Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,848
- 37,551
Kikimeguka ndo kina collapse kabisa, wanaanza mwanzo kama PPT Maendeleo.
Bora pengo kuliko jino bovu
Tatizo Upinzani kuna watu MashaAlllah kuongea tu wamejaliwa , lakini mapaka sasa hakuna Chama hata kimoja huko upinzani kipo tayari kuendesha hii nchi... wao kwa wao ndani ya vyama wana migogoro, vyama vimejikita katika mikoa na wilayani tu! CCM ina mizizi vijijini ....
wizi,uoga, urafi wa madaraka,makundi yote hayo yanapelekea hali iliyopo...udhaifu wa mwenyekiti wa chama hicho ndio tatizo la msingi..amulea ugonjwa kwa mda wote..uwezo alikuwa nao...sasa anaelekea kubanwa kwenye kona..haakuwa na uwezo wa kufanya lolote.....mwenyekiti hana tofauti na miti ya ashoki
Sijaona was kumkata Lowasa
Usishangae ndugu yangu, huyo Barbarosa ni specimen hasa ya watu wapuuzi waliokamata uongozi wa nchi hii toka wa juu kabisa hadi wa chini. Unaweza kukuta mtu mwenyewe ni Waziri au hata Mbunge na bahati yako uko mbali naye; angeweza kukung'oa hata meno kwa bisibisi. Hawa ndio wanakaa na kupanga mauaji na utekaji nyara kama aliyofanyiwa yule daktari masikini. They will go to any length kulinda mali zao za wizi na matendo yao ya kifisadi hata ikibidi kumtoa mtu roho. Je unaweza kuamini wengi unaowaona hapa chini wakimshambulia mwananchi mwenzao ni Wabunge?
View attachment 264749
Wengi hapo ni Wabunge, watunga sheria, wakivunja sheria bila woga wa kushughulikiwa.
Nafunga na kuomba jina la Lowassa likatwe tuone mikwara yake itaishia wapi. Mtu mmoja fisadi na mwizi hawezi kutishia watu wazima kana kwamba chama ni chake.
Hatuwezi kuongozwa na rais fisadi.
Huyu anaejiita Mzee Mwanakijiji hana zaidi ya ufataani tu.
CCM utaiona hivi hivi, haikumeguka wakati wa Nyerere itameguka leo?
Tangu lini "nature" ikaruhusu "vacuum"?Shida sio CCM kufa kabisa
CCM now ni kama 'dead man walking'
shida ipo kwenye replacement tukishaizika CCM
je wananchi wanaiona na kuiamin replacement?
we umeiiona?
Mapovu ya nini katika mjaladala/mnakasha?
Mwambie baba yako aje kuwa crusader, fvck you!
Ukinusa halufu ya Mzee Mwankijiji tumbo la uzazi linakucheza!Huyu anaejiita Mzee Mwanakijiji hana zaidi ya ufataani tu.
CCM utaiona hivi hivi, haikumeguka wakati wa Nyerere itameguka leo?