Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
Hizi ndio zile nguzo ambazo mafisadi wa CCM wanazipeleka nje kisha wanazirudisha tena nchini na kusema ni Importation then wana-charge bei kubwa??
Mkuu Shark ndio hizi hizi hawa watu hawafai kwa mvua au juaHizi ndio zile nguzo ambazo mafisadi wa CCM wanazipeleka nje kisha wanazirudisha tena nchini na kusema ni Importation then wana-charge bei kubwa??
Mkuu Shark ndio hizi hizi hawa watu hawafai kwa mvua au jua
pesa za kampeni zinakusanywa
Hizi ndio zile nguzo ambazo mafisadi wa CCM wanazipeleka nje kisha wanazirudisha tena nchini na kusema ni Importation then wana-charge bei kubwa??
Ccm ndio janga walilotupelekea nakutufikisha hapa pabaya
Porojo ndeeefu.
Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
CCM si kazi yake kununuwa na kuuza nguzo, kumbuka hilo.
Kama kuna mjomba'ko au shangaziyako ni mwizi huko wanakonunuwa hizo nguzo basi huyo si wa kutokea CCM.
Wamekufikisha wapi, kwenye neema? Kama ni kwenye upuuzi umejifikisha mwenyewe.
Binaadam mnaoweka kamati na vikao vya kuchangishana fedha za harusi na maziko halafu mnajiuliza kwanini sisi masikini? Khaa!
Kwa upuuzi kama huo halafu muilaumu CCM?
Kwani wewe ujaelewa ccm imetufikisha wapiMuda mwingine upinzani unasaidia kuelimisha jamii lakini muda mwingine unasaidia kupotosha jamii....
Kwa bei hizo basi tutaikimbia nchi yetu.:confused2::confused2::confused2::confused2:
Tunavumilia kuwa watanzania
Porojo ndeeefu.
Haujuwi kuwa mafuta yameshuka bei zaidi ya hiyo shillingi 100 iliyoongezwa?
Hivi hizo shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Muda mwingine upinzani unasaidia kuelimisha jamii lakini muda mwingine unasaidia kupotosha jamii....
Kwa bei hizo basi tutaikimbia nchi yetu.:confused2::confused2::confused2::confused2:
yan ccm wenyewe wanazidi kutuongezea sababu kwanini tuwaondoe madarakani