CCM ivunjike tu

CCM ivunjike tu

Hili ndilo tatizo kubwa la nchi hii na watu wake, hatuna uthubutu. The Boss, ni chama kipi kingine kimewahi kukamata madaraka ya nchi hii hadi useme hakuna replacement inayoaminika? Unatumia vigezo gani? Yaani unataka kuwaambia Watanzania waendelee kuongozwa na dead man walking kuliko kuwapa wengine ambao angalau wanajitutumua? What kind of thinking is this? Comments kama hizi huwa zinanikera kweli kweli kwani ni kama vile hivi tumelogwa, taifa limejaa dead men walking! Fikiria tunao watu wanaosema, hapana imetosha, hatuwezi kuendelea na watu wale wale, ni heri tufanye mabadiliko halafu anakuja mwingine anadai haoni mbadala, heri tuendelee na wale wale!

I understand, change can be scary. Doing anything for the first time or stepping into the unknown can at times be frightening and so requires courage and resolve, two ingredients most of us Tanzanians lack. But when one has hit rock bottom like we have, the only way out is up. It is insane to expect the same minds that led us into the pit to take us out of it hence the need for change; complete overhaul and complete about turn.

Nashangaa watu wanaopinga kuwapa nafasi nyingine upinzani. Sioni sababu ya maana wanayotoa zaidi ya kuongea tu ilimradi.

Ila nilichogundua, hawa watu wanaopinga upinzani kuingia madarakani ni wale watu waliozoea au wapo ndani ya system corrupt. Wananeemeka nayo.

Ila wanasahau kuna multiplier effect ya hiko wanachokitetea. Wanasahau kupitia hiyo CCM wanayoitetea kuna wazazi au ndugu zao wapo huko vijijini hawana maji safi ya kunywa, hawana madawa hospitali, hawana uhakika wa masoko ya mazao yao. Yani matatizo chungu nzima kiasi kwamba ananeemeka yeye pekee hapa mjini kwa ufisadi ila lundo la watu nyuma yake hawana uhakika wa kesho.

Mabadiliko katika jamii yeyote ni muhimu ili tupige hatua kubwa ya maendeleo. Kutokuwa na mabadiliko inamaanisha kuwa tunakubali fikra zile zile zilizotufikisha hapa tulipo.

Ndo maana watanzania wengi tunabaki masikini kwasababu hatuna hulka ya kufanya maamuzi magumu kwenye maisha yetu.

Sisi ni waoga na wasahaulifu sana.
 
mkuu Mag3, watu nchi hii bado sana kwenye eneo la ukombozi wa kifikra....what's even more dismaying ni kuona kuwa ukombozi huu wa fikra kumbe bado unahitajika hata kwa watu "wenye vidato" vyao ambao tulitegemea wawe ndiwo crusaders. pathetic.

kuna mchangiaji mmoja kwenye uzi huu hapo juu amemjibu huyu bwana kuwa afadhali ya pengo kuliko jino bovu...a sobering answer to a slumbering retard!

anyways, historia inatufundisha kuwa watu wa aina hii watakuwepo daima...kama ilivyokuwa wakati Mwl Nyerere alipokuwa anigania uhuru - kuna wasomi wa wakati ule walitaka mkoloni ang'olewe lakini bado walitia shaka kuhusu mbadala (huku wakijua fika kuwa Mwalimu was already there at the helm of it all)


Mwambie baba yako aje kuwa crusader, fvck you!

 
Ccm kwa lowasa wanalo mwaka huu wakimkimbia mshale wakimchukua mkuki yaani wana boonge la soo waamue kukumbatia moto uwachome au wauzime upepo uueneze kwingine sijui watauzimaje.

CCM wakimpitisha lowassa, upinzani watamgaragaza vibaya sana. Na ndo UKAWA wanachoombea.
 
Hili ndilo tatizo kubwa la nchi hii na watu wake, hatuna uthubutu. The Boss, ni chama kipi kingine kimewahi kukamata madaraka ya nchi hii hadi useme hakuna replacement inayoaminika? Unatumia vigezo gani? Yaani unataka kuwaambia Watanzania waendelee kuongozwa na dead man walking kuliko kuwapa wengine ambao angalau wanajitutumua? What kind of thinking is this? Comments kama hizi huwa zinanikera kweli kweli kwani ni kama vile hivi tumelogwa, taifa limejaa dead men walking! Fikiria tunao watu wanaosema, hapana imetosha, hatuwezi kuendelea na watu wale wale, ni heri tufanye mabadiliko halafu anakuja mwingine anadai haoni mbadala, heri tuendelee na wale wale!

