Baada ya Ukuu wa mkoa kuwa mahsusi zaidi kwa wanajeshi,
CCm wameamua kuhamishia ujuzi huo ndani ya chama?
Sehemu kubwa ya uongozi wa juu umeshikiliwa na wanajeshi. Kulikoni?
Au ndo maana na wabunge wao wanawapelekesha kijeshi, Hoja ikija hivi wote tuwe hivi, kama ilivyo kulia geuka kwa wanajeshi ambao wote lazima kutii bila kuuliza kwa nini kulia na si kushoto!
CCm wameamua kuhamishia ujuzi huo ndani ya chama?
Sehemu kubwa ya uongozi wa juu umeshikiliwa na wanajeshi. Kulikoni?
Au ndo maana na wabunge wao wanawapelekesha kijeshi, Hoja ikija hivi wote tuwe hivi, kama ilivyo kulia geuka kwa wanajeshi ambao wote lazima kutii bila kuuliza kwa nini kulia na si kushoto!