Kwa mwenye akili timamu, wa kuomba msamaha ni CHADEMA kumuomba ZITTO na siyo ZITTO kuomba msamaha.Zitto kubali kutokubali kuwa ulikosea then omba usamaha basi kwa maandishi na kama una kesi futa zote.Wewe ni nyota ndani ya ukawa muda mchache ujao.
Tatizo la Chadema wamefanya chama kuwa milki ya watu wawili.Chadema ni wachumia tumbo si wapinzani wa ukweli. Wale vingozi kila mmoja yupo pale kwa maslahi yake binafsi na si vinginevyo.
Ninachowashangaa CHADEMA ni hili la kila siku kuomba ZITTO aombe msamaha, ili iweje kama siyo kuogopa kuondoka kwake kutakuwa na madhara makubwa kwa CHAMA. Zitto naye alivyosmart anawasikilizia tu wanabwabwaja.Kwa mwenye akili timamu, wa kuomba msamaha ni CHADEMA kumuomba ZITTO na siyo ZITTO kuomba msamaha.
Na CCM iwashauri nini hao vilaza?ushauri wa kweli kwa CHADEMA hauwezi kutoka ccm
Kwa mwenye akili timamu, wa kuomba msamaha ni CHADEMA kumuomba ZITTO na siyo ZITTO kuomba msamaha.
Chadema ni wachumia tumbo si wapinzani wa ukweli. Wale vingozi kila mmoja yupo pale kwa maslahi yake binafsi na si vinginevyo.
Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wasipokuwa makini wataendelea kukalia kiti cha upinzani maisha, wanatakiwa kuwa makini katika maamuzi juu ya watu wanaokifanya chama kusikika kwa watu, wawe na utulivu na kukaa meza moja na watu wanaowaona wanaenda kinyume na matakwa yao, wasikurupuke kwa kuangalia washabiki wasio na upeo na mambo ya siasa. Kuna watu ni mashabiki tu, tena akigombea hata ujumbe wa serikari ya kijiji hapati hata kura moja ila yuko mbele kusema kiongozi fulani afukuzwe kwenye chama, inafaa kutulia wachukue nchi kwanza kisha kuanza kuwamaliza mmoja baada ya mwingine. Kwasasa ni hatari sana hawa watu wana washabiki wao wakiondoka wanaondoka na idadi fulani ya watu, na pengo hilo kuliziba itachukua muda kuliziba. Naomba viongozi wawe makini na maamuzi, tumeliona hilo kwa NCCR-MAGEUZI, tumeliona kwa CUF, siasa ni kama mchezo wa mpira kosa lako anaweza kutumia adui kujiimarisha au kushinda! UMAKINI WA MAAMUZI NI KITU MUHIMU KULIKO KUTUMIA USHABIKI!
yaani mimi niende kumuomba yule kibiritingoma msamaha! you mast be joking mnene! CHEDEMA NI IMANI kuelekea ukombozi wa kweliKwa mwenye akili timamu, wa kuomba msamaha ni CHADEMA kumuomba ZITTO na siyo ZITTO kuomba msamaha.