CCM imeparaganyika, hofu imetanda ndani yao

CCM imeparaganyika, hofu imetanda ndani yao

Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Embu fafanua with vivid examples, chama kimesambaratikaje?
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Mkuu una jicho la kipekee hasa ulivyotumia reverse 😜 Kwa kweli CHADEMA hawana pa kushika
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Na kimalizikie kuzimu haraka
 
Duh. Kwanini Kuna Nini ndani ya Chama chetu pendwa??? Mbona sielewi

Duh. Kwanini Kuna Nini ndani ya Chama chetu pendwa??? Mbona sielewi
Wewe unaona kuna kitu?
Wiki moja iliyopita nilikuwa naongea na kiongozi mmoja wa mkoa, wa CCM, akawa analalamikia yaliyofanyika, akasema kuwa mauaji hayo yamewafanya wanaCCM kuonekana ni wauaji. Akadai kuwa huko mkoani kwake hawezi kuvaa nguo ya CCM, kwani ukivaa tu, watu wanakunyoshea vidole na kumuita muuaji. Akasema kuwa kama watu wanaamini kuwa wewe ni muuaji, ina maana wanaweza kukufanya chochote.
Niongezee na wezi wa box lakura
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Chama kiilikuwa na misingi yake sasa imetikiswa na kungolewa mbele ya macho yao.Ndo maana hakuna mwenye nguvu wa kukemea na ukidhubutu unanyoshewa kidole kwamba uko mlengo wa upinzani.
 
Mayumbu wanarukaruka kama bisi kwenye microwave.Yaani wanadandia kila kilicho mbele yao huku wakiongozwa na matusi na kejeli.Wanafikiri matusi na kejeli zitawapa matokeo.
 
Mimi siamini kwa kweli ya Professor Asha Rose Migiro ameshindwa KUSIMAMIA Chama??? Ana uzoefu wa KUSIMAMIA UN ashindwe Chama???

Hizi porojo bhana
Chama hata uwe akili gani utakutana na vikwazo vya hakina kibajaj, msukuma na wengine wengi
 
Back
Top Bottom