Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
- Thread starter
-
- #81
Yaani, CCM wametupa kweli wajinga sisi watanzania!! Ili kuiondoa CCM lazima kuwe na chama kimoja tu cha upinzani ambacho itikadi yake ni ANTI_CCM, that is it.
Yaani kazi kweli kweli
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu wangu mawazo yako ni ya KIBINAFSI.. yaani unaonyesha wazi kwamba unachoamini wewe hata kama ni kinyume basi sawa tu hali wakati huo huo unatumainia ushindi pasipo kuunganisha nguvu... Hii haiingii akilini hata kidogo. Maelezo yako kwa ujumla hayana tofauti na ile hotuba ya JK alipowaambia wafanyakazi kwamba - Haitaji kura zao.. jambo ambalo limetupa picha kwamba JK anafikiri anaweza kushinda pasipo kura za wafanyakazi. Fikra hizi tu zinaweza kumgharimu sana kinyume na matajario yake.
Mkuu mara zote kauli ya mtu ndio humfunga ktk matendo yake, hivyo unaposema CCJ hawana sababu ya kuungana na vyama vingine kwa sababu za Kiitikadi, malengo na kadhalika inanipa wasiwasi mkubwa zaidi kwa sababu nimeisoma katiba ya CCJ na hakuna jipya.. CCJ imeundwa kutokana na matokeo ya Uongozi mbovu aambao wote hawa wameutumikia kwa zaidi ya miaka 26 muda mrefu zaidi ya Utawala mzima wa Nyerere. Hawa watu walikuwa viongozi ngazi za juu kwa miaka yote 26 wasione sababu ama umuhimu wa Upinzani kwamiaka yote 26 ila tu baada ya kuingia JK ndipo tunawaona wakisimama.
Kifupi hawa naweza kuwaita ni wana MAPINDUZI, CCJ ni chama kinachotaka kupindua CCM kwa amani lakini ni kizazi kile kile kilichotufikisha hapa tulipo leo. Mabaya yote wanayoyaona leo CCM ni mabaya ambayo vyamavingine vimeyaona miaka zaidi ya 15 iliyopita wakati wao hawaoni makosa haya. Leo ujio wao uyaone makosa yote ya Upinzani kisha basi badala ya wao kuyarekeebisha ili ushindi upatikane wanachukua jukumu hilo wao wenyewe kwa matumaini kwamba sisi wananchi tutawaamini kwa sababu tu wanatumia jina la Mwalimu Nyerere.
Hapana mkuu wangu... CCJ wakiwa viongozi ndani ya CCM wamepiga kura nyingi sana dhidi ya miradi ambayo imetuingiza ktk hasara. Walikuwa moja ya sababu kubwa ya bunge letu kupitisha sheria ambazo zimetufikisha hapa. walikuwa wajumbe wa mkutano ulopitisha Azimio la Zanzibar na kuliua Azimio la Arusha hali wakidai Azimio hilo halikufa. Na wakayapokea MAFISADI ndani ya chama wakijua fika kwamba chama kinapoteza mrengol lakini hawakutoka. Sasa iweje leo hawa watu waje hapa kutuhakikishia ushindi hali wakijitenga na kutohitaji nguvu ya wanamapinduzi wengine waliowatangulia.
Mkuu wangu nimekwambia wazi kabisa kwamba Hata Zimbabwe ambao walikuwa na uhasama mkubwa wa kikabila na chuki ya jadi. Iliwachukua Kuungana kwa nguvu zao kuweza kumshinda Kaburu Ian Smith. Huko South pamojana upinzani mkubwa wa kiitikadi baina ya ANC na PAC walikuja unganisha nguvu zao kumlazimisha Kaburu kuachana na Apartheid. Uhuru wa Msumbiji na kadhalika, hizi zote ndizo hekima za Mwalimu Nyerere alizotuonyesha ama kutuachia kwamba ni lazima tuondoe tofauti zetu tunapomkabiri adui mmoja. Maswala mengine ya kiitikadi yatafuata baada ya ushindi na kubomoa nguzo au kuta za Berlin (katiba, sheria na taratibu za Kiutawala).
