CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Bongo is all slums, mitaa michafu wala haijapimwa , hakuna maji wala umeme wa kuaminika, mitaa mizuri ni ile ya mkoloni, hata sehemu mpya makazi ya watu ni juhudi za watu maana watu wanajitahidi kujenga nyumba nzuri lakini barabara na huduma muhimu kazi ya serikali ya CCM ni big let down, CCM imeturudisha nyuma sana na ndio chanzo cha umaskini na wamefanya hata uchaguzi usiwe na maana tena nchini kwa ajiri ya wizi wao wa kura
Una hakika na haya unayoyasema ndugu yangu???
 
Mtanzania wa maisha ya kimasikini level ya kati, anaweza jenga nyumba moja kwa miaka 10 akamaliza.

Dar pekee yake, haina karibia kila kitu, kwa miaka 60 sasa, wamefanya nini unasema?
Sidhani kama upo sahii kaka katika hili
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Ujinga ni Mtaji....Mbogamboga FC
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Haki yake ipi tumpe
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Hakika.
Tuelimishwe, tuendeleze kudumisha Amani.

'Tunaimani na.....Oyaa.....Oyaa Oyaaa'

Kidumu!
 
Ukilinganisha Tanzania na nchi kama Singapore au Malaysia ambazo wakati wa Uhuru kulikuwa nao sawa au kuwazidi na pale nchi hizo za Singapore na Malaysia zilipofikia.

Kwa raslimali ambazo tunazo viongozi wote wa CCM wanatakiwa kupelekwa jela na kuchapwa viboko vingi sana. Kwa Kwa ujumla ukiangalia Kwa umakini viongozi hao wametumia madaraka waliyo ya grab Kwa wananchi kujinufaisha wao na familia zao Kwa kujilimbikizia mali na ukwasi mikubwa sana kulipo hata wafanyabiashara ukilinganisha na mishahara yao.

Just imagine viwanasiasa kama vikina Biseko kuwa tu kwenye wizara ya madini kinawezaje kumiliki ghorofa Kariakoo?

Acha ujinga wewe mtoa post. Hii nchi ma CCM wameinajisi kupitia kiasi inabidi wapumzishwe , wafilisiwe pamoja na kupelekwa jela
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Umerogwa wewe
 
Back
Top Bottom