CCM ivunjike tu

CCM ivunjike tu

2-en-1116938c9f89284a9bf4058caef47ad7.jpg


Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).

Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.

Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?

Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.

Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.

Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?

Meguka!

MMM


mmmh! sio mchezo
 
Nafunga na kuomba jina la Lowassa likatwe tuone mikwara yake itaishia wapi. Mtu mmoja fisadi na mwizi hawezi kutishia watu wazima kana kwamba chama ni chake.

Hatuwezi kuongozwa na rais fisadi.

Mbona kikwete anaongoza?

Mbona ccm imejaa mafisadi na mmeshindwa kuyafikisha mahakamani?
 
2-en-1116938c9f89284a9bf4058caef47ad7.jpg


Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).

Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.

Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?

Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.

Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.

Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?

Meguka!

MMM
Utavunjika wewe na njaa zako hizo, hahaha mtaisoma namba mwaka huu.
 
Mzee Mwanakijiji ccm inavunjika tu hakuna namna
 
Nawakumbusha tu! kwi kwi kwi kwi....
 
2-en-1116938c9f89284a9bf4058caef47ad7.jpg


Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).

Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.

Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?

Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.

Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.

Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?

Meguka!

MMM

JF Senior Expert MemberArray


Join Date : 10th March 2006
Location : Kijijini
Posts : 31,744
Rep Power : 87751404
Likes Received24300
Likes Given13220


[h=2]
icon1.png
Magufuli na CCM Mpasukwa, Lowassa na Matumaini, na Nyota ya CHADEMA[/h]
Wazo: Kufikiria hata kwa mbali kuwa ati Magufuli analeta uongozi mpya toka CCM ni kujikunyata katika usahaulifu. Ni usahaulifu uliopitiliza kudhania kwamba ati kwa kumteua Magufuli CCM sasa imebadilika na kuzaliwa upya! Wengine wamefikia mahali wanaamini ati sasa Magufuli atapita kiulaini tu.


Magufuli kama ilivyokuwa kwa wagombea wengine ndani ya CCM wote wanawakilisha maslahi ya chama tawala. Wote wamekuja na watakuja na mwendelezo (rejea hotuba yake ya kuomba kura) wa dhana zile zile, sera zile zile na mwelekeo ule ule. Alishindwa Kikwete kukiunganisha chama Magufuli ataweza? Nitachambua hili zaidi siku chache zijazo baada ya vumbi walilolitifua Dodoma kutua.


…...
Endapo Lowassa ataenda ACT (kama wengi wetu tumekuwa tukifiria kwa muda sasa tulipozisoma alama za nyakati) CCM itapata shida na maumivu mengine ya kichwa na sidhani kama Magufuli ana dawa ya kuyaponya. Hili linafungua uwezekano mpya kabisa wa ushindi wa CDM na washirika wake katika UKAWA. Sioni ni namna gani watu waliounga mkono CDM miaka yote hii wataweza kumkumbatia Lowassa bila kuonekana ni wanafiki. Sitoshangaa kama Lowassa atapokelewa CDM wengine wanaweza kabisa kuamua kuunga mkono Magufuli ili kuendelea kumkataa Lowassa na mambo yake, ahadi zake na maono yake.


Vyovyote vile ilivyo, Magufuli hawezi kuiokoa CCM iliyogawanyika, iliyopoteza mwelekeo na ambayo ina majeruhi na wengine wanakuja yatakapoanza mambo ya Ubunge. Magufuli ataweza kuzungumza kwa kutaja namba mbalimbali na kA hisia na vichekesho lakini ukweli wa hali tete ya chama tawala umethibitishwa Dodoma. Kama Kikwete aliyesifiwa kwa sura yake nzuri, tabasamu lake, 'ujana' wake na ambaye amekuwa kwenye utumishi wa wizara nyingi muda mrefu amekifikisha chama chake hapa na Taifa ni vipi Magufuli anaweza kwenda zaidi wakati hata kama akishinda hatokuwa Mwenyekiti wa CCM hadi 2017 (kama Kikwete hatojiuzulu mapema)?


Kwa wale wanaotaka mabadiliko ya kweli CDM na washiriki wake wanatakiwa kujionesha wanaelewa kadi walizonazo mkononi na ni zamu yao kucheza kwani za CCM tumeziona zilivyochezwa na wamebaki na magarasa tu. Ni wakati wa CDM kuita "Last Card".


MMM​


 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mimi UngaUnga Na Fufua Nyuzi Za Mmm Kuwazindua Watanzania Wazinduke, Maana Hivi Sasa Tunapata Kumuona Akimshambulia Mh El, Ktka Operesheni Yake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom