Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Umaarufu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA umezidi kukua maradufu Tangu Mwenyekiti wetu jemedali wetu wa siasa za kisayansi DAKTARI Samia Suluhu Hassan aingie madarakani.
Tuwe wakweli Jamani Samia anaujua uongozi, anaijua siasa, yupo very focused Hana papara, kwakweli nampongeza sana, sijui bunge la Ulaya sijui nani kujihudhuru walaaa! ...yy yupo na Tanzania, yy ni Tanzania kwanza, yy ni kazi, yy na Watanzania.
Hamjakaa mkatulia kidogo kawapiga na Google meeting 🤣🤣👏👏 upepo umehamia kwenye Google meeting.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr. Samia ameuthibitishia ulimwengu na Tanzania kuwa wanawake wanauwezo mkubwa wa uongozi.
Dr. Samia AMEONDOA KELO ZOTE ZA WATANZANIA KWA MUDA MFUPI TU, sijui madaraja ya Watumishi, sjui mazingira ya uwekezaji yamefanyaje, sjui ajira, sjui masoko, sijui nyongeza za mishahara, sijui mbolea za ruzuku, sjui Nini vyote ame CLEAR!
HONGERA SANA RAIS WETU KWA UTHUBUTU WAKO WA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WAKO.
MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RAIS SAMIA.
Tuwe wakweli Jamani Samia anaujua uongozi, anaijua siasa, yupo very focused Hana papara, kwakweli nampongeza sana, sijui bunge la Ulaya sijui nani kujihudhuru walaaa! ...yy yupo na Tanzania, yy ni Tanzania kwanza, yy ni kazi, yy na Watanzania.
Hamjakaa mkatulia kidogo kawapiga na Google meeting 🤣🤣👏👏 upepo umehamia kwenye Google meeting.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni Dr. Samia ameuthibitishia ulimwengu na Tanzania kuwa wanawake wanauwezo mkubwa wa uongozi.
Dr. Samia AMEONDOA KELO ZOTE ZA WATANZANIA KWA MUDA MFUPI TU, sijui madaraja ya Watumishi, sjui mazingira ya uwekezaji yamefanyaje, sjui ajira, sjui masoko, sijui nyongeza za mishahara, sijui mbolea za ruzuku, sjui Nini vyote ame CLEAR!
HONGERA SANA RAIS WETU KWA UTHUBUTU WAKO WA KUTUTUMIKIA SISI WANANCHI WAKO.
MUNGU AKUBARIKI SANA MH. RAIS SAMIA.