Kinyume cha kufanya hivyo ni kukataa wazi hekima za mwalimu lakini bado mkitumia jina lake kwa faida yenu..Ikiwa ushindi ni LAZIMA basi shurti mkubali ukweli kwamba Umoja ni nguvu na utengano ni Udhaifu.. mkikataa haya binafsi sioni sababu kabisa ya chama hiki CCJ kutumia jina la Mwalimu hali msingi mkubwa wa itikadi yoyote ni kuwaunganisha watu dhidi ya utawala dhalimu.
Lakini hiyo ndio dira (msingi na malengo) ya chama hiki.. Hivyo katiba itakayofuata ni ktk kuweka taratibu za kisheria zinazojenga safari nzima kufikia malengo haya. Mkuu kama unataka kuwapeleka wananchi Canada kuhudhuria Caribana la msingi ni kuwafikisha wananchi hao huko. Nachopinga mimi ni pale CCJ wanaposema tutasafiri na chombo chetu wanaotaka kuja nasi waje wakitumaini watu wengi watawafuata hali upo usafiri mwingine. Tunacho shauri sisi ni kukaa kwa pamoja na kujadili safari hii kwa pamoja iwe kwa bus au ndege lakini sote tufike tunakotaka kwenda pamoja. Haya maswala ya vyama 14 vyote kufikiri wana nafasi ya kushinda (kufika) ni upotoshi mkubwa sana kwa sababu kila chama kinakuwa kinafikiria ushindi wa mtu mmoja mmoja kama usafiri binafsi wa kwenda Canada akichukua abiria wanaotaka kwenda naye. Mkuu tupande ndege moja tutafika sote, kama wewe una malengo ya kulala hotelini utalala hakuna anayekuzuia, ila waache wanaotaka kukaa kwa Mkandara wakakae wao - muhimu sote tumesha fika Canada...Mkandara, Katiba uliyoisoma ya CCJ ni katiba ya muda (provisional constitution) ili kukiwezesha kuanza kazi za kisiasa na kupata usajili wa muda. Mara baada ya kupata usajili wa kuduma Katiba mpya itaundwa na uongozi mpya wa kitaifa na kwenye mikoa utaundwa. Vyovyote unavyovisoma kwenye Katiba sasa hivi ujue ni vya muda tu.
Mkuu huwa unafuatilia mjadala kabla ya kuposti? hiyo itasaidia sana.
Lakini hiyo ndio dira (msingi na malengo) ya chama hiki.. Hivyo katiba itakayofuata ni ktk kuweka taratibu za kisheria zinazojenga safari nzima kufikia malengo haya. Mkuu kama unataka kuwapeleka wananchi Canada kuhudhuria Caribana la msingi ni kuwafikisha wananchi hao huko. Nachopinga mimi ni pale CCJ wanaposema tutasafiri na chombo chetu wanaotaka kuja nasi waje wakitumaini watu wengi watawafuata hali upo usafiri mwingine.
Tunacho shauri sisi ni kukaa kwa pamoja na kujadili safari hii kwa pamoja iwe kwa bus au ndege lakini sote tufike tunakotaka kwenda pamoja.
Haya maswala ya vyama 14 vyote kufikiri wana nafasi ya kushinda (kufika) ni upotoshi mkubwa sana kwa sababu kila chama kinakuwa kinafikiria ushindi wa mtu mmoja mmoja kama usafiri binafsi wa kwenda Canada akichukua abiria wanaotaka kwenda naye.
Mkuu tupande ndege moja tutafika sote
, kama wewe una malengo ya kulala hotelini utalala hakuna anayekuzuia, ila waache wanaotaka kukaa kwa Mkandara wakakae wao - muhimu sote tumesha fika Canada...
Halafu kama sikosei tukumbuke kwamba mfumo wa uchaguzi ni mbaya na hasi kwa wapinzani..sijui kama kuna sheria ya mshindi lazima apate zaidi ya kura 51 kushinda..Winner take all unatugawa vibaya sana kiasi kwamba hata kama CCM watashinda kwa asilimia 40, CCJ kura 30, CUF 20 na vyama vingine kwa ujumla wake kufikia asilimia 60. CCM atachukua ushindi na kuongoza nchi hakuna cha serikali ya mseto.
Hili tumeliona ktk uchaguzi uliopita huko Zanzibar tofauti na tulivyoona Uingereza. Kwa hiyo mfumo mzima wa uchaguzi ni against vyama vya Upinzani na the only way wanaweza kubomoa nguzo hii ni wao kuungana na kuunda team moja. Ni kwa ujumla wao tu wanaweza kuwa mbele ya CCM ktk uchaguzi kiyasansi..Hakuna habari ya ramli na bao (siasa nyingi) litakalo wawezesha.
Mkuu haijalishi kama CCJ itamsimaisha mtu kama Salim ambaye nampa kura zangu zote., bado atashindwa kuvuta kura za wana CUF, Chadema, NCCR na TLP jambo ambalo litaangusha nguvu kubwa ya upinzani.
The only way Salim anaweza kumshinda Kikwete ni kugombea ndani ya CCM yenyewe since JK mwenyewe kaweka sheria ya mgombea kuchaguliwa na wanachama sio kamati za chama. Sheria hii pekee ndiyo inaweza kumgeuka JK mwenyewe ktk uchaguzi ndani ya chama chake akisimama mtu anayeaminiwa zaidi yake. Akigombea nje ya hapo ni lazima vyama vyote vya upinzani visimame nyuma ya mtu huyu laa sivyo itakuwa vichekesho... mark my word on that.
mbona wapo tele?
Ulizeni tu maswali yoyote ambayo mngependa kupata majibu kuhusu CCJ...
Mkuu hapa sasa ubabaisha kujaribu kuupangua mfano wangu kwa herufi kubwa.
Hakuna chama Tanzania chenye malengo nje ya safari ya kumkomboa Mtanzania, kuboresha maisha yake kiuchumi na kadhalika. Hata hao CCM wenyewe waliahadi haya, tatizo ni kwamba sisi sote tunataka kwenda nchi ya kusadikika. Hakuna kati yetu anayejua Iringa, Mwanza au Bukoba inafanana vipi nikiwa na maana hakuna Mtanzania hata mmoja anafahamu hivi vyama vitaweza vipi kutufikisha ktk nchi ya kusadikika. Hivyo napozungumzia Canada na shehere za Caribana ujue kwamba wasafiri wote hawajui hiyo Canada zaidi ya jina na picha za TV kisha hawaji Canada kwa sababu wanataka kuja Canada ila kuna sababu zaidi ya kusafiri tu. Ndege yetu ya CCM (chombo) imeanguka kisiwani na sisi survivors tunajaribu kutoka ktk kisiwa hiki baadala ya safari ya awali toka tupate Uhuru.. (sinema ya LOST).. So who U trust itachukua nguvu zaidi ya uzuri wa mashua, bus, dereva au tingo ila mpango madhubuti kulingana na wingi wa wasafiri wanaotaka wote waokolewe...
Haya maswala ya chaguo la mtu ni pale msafiri kisha fahamu Mbeya ni wapi tofauti ya Mwanza na Mbeya na unachukua usafiri upi rahisi...Kumbuka hii ni nchi ya Wajinga na Malimbukeni usifanye mzaha hata kidogo kwani sisi wote hatufahamu nini maendeleo zaidi ya kuiga yale tunayoyaona ktk TV, na isije kuwa kutofahamu kwetu iwe sababu ya kutuburuza kama CCM walivyotuburuza..
