CCM ivunjike tu


Barbarossa wewe unaamini katika kutishia watu. Amin usiamini CCM inaendakuvunjika. Utakuja kubaini baada ya 12 July 2015. Wakina Mkama walituharibia Chama na operation zao za kijinga ambazo hazikufua dafu.

CHADEMA nako kuna shida ni mkusanyiko wa watu kutoka kanda Fulani. Hawa watakuwa wabaya kuliko CCM. Hawa wana ishara za siri hata watia nia katika jumbo au kata waCDM ni hao hao kwa wingi wao. Wameshahamasishana wajianfikishe lengo likiwa moja tu................inchi.

Kwa kila kitu,,..............
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, with due respect, this can only happen if wishes were horses!.
Hii hoja yako ya CCM kuvunjika, hukuianza leo, nakukumbuka toka enzi za
[h=3]Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia!
[/h]
baadaye ukatupatia somo kuhusu [h=3] CCM kumeguka ni muhimu kwa Taifa!
[/h] [h=3] Mambo 7 ambayo CCM ikifanya yaweza kujiokoa;
[/h]

Mimi naendelea kusisitiza kuwa humu jf tuna watu wa aina tatu, tuna wishful thinkers, tuna day dreamers, na tuna ma realists!. Ma wishful thinkers na ma day dreamers ndio wengi zaidi humu na siku zote waki shout sauti zao husikika sana, lakini tupo sisi ma realist, ambao ni wachache na sauti zetu ni ndogo, kazi ya wishful thinkers ni kutoa mawazo yao yenye kuonyesha wishesh zao, ili tuu kufurahisha genge, lakini siku zote hawasemi how hizo wishes zitatimia, they only wish!, ndio maana nikasema haya yatamimia only if wishes were horses maana beggars would ride!, sisi ma realist humu kazi yetu ni kuusema ukweli halisi jinsi ile ulivyo, no matter ni mchungu kiasi gani kumeza, ila huo ndio ukweli halisi, kuwa upinzani wa Tanzania, ni upinzani nyoro nyoro, hakuna chama chochote hata UKAWA kina nguvu ya kuondoa CCM madarakani kwa sababu kiukweli kabisa tena ukweli mchungu, kwa Tanzania bado hatuna mbadala wa CCM!, mnaobisha bisheni tuu ili kujifurahisha na kujifariji lakini ukweli ndio huo!.

Tanzania bara hatuna anye credible opposition yenye uwezo wa kuishinda CCM, not Chadema not UKAWA, hivyo wale wote wenye matumaini kuwa UKAWA wanaweza kuishinda CCM na kuingia ikulu keshokutwa, wote ni wishful thinkers and day dreamers!. The only hope kwa opposition kushinda nchi hii ni kama CCM itameguka!, na ili CCM imeguke ni endapo itamkataa Lowassa, kisha huyo Lowassa amege kundi lake na kuhamia nalo opposition, then agombee urais, hapo ndio the only chance kwa opposition kukanyaga ikulu yetu ya Magogoni chini ya hapo hakuna kitu!.

Chadema kama Chadema, hakuna kitu kabisa mule!. Kwa wale wenye nafasi, hebu pitieni uzi huu wa Mkuu Mchambuzi
muusome kwa makini uliandikwa lini?, nini kilisemwa?, leo ni lini?, na nini kimefanywa?!, halafu tukiwaambia humu Chadema ni empty, watu mnaishia kutunyooshea vidole kuwa sisi ni magamba!.
Tangu 2010 sisi tumesema humu,
[h=3]CCM Imechokwa: CHADEMA Haijajipanga!,
[/h][h=3]CHADEMA: Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na Hamtajipanga!.
[/h][h=3]CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015!.
[/h][h=3]Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!...Only if
[/h]Tubishane kwa hoja na sio kwa wishful thinking only!.

Pasco.
 
Baada ya kututetea wananchi ndio wanatunyonya kupitia biashara zao kama mafuta. Haya mlieishabikia au kuichagua CCM wote chamoto tunakiona
 
Imekuwa kama watoto wadogo,eti Lowasa anatishia wenzie akikatwa atamleta Dr.Balali,sasa hicho ni chama ama ni genge la wavuta bangi nibangue

Huko sawa kabisa. Kimsingi hiki siyo chama bali kundi la vibaka kama alivyosema Makongoro Nyerere. Wanagombania nafasi ili waweze kuiba na ndiyo maana wanaanza kutishiana namna hiyo. Kwamba sisi wote ni wezi sasa nipishe mimi ukikataa nasema madudu yako kwa watu.
 
