The Prezident
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 459
- 176
Hili ndilo tatizo kubwa la nchi hii na watu wake, hatuna uthubutu. The Boss, ni chama kipi kingine kimewahi kukamata madaraka ya nchi hii hadi useme hakuna replacement inayoaminika? Unatumia vigezo gani? Yaani unataka kuwaambia Watanzania waendelee kuongozwa na dead man walking kuliko kuwapa wengine ambao angalau wanajitutumua? What kind of thinking is this? Comments kama hizi huwa zinanikera kweli kweli kwani ni kama vile hivi tumelogwa, taifa limejaa dead men walking! Fikiria tunao watu wanaosema, hapana imetosha, hatuwezi kuendelea na watu wale wale, ni heri tufanye mabadiliko halafu anakuja mwingine anadai haoni mbadala, heri tuendelee na wale wale!
I understand, change can be scary. Doing anything for the first time or stepping into the unknown can at times be frightening and so requires courage and resolve, two ingredients most of us Tanzanians lack. But when one has hit rock bottom like we have, the only way out is up. It is insane to expect the same minds that led us into the pit to take us out of it hence the need for change; complete overhaul and complete about turn.
CCM itavunjika hilo halina shaka. Unachochangaya hapa ni matokeao ya kuvunjika huko. Huo mvunjiko upo kwa pande mbili. Upande wa kwanza utakuwa na NGUVU NA MAMLAKA kuliko CCM ya mwanzo. Upande wa pili utakuwa CCM iliyopitwa na wakati.
Awamu ya 5 iko mikononi mwa CCM yenye Nguvu na Mamlaka yaliyoirudishia Uasisi na Uasili Wake. Hali Halina UBISHI.