Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,512
- 12,990
- Thread starter
- #61
Angalia historia ya vyama vyote vile na ulinganishe ubora na weledi wake na chama cha TANU.Fanya hivyo kwanza afu tuendelee kujadili kaka.Karibu sanaKabla ya 1961 palikuwa na mfumo wa Vyama vingi.
Umewahi kujiuliza vingeendelea kuwepo, na chama cha upinzani kingechukua uongozi mwaka 1970,
Tungekuwa wapi kama Nchi hivi Leo?