I understand, change can be scary. Doing anything for the first time or stepping into the unknown can at times be frightening and so requires courage and resolve, two ingredients most of us Tanzanians lack. But when one has hit rock bottom like we have, the only way out is up. It is insane to expect the same minds that led us into the pit to take us out of it hence the need for change; complete overhaul and complete about turn.

Mkuu nakupa like nyingi sana nikionaga comments sample ya the boss huwa siku inaharibika kabisa naenda zangu kula limao kupunguza hasira.
 
Typical statement from a dead man walking, at least this much I expected! Maybe you didn't say it in so many words, truth is you implied it and that is even worse; you don't even have the courage to do so plainly. Tatizo ni kwamba wanafiki mko wengi. Mara ngapi swali linajitokeza humu likiuliza hao wapinzani wamefanya nini, mbona wameshindwa kutimiza ahadi zao, kwa nini wanapenda kulia lia. Wakiandamana wakipinga, wakashambuliwa na polisi, wakapigwa wakaumizwa na hata wengine wakauawa, mpo watu mtakaowabeza mkidai wameyataka wenyewe. Shame on you people!

Mag3, chukia upendavyo, pamoja na ubovu wa CCM bado CCM ni chama bora kuliko Chadema, na Watanzania watakuonyesha hivyo mwezi October.Jifunze tu kukubali ukweli.

Umetaja pesa zinavyopotea kwenye halmashauri lakin umesahau pesa za vyama zinavyopotea ikiwepo Chadema.Kama hzio halmashauri zilivyopata hati ya mashaka fahamu kuwa Chadema katu haijawahi kupata hati safi,ata mara moja, kuna kujaribu zaidi ya huko?

Unazungumzia ufisadi unasahau hao wakombozi wako ndio ambao kiongozi anafanya biashar na chama, conflict of interest plus, kuna kujaribu zaidi ya huku?.

Hao unaowaita wakombozi ndio ambao kiongozi anaweza akakiuzia chama fuso 3 kwa million 540, kuna haja ya kujaribu zaidi ya hili?

Hao wakombozi ndio ambao teuzi zao wanateuana kinyumba na kifamilia, bungeni pale wamejaza wake zao,dada zao,hawala zao,watoto wao, na wakwe zao,wameteua mezani,bila kupiga kura,unahitaji nin zaidi ya hilo?

Unataka hujaribu vip kitu ambacho tayari unakiona ni kibovu?yes utakuwa dead man walking kama unaruka mkojo ili ukanyage mavi.

Kwa ukosefu wa upinzani makini na adilifu, CCM bado haina mbadala.
 
CCM wakimpitisha lowassa, upinzani watamgaragaza vibaya sana. Na ndo UKAWA wanachoombea.

Ina maana wakimpitisha lowasa hata waliopo humo ndani watakihama chama lao na wakimtosa lazima makundi yaendelee kura watazikosa kama mbwai na iwe mbwai.
 
attachment.php
 
...aisee!
Usishangae ndugu yangu, huyo Barbarosa ni specimen hasa ya watu wapuuzi waliokamata uongozi wa nchi hii toka wa juu kabisa hadi wa chini. Unaweza kukuta mtu mwenyewe ni Waziri au hata Mbunge na bahati yako uko mbali naye; angeweza kukung'oa hata meno kwa bisibisi. Hawa ndio wanakaa na kupanga mauaji na utekaji nyara kama aliyofanyiwa yule daktari masikini. They will go to any length kulinda mali zao za wizi na matendo yao ya kifisadi hata ikibidi kumtoa mtu roho. Je unaweza kuamini wengi unaowaona hapa chini wakimshambulia mwananchi mwenzao ni Wabunge?

ugaidi-wa-CCM.jpg

Wengi hapo ni Wabunge, watunga sheria, wakivunja sheria bila woga wa kushughulikiwa.
 
... sababu zipo na inaonekana kuvunjika huku safari hii hakuepukiki - iwe kabla ya Uchaguzi au baada ya uchaguzi (itakapopoteza kiti cha Urais)...

..... na tumshukuru sana Mr. Mamvi for this, for being so divisive... inapendeza kusikia anapowambia watu ambao hawamtaki waondoke (abaki yeye na genge lake la watu 870,000 aliowanunua).
 
Back
Top Bottom