Nyote CCM, CCJ, Chadema CUF mnatupa picha ya usafiri mkitumia navigation system (katiba) mlo tengenezewa pasipo hata nyie kujua huko tuendako kunafanana vipi..Kifupi ktk hatua tuliyopo, mafanikio ya Mtanzania kwenda nchi ya kusadikika ni kuondoka ktk hali hii kwanza iwe hata kwa kudandia gogo..itachukua umoja wenu kuweza kumudu majanga ya kisiwa hiki cha LOST.
ms Felister,kwangu mimi ni mfuasi wa itikadi zao,na nilishaweka hapo nyuma kuwa itikadi zao zinaelekea kuturudisha excactly at the point we were supossed to better ourselves from from poverty and so forth,and what failed us was and still are the leaders!
Its good that you drem to lead your country,hizo ni lugha nzuri tu za kimwamko,lakini hakuna jipya,ukishamchagua kiongozi you dont lead enimore and the dream is dead if not becoming a nightmare!
Tunapokuja sasa hapo kwenye leading,tunaambiwa kuwa viongozi wao hao ni wapya,sawa hilo liko wazi,lakini amin nakwambia kama wale wazalendo wengine wa kweli ambao wananchi wanawakubali hawaingii humo,sidhani kama wengi wetu wako tayari kugamble,Hata Obama mwenyewe kama si democratic party asingeshinda no matter what kind of a party he wouldve formulated! Na pia wengi waliweka imani baada ya watu kama marehem Kennedy na wengi wenye influence kubwa kwenye majority ya wanajamii wa kawaida (ambao kwa kweli they wanted something new or changes no matter what)endorsements matters no matter what ya'll say,Obama alikuwa endorsed na watu ambao walikuwa wakipewa heshma ya kuwa "watu wa watu" wenye kupigania maslahi ya jamii in a vast scope!
Mi bado nasuburia,kama ni kweli chama kinafuta "Misingi" ya kweli ikiwa ni pamoja na kuanzia kwa kurekebisha pale tulipokwama ndo solution,itikadi za chama hiki zenye kufanana na za TANU,zinzonyesha ni zile za kuturudisha kwenye msitari,hivyo ni lazima tuanze na wale waliokuwa wakipinga ufisadi toka enzi na enzi,ambao bado wapo,na wanaheshimika na watu wa kawaida kwa ujumla,yani masikini walio wengi,na kuchanganya na wale wa kizazi kipya kama wapo ie kina Renatus Muhabi na wenzake,inavyoonekana ndio hao viongozi wa ccj,ni lazima tuwaone hao watakaojitoa zaidi ya Mpendazoe,then we'll go from there,i dont really believe there's such a thing as "Brandnewey" in dis game.
Kwa sababu ndege ya usafiri wetu CCM imeanguka, vyama vya Upinzani walikuwa na wasiwasi nayo toka mwaka 1992, wakati hawa CCJ wakiwa wahudumu na waajiriwa wa shirika hili. Sasa baada ya kuanguka ndipo tunapata mawazo mengine toka kwao ya kutuchanganya akili zaidi..Kumbuka mkuu wangu wewe unazungumza kama mwanaCCJ sijui kama umesimama kama mpiga debe au mmoja wa viongozi hali mimi nazungumza kama mwananchi nayetaka kuokolewa..Imani yangu mwananchi kwako ndiyo muhimu kuliko maelezo yoyote yale na lazima ujali zaidi hofu ya mwananchi kuliko fikra zako wewe..kama unayoyasema ni kweli kwanini vyama vya upinzani vilivyopo sasa visijiunga na CCM?
Kwa sababu ndege ya usafiri wetu CCM imeanguka, vyama vya Upinzani walikuwa na wasiwasi nayo toka mwaka 1992, wakati hawa CCJ wakiwa wahudumu na waajiriwa wa shirika hili.
Sasa baada ya kuanguka ndipo tunapata mawazo mengine toka kwao ya kutuchanganya akili zaidi..Kumbuka mkuu wangu wewe unazungumza kama mwanaCCJ sijui kama umesimama kama mpiga debe au mmoja wa viongozi hali mimi nazungumza kama mwananchi nayetaka kuokolewa..Imani yangu mwananchi kwako ndiyo muhimu kuliko maelezo yoyote yale na lazima ujali zaidi hofu ya mwananchi kuliko fikra zako wewe..
