Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
Jamaa hana msimamoMMM ameshalegea, last week alikuwa na mkwala mbuzi watu wamemkazia sasa amekàa ktk mstari. Hakuna kitakacho vunjika
Jamaa hana msimamoMMM ameshalegea, last week alikuwa na mkwala mbuzi watu wamemkazia sasa amekàa ktk mstari. Hakuna kitakacho vunjika
Hili ilikuwa ni amri; siyo ombi.
![]()
Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).
Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.
Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?
Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.
Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.
Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?
Meguka!
MMM
Nafunga na kuomba jina la Lowassa likatwe tuone mikwara yake itaishia wapi. Mtu mmoja fisadi na mwizi hawezi kutishia watu wazima kana kwamba chama ni chake.
Hatuwezi kuongozwa na rais fisadi.
Utavunjika wewe na njaa zako hizo, hahaha mtaisoma namba mwaka huu.![]()
Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).
Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.
Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?
Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.
Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.
Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?
Meguka!
MMM
CCM bado iko imara
![]()
Kuvunjika kwake kumechelewa; kulipaswa kutokea tangu Kikao cha Butiama. Na labda ingevunjika hata kabla ya uchaguzi wa 2010. Ilichelewa kwa sababu bado hakukuwa na watu waliokuwa tayari kuimegua. Sasa hivi watu hao wapo, sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais).
Ni vigumu kwa wote waliomo humo ndani kuweza kurithi yaliyomo ndani; wameshindwa kukaa kwa amani na sasa inaonekana wanaelekea kugongana. Wangeweza kuepusha mambo haya miaka kadhaa iliyopita ambapo wengine tulishauri mapema tu usalama wake ni kumeguka. Tofauti ambazo zimefunuliwa ndani ya chama hasa linapokuja suala la ufisadi ni kubwa mno kiasi kwamba ni vigumu kuona jinsi gani watu hawa wataweza kuwa wamoja kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Na hili limesababishwa kwa kiasi kikubwa na udhaifu wa mifumo na taratibu za chama kushughulikia watu maarufu kiasi kwamba watu hao sasa wamepata nguvu kubwa kiasi cha kutishia uwepo wa chama na tishio hilo haliondoki kwa mikwara tena. Mikwara ingekuwa inaondoa watu basi "operesheni vua gamba" ingekuwa tosha kabisa. ILishindwa ile, zilishindwa hotuba za mikwara za mwenyekiti na hata maneno ya baadhi ya wana CCM yalishindwa kuwaondoa 'mafisadi'. Nina uhakika hata hili la "tuachieni chama chetu" litafeli. Wanaodai chama ni chao watajiuta hawana chao tena isipokuwa kuondoka.
Na kama watabakia itakuwa ni sababu tosha kwa Watanzania kufikiria kama kweli watu hawa wana ukweli ndani yao au yatakuwa yale yale ya ya kujikomba tena. Wataanza kutulisha maneno tena kuwa "hawakumaanisha yule" au "hawakumaanisha wale". Walimaanisha wengine wote isipokuwa "wale". Tusije kuona wale wale ambao wanasema "wale" ni mafisadi ndio hao hao wakawa wa kwanza kuimba "tuvunje makundi". Makundi CCM hayawajahi kuvunjwa yavunjwe leo kwanini?
Wakati mwingine utaona ni vizuri kwa CCM kuvunjika hata kupoteza Urais na kukaa pembeni ili labda akili zitawarudia. Na inaweza kuchukua muda kweli akili kuwarudia. KANU ya Kenya ilibidi akae pembeni na ikavunjika kweli lakini ilirudi kwa namna nyingine kabisa na kundi lililomeguka. CCM inabidi iende njia hiyo.
Ni kwa sababu hiyo naiombea sana wang'atane, waumane, wachubuane, na hata ikibidi wavunjane. Ili hatimaye wameguke na kutawanyika huku wakibebeshana lawama wakiwa nje ya madaraka.
Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano. Sioni ni nani anayeweza kuwapatanisha sasa hivi maana walijaribu hata vikao vya mashauriano na madudu gani sijui walishindwa. Sasa wananchi wa kawaida wanafikiria watapatana kwa nini, ili kiwe nini, kwa nani na kwa nini?
Meguka!
MMM