiano ulionao nina imani watapata somo zuri.