Nafunga na kuomba jina la Lowassa likatwe tuone mikwara yake itaishia wapi. Mtu mmoja fisadi na mwizi hawezi kutishia watu wazima kana kwamba chama ni chake.

Hatuwezi kuongozwa na rais fisadi.

we unachekesha sana eti huwezi kuongozwa na fisadi.. inaonyesha wewe hujitambui... hapo ulipo hujui kama unaongozwa na serikali ya wasanii mafisadi vibaka yani unajiona kama unatendewa haki kumbe unamegwa tu bila kujijua.
huyo unaesema ni fisadi ndio mpe mwanao akulelee uone kama akishindwa ndio ni rahisi kumchukulia hatua
 
Let it go, we are tired of robbers, thieves, power mongers, corruption, uncouthness, burglars, terrorists, murderers, slaughterers etc just to name a few characters of what they are.
Katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu tuombe sana Mwenyezi Mungu atuepushe na jitu hili linalotunyonya damu ili afya zetu ziweze kuimarika.
 
Ccm wanakosea kitu kimoja ukweli wananchi wamekichoka hicho chama hata kukisikia tu walichotakiwa kufanya ni kuunda chama kingine kipya
 
CCM haikubaliki kwa jamii, na wao wanajua hilo, huwa nachafukwa kweli kweli wanaposema wanakubalika kwa jamii. Hii sio kweli hata kidogo. Kama wanakubalika kweli kama wanavyoaminisha watu, wafanye uchaguzi ulio huru na wa haki. Waunde tume huru ya uchaguzi yenye kutenda haki tuone. Kuwe kuna uandikishwaji wa kina wa wapiga kura, pia Kuwe na mchakato wa wazi wa kuwapata washindi tuone, pia ccm wasitumie police na usalama wa taifa, tuone. Hawa watu wanaishi kwa hila, mpaka mungu awafarakanishe ndo kutatokea mabadiliko. Watu waovu, wanaotoa kafara kwenye ajali za mabasi na kuua maalbino ili washinde uchaguzi. Kila uovu una mwisho wake
 
Brother, we are living in the crazy world!!! While you are praying bad for Lowassa, other folks somewhere are praying good for him!

It's like this, a woman may look so ugly in your eyes, but that same woman may look vey beautiful in the eyes of another man!

So remember to make the provisions as the unlikely thing may happen!!!
Nafunga na kuomba jina la Lowassa likatwe tuone mikwara yake itaishia wapi. Mtu mmoja fisadi na mwizi hawezi kutishia watu wazima kana kwamba chama ni chake.

Hatuwezi kuongozwa na rais fisadi.
 
Kama inawezekana mtu mmoja akawa nado chanzo cha matatizo ya watu milion 50 basi huyo mtu lazima awe na akili nyingi sana. Mimi sikubali kwamba Lowasa ndo mtu anayeweza kuchukuwa mali za watanzania wote peke yake. Ila kama kaweza basi aendelee na awe rais.
 
Pasco, hujawahi kuwa "realist" kama unavyojigamba! badala yake wewe ni "oppurtunist" mkubwa uliyekosa aibu. Hujawahi kuandika chochote ambacho ni "realistic" zaidi ya kujikomba kwa watawala na vibaraka wao. Ushahidi ni hiki ulichokiandika hapa. Hoja ya Mwanakijiji ni CCM kuvunjika na wala hajasema upinzani kuchukua nchi, wewe ulivyompuuzi unakuja na hoja zako na kuzipandikiza kwa mtoa hoja. Wapi Mwanakijiji kazungumzia CHADEMA? Ni waandishi wa habari ya kariba yenu ndio mnayeiabisha taaluma ya wanahabari kwa mawazo fyongo na duni kama haya. Najua unajipendekeza ili usogee sebuleni kwa watalawala. Na bado hujapewa tenda ya kuwachafua wagombea wengine kwa kalamu yako.
 
Bravo!
 

Maadamu Mwenyekiti wa CCM ndiye Raisi wa JMT basi hakuna mwenye jeuri yya kuivunja CCM, kumbuka CCM ni Chama Dola kila chombo cha Usalama nchini kiko chini yake kupitia Raisi wa Nchi ambaye ndiye Mkuu wa CCM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…