BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Mkutano na Waandishi wa Vyombo Vya Habari Jijini Dodoma Leo.
HawaweziWamemvua uanachama askofu?
Hao magaidi wa dola wanataka kutoa Utopolo gani nchi imeshawashinda hii?
Thubutu yule askofu anawajua nje ndani hata ile mipango ya kumuua lisu alishirikishwaWamemvua uanachama askofu?
Mwenyekiti wao yupo bize anaji selfie kwenye royal tourTunasubiri kama wanaweza kufanya maamuzi magumu.
Hawana uwezo huo, Mama yao kamfagilia juzi Kawe kuleWamemvua uanachama askofu?
Thubutu yao,itakuwa maajabu ya kwanza ya dunua.Polisi zueni hiki chama kinafanya mikutano hatarishi.