Nitarudia kusema hivi ile ndoto ya Ushindi haiwezi kuwepo kama hakuna muungano wa vyama. CCJ could be anything.. pengine ni watu wa Lowassa, Mkapa, Sumaye who knows..au hata JK mwenyewe anataka kujiengua CCM ya wazee na kuunda wagombea wapya through CCJ kama alivyofannya yule rais wa Malawi.
Kifupi Ujio wa CCJ unatuchanganya zaidi sawa na hiyo misaada inayotolewa hivi karibu ya uchaguzi kama ni takrima au ndio ilikuwa Ilani ya mgombea.
Mkuu mnatuvuruga tu akili zetu kuweni wazi. wakweli na kutazama ishara za wakati na ushindi, haya maswala ya kila kila mtu na usafiri wake ni maswala ya kutafuta orodha ya wanachama sio ushindi kwa Taifa zima.
Chama ambacho kimedaiwa ni gelesha na kisicho na jina kubwa kinaendelea na wimbi lake la kushawishi wananchi kuweza kukikubali. Jana (Jumamosi) kilifanya mkutano wake huko Mbagala (katika kile kinachoitwa Meet and Greet - kuonana na kuwasalimu wananchi) ambapo Mwenyekiti wa CUF wilaya ya Temeke pamoja wanachama kadhaa wa CCM na CUF wameamua kurudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na chama hiki chenye usajili wa kudumku kikiendelea kusubiri usajili wa muda..
chama hiki chenye usajili wa kudumku kikiendelea kusubiri usajili wa muda.
Mzee Mwanakijiji, let me be frank and open, numekuwa nikusoma muda mrefu nikajiridhisha wewe ni/ulikuwa CCM Damu.Kwa sasa nibakie kuwa ni mwanachama tu sina cheo chochote na sitamani cheo chochote zaidi ya kuwa mpiga prapaganda mkuu (in the tradition of Caville na Rush).
duh.. sorry.. unajua tena wakati mwingine mawazo yanafikiria kinyume nyume.. .. masahihisho yamefanyika. Shukrani. Niwaache mjisomee hayo wakati naenda kuwaunga mkono wazawa hapa..
"unnanana sana na mwanakijiji" unajitahidi sometimes "wewe si yeye" naamini kuna watu wana majina mawili mawili kwasababu ya unafiki!wanajidai wao ni perfect kwasana na badala ya kutumia majina yao wanayoheshimika nayo na kuwa real watever da ef case,wanakuwa macowrds na kuwa feki kuandika ujinga na matusi!i havent bought it,lakini i dont really give a rat ass about mi,i am real and i'ma ef satayin da ef real 4ever, im mi so wat?na sina haja ya kutumia many than one name about it,eti hisia zaidi ya akili,wewe ndio unahisi niko juu ya mbege na kuhisi kwamba naendeshwa na hisia! we mdosi tu very out of touch!
We ni mtu wa mtandaoni na hauna mwelekeo wa kuwaza kama mwananchi wa kawaida,mwananchi ambaye hata chama hicho chama cha ccj ndiyo kina watarget zaidi.
Nilishakwambia kuwa sikupangii nini cha kusema lakini bado umerudia kusema kuwa nakupangia cha kusema! Si unaongozwa na "kwenda personal all the time mtu anapo question somthing on your post!
Logically kama uko very interested na mambo mengine kabla hata ya jua jina la chama(kwasababu majina mara nyingi hubeba mwelekeo wa chama) mategemeo ni kwamba ungeshajua tayari jina la chama,maswali uliyoyauliza hapo nyuma yanatoa mwelekeo kwamba ulitakiwa uwe ushajua info hiyo,na si hisia....we cjui mtanzania gani?mara nyingi unapost out touch "shit" fareal! Na kama mtu unayeshinda hapa JF kujidai kwamba hujui ni nafiki mtupu,tulikuwa kule kwnye mjadala wa kuhusu ccj na maelezo yalitolewa wazi kabisa kuwa ccj stands for chama cha jamii,na wengine kuanza kuspeculte "sisije?"
