CCM ivunjike tu

CCM ivunjike tu

Niliwahi sema na nitaendela kusema tena kuwa haya yanayotokea ndani ya chama kikongwe na tawala ni lazima yatokee ili mabadiliko yatokee. Bila haya yanayotokea watanzania hawawezi fanya mabadiliko kamwe hata iweje!! Naamini ni mpango wa Muumba wetu baada ya kuona tumelalamika sana bila kuchukua hatua, na sasa anachukua hatua yeye kwa namna yake, hakika muda wa watanzania kukombolewa umefika.......Chocheeeni kuni.

Nakubaliana nawe mkuu, it is the only path. Kama Mzee Mwanakijiji anavyosema "Siombei wapatane hata kidogo. Maana wakipatana itakuwa shida nyingine ya miaka mitano". Ningependa na nitafurahi ikiwa leo hii hii Lowasa na genge lake wangetangaza kujitoa CCM ili uelekeo kabisa na kupotea.
 
Hapo kweli mkono wa mungu umetumika kuleta hiyo kitu mpasuko ndani ya ccm mithili ya ile nguvu iliyotumiwaga katika kuwavuruga wajenzi wa Mnara wa Babeli.!.
 
CCM kwishaaaaa 👋👋👋👋👋👋👋👋👋👋👋R.I.P CCM
 
Mzee Mwanakijiji, uliyoyaandika ni bayana. Hatimaye yaliyotabiriwa yanaelekea kutimia. Inafurahisha na ninapata amani ya moyo kwani kupasuka kwa CCM ndiyo mwanzo wa "Tanzania Mpya". Hawawezi kukatana majina kwa upande mmoja, na hawajajiandaa kushindwa kwa upande mwingine. Uongozi kwao ni kama bidhaa, Mwenye pesa nyingi ndiye mshindi. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Daaah unabii wetu utatimia Mzee Mwanakijiji?! CCM ni mamafia wameweza kuvuka salama....Pongezi kwao, ngoja tusubiri tuone mzee EL atafanya nini? Kwa nguvu zangu zote nitaendelea kuwa mpinga CCM mpaka pale watakapojirekebisha na kubomoa mfumo fisadi..
 
Last edited by a moderator:
Lowasa hattathubutu kujitoa ccm madhambi yake yataanikwa afe kwa pressure atabaki ccm hata membe angekuwa mgombea
 
Nitaendelea kuikataa CCM mpaka mwisho wa maisha yangu.
 
Ccm ni kama ndoa za jinsia moja kwa watanzania kwa yoyote anayejielewa hawezi kushadadia ndoa hizo
 
Hili ilikuwa ni amri; siyo ombi.

Labda ni blessing in the disguise (sp?!).....

I saw all these but never thought Lowasa would be a determinant..... Well wakati mwingine Mungu hufanya mambo kwa jinsi yake ili utukufu ubakie kuwa wake!
 
Hofu yangu kuu nikuwa je siyo kwamba tunaruka mkojo tunakanyaga kinyesi.....


God of Israel help Tanzanians.... Ukuangalia chama tawala na mifumo yake unakuta kulindana ndiyo jadi; ukirudi huko tulipo weka matumaini unaona tumevamiwa..... All in all God is good all the times bado tupo vitani; mafisadi mwaka wenu wa ole umewadia, iwe kwa wema au kwa ibaya you shall go!
 
MMM ameshalegea, last week alikuwa na mkwala mbuzi watu wamemkazia sasa amekàa ktk mstari. Hakuna kitakacho vunjika
 
Watokomee mara ngapi.CCM Ilikufa mara baada ya Mwl Nyerere kuaga dunia.Iliobaki Ni CCM ya sinema.Hairudi tena kwa sababu sera yake ya ujamaa na kujitegemea ilkuwa ni imani na utashi.Amekufa na imani zake na chama chake hawa waliopita,waliopo na wajao hawanachembe hata mmoja ya CCM NYERERE.
 
Back
Top Bottom