CCM chini ya Mwenyekiti wetu Dr. Samia Suluhu Hassan imekuwa maarufu kama Marekani Dunia yote inaiongelea Marekan hii ndo siasa Sasa.

CCM chini ya Mwenyekiti wetu Dr. Samia Suluhu Hassan imekuwa maarufu kama Marekani Dunia yote inaiongelea Marekan hii ndo siasa Sasa.

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Umaarufu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA umezidi kukua maradufu Tangu Mwenyekiti wetu jemedali wetu wa siasa za kisayansi DAKTARI Samia Suluhu Hassan aingie madarakani.

Tuwe wakweli Jamani Samia anaujua uongozi, anaijua siasa, yupo very focused Hana papara, kwakweli nampongeza sana, sijui bunge la Ulaya sijui nani kujihudhuru walaaa! ...yy yupo na Tanzania, yy ni Tanzania kwanza, yy ni kazi, yy na Watanzania.

Hamjakaa mkatulia kidogo kawapiga na Google meeting 🤣🤣👏👏 upepo umehamia kwenye Google meeting.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr. Samia ameuthibitishia ulimwengu na Tanzania kuwa wanawake wanauwezo mkubwa wa uongozi.

Dr. Samia AMEONDOA KELO ZOTE ZA WATANZANIA KWA MUDA MFUPI TU, sijui madaraja ya Watumishi, sjui mazingira ya uwekezaji yamefanyaje, sjui ajira, sjui masoko, sijui nyongeza za mishahara, sijui mbolea za ruzuku, sjui Nini vyote ame CLEAR!

HONGERA SANA RAIS WETU KWA UTHUBUTU WAKO WA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WAKO.

MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RAIS SAMIA.
 
CCM namba 1
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Unafurahia Tanzania kuongelewa kwa utekaji
CCM hajawahi kupenda utekaji lakini utekaji ulikuwepo chadema kwa mujibu wa Dr slaa
 

Attachments

  • 20250714_075231.jpg
    20250714_075231.jpg
    15.6 KB · Views: 19
Umaarufu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA umezidi kukua maradufu Tangu Mwenyekiti wetu jemedali wetu wa siasa za kisayansi DAKTARI Samia Suluhu Hassan aingie madarakani.

Tuwe wakweli Jamani Samia anaujua uongozi, anaijua siasa, yupo very focused Hana papara, kwakweli nampongeza sana, sijui bunge la Ulaya sijui nani kujihudhuru walaaa! ...yy yupo na Tanzania, yy ni Tanzania kwanza, yy ni kazi, yy na Watanzania.

Hamjakaa mkatulia kidogo kawapiga na Google meeting 🤣🤣👏👏 upepo umehamia kwenye Google meeting.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr. Samia ameuthibitishia ulimwengu na Tanzania kuwa wanawake wanauwezo mkubwa wa uongozi.

Dr. Samia AMEONDOA KELO ZOTE ZA WATANZANIA KWA MUDA MFUPI TU, sijui madaraja ya Watumishi, sjui mazingira ya uwekezaji yamefanyaje, sjui ajira, sjui masoko, sijui nyongeza za mishahara, sijui mbolea za ruzuku, sjui Nini vyote ame CLEAR!

HONGERA SANA RAIS WETU KWA UTHUBUTU WAKO WA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WAKO.

MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RAIS SAMIA.
 
Umaarufu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA umezidi kukua maradufu Tangu Mwenyekiti wetu jemedali wetu wa siasa za kisayansi DAKTARI Samia Suluhu Hassan aingie madarakani.

Tuwe wakweli Jamani Samia anaujua uongozi, anaijua siasa, yupo very focused Hana papara, kwakweli nampongeza sana, sijui bunge la Ulaya sijui nani kujihudhuru walaaa! ...yy yupo na Tanzania, yy ni Tanzania kwanza, yy ni kazi, yy na Watanzania.

Hamjakaa mkatulia kidogo kawapiga na Google meeting 🤣🤣👏👏 upepo umehamia kwenye Google meeting.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr. Samia ameuthibitishia ulimwengu na Tanzania kuwa wanawake wanauwezo mkubwa wa uongozi.

Dr. Samia AMEONDOA KELO ZOTE ZA WATANZANIA KWA MUDA MFUPI TU, sijui madaraja ya Watumishi, sjui mazingira ya uwekezaji yamefanyaje, sjui ajira, sjui masoko, sijui nyongeza za mishahara, sijui mbolea za ruzuku, sjui Nini vyote ame CLEAR!

HONGERA SANA RAIS WETU KWA UTHUBUTU WAKO WA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WAKO.

MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RAIS SAMIA.
Inaongelewa kwa uzuri au ubaya?
 
Kasi ya ongezeko la vichaa humu JF Inatisha sana,huyu mleta mada sijui ni kichaa mpya,naomba akutanishwe na katibu mwenezi wa umoja wa vichaa wa JF Ndg Lucas Samia Mwashambwa
Unatetemeka mikono?
 
Back
Top Bottom