Mwisho kwasababu ya anynomity kuruhusiwa hapa JF, STILL I AINT NO PUBLIC FIGURE,or a celebrity we unahisi evry day mi ni mchaga,na mimi sikutaka kuhisi kwamba wewe ni mwanakijiji,mgoni ama ama mwenyeji wa mtwara, i always that aint da case coz yu sound flani hivi msikufiche!
Yani wewe unakubaliana na mwanakijiji kwamba ni hisia watu wanaongozwa nazo ukanitolea mimi mfano na yeye hapo awali akidai eti hajui hisia za Tendwa kwa maana akiamini kuwa anaongoza kwa hisia,lakini kwasababu ya ushabiki wako wa "kishoga shoga" ushanigeukia mimi na kudai naongozwa na hisia badala ya si akili, hapo sishangazwi coz nilisha mention biasness yako,na vijimaswali vyako rahisi rahisi ambavyo ni vya kufurahishana kama vile viko pre arraanged,mtapewa nchi watu ambao hamjui namna ya ku react?aaegh,halafu tusije kushangaa na fikra zako za "Kinyani" ukapewa uongozi ama kaposition flani hivi kifisadi fisadu,bado safari ni ndefu kama eti we ndo mwenye akili!
Ukiona hivyo basi perfomance yetu ya uelewa ni ya kushtusha!
Very out of touch on real and normal Tanzanians lives,mtandao peke yake hautoshi kuyajua mambo flani flani.
Kwa kusema natumia hisia bila akili huo ni us**** wa kiakili!
Sometimes una vijimaneno vya "kishoga shoga" sikufichi mkuu,neat pickin*2 za kipuuzi puzi tu,mara sijui how i type,eti sijui mangi kuwa hivi ama vile,ooh cjui grow up and all dat ef crap,unapenda kupeleka watu personal sana,unajuwa wewe umefungiwa mara ngapi kwa mambo ya kipuuzi?Juzi tu umetoka kwenye "Ujulius" na kurudia "Unyani" wewe ndiye ambaye you dont grow up,n you still ef da same,huna haja ya kuniambai eti you had itikadi kabla ya kumjua mwanakijiji,under you anyonymity your ass can be enybody" so dont fool me "fool."
Acha upuuzi subiri majibu,nilishakwambia sikupangii cha kusema na we ndo "mjinga" kwa kutokusoma postings za wenzako vyema,hujui kuna watanzania wa tofauti humu we ni muhindi unayejibambikizia Utanzania na kuinsult uafrika,halafu ukijidai eti hiyo ndo akili!
:brick:
Mwanakijiji naye anadai eti hajawhi kukishabikia cama chochote cha kisiasa ccj ndo cha kwanzaa!eti nini?
Halafu pia anadai nisiseseme for a certain kwamba Dr Slaa ametoa mchango mkubwa sana kuhusiana na kuibuliwa kwa issue za ufisadi na kuwa na msimamo ule ule wa kizalendo hadi sasa,usiyo yumba,kamwe hatuwezi kuwatupa wazalendo eti kisa kuna chama kipya na watu wasiojibu maswali hapa,na kwamba eti kutokujulikana kwao ndo jambo zuri?Slaa anaheshimu watu humu ndani he's down to earth licha ya umaarufu wote alionao na anajibu maswali vyema bila vijimadharau,hao viongozi wa ccj wanamtumia mwanakijiji kwasababu wao anadai eti wamo humu lakini nadhani kwa majina bandia ama kama guests!
Tutasimamia misingi na hoja za maswali yetu tukipewa nafasi hiyo!
BTW your "ass" backwards....Unasoma kitabu kabla ya title na labda mwandishi?Acha uzembe Nyani na kuita wenzio wajinga maana wewe ndo tafsiri hiyo uliyoiweka hapo juu kuhusu mimi!