Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,221
- 128,982
- Thread starter
- #181
Mkuu Olesa, kuna kitu cha muhimu sana umekizungumza hapa!, they must, andif they are ready!.Huu ni mwanzo wa historia mpya lakini Chadema wanatakiwa nao wajifunze kitu kimoja hapo "wanasiasa" hawatakiwi kuwa watendaji wa serikali na hii ndio siri ya wao kuonekana wakifanya kazi nzuri sababu waliikosoa serikali mchana kweupe sababu hakuna mgongano wa kimaslahi sasa na wao kama wanamaanisha hii kazi kwa maana ya kumaanisha basi kujipanga kwao ni lazima wakubali watendaji wa kweli hawana muda sana na siasa za kivyama na wakubali kufanya kazi na watu ambao politically wako neutral ingawa objectively wako tight na committed kwenye kazi!!!!
Wako tayari kwa hilo, au watataka watendaji wakuu wa serikali wapatikane kwa mfumo wa wabunge wa viti maalumu???!!!
Pasco