CCM imeparaganyika, hofu imetanda ndani yao

CCM imeparaganyika, hofu imetanda ndani yao

Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Tutaona huko mbele ukweli wa haya madai.
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Ufalme umefitinika
 
Mimi siamini kwa kweli ya Professor Asha Rose Migiro ameshindwa KUSIMAMIA Chama??? Ana uzoefu wa KUSIMAMIA UN ashindwe Chama???

Hizi porojo bhana
Hivyo vyeo vya akina migiro ni geresha chama ni cha mwenyekiti

Swali
je anaoUwezo wa kukinusuru,anashaurika na kusikiliza ushauri wa wenye akili hapo chamani? Au anasikiliza ushauri wa machawa na vilaza
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Hofu imetanda nipo Lumumba hapa watu hawanywi majinya dispenser
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!

Mauaji ya wazalendo waliouawa pasipo na hatia inawavuruga.
 
Viongozi wa Ngazi za juu wa chama hicho ni kama wameshikwa na butwaa hawajui wafanye nini kukinusuru chama chao kusambaratika baada ya safu za uongozi ndani ya chama hicho kuparaganyika.

Sasa hivi mambo ndani ya CCM hayafanywi tena kwa kuratibishwa kiuongozi, badala yake kila mtu anafanya anavyoona inafaa ili kujinusuru!

Chama kimetekwa nyara!!
Kikufe tu.
 
Back
Top Bottom