Caught on Tape: Mkakati wa Mamluki wafichuliwa!

Caught on Tape: Mkakati wa Mamluki wafichuliwa!

Status
Not open for further replies.
😕😕🙁😡🙂😱:d😉😛

chinks, 2008.


..............

yes it is.gif
 
kama umeshaonaa ni mbinu za kihuni huni, unahitaji kideo ya nini? Kwamba ukiona video ndio utabadili mawazo? Unaomba kideo wewe ili kuthibitisha nini? kama ulikuwa ni mkutano wa kawaida tu na kideo kinamuonesha Mtawa pia au mtu mwingine 'vip' na hakina sauti utaamini nini? Na ukisikia sauti ikisema "milioni tatu, nimetumwa n.k" utataka nini kingine kuthibitisha.
Kwa vile huu ni udaku, hauitaji ushahidi utakufa wenyewe kama udaku mwingine.[/QUOTE]

....ameeen.
 
..........................😉😉🙂 theudaku.blogspot.com

chinks, 2008.

never use your downstairs for thinking, got it? if you wanna kid on me just start a thread, okay?
 
Hii habari ndivyo ilivyoripotiwa na Habari Leo:

Habari Leo

Kamati ya Wahadhiri wa dini ya Kiislamu nchini, wamekanusha habari iliyotangazwa na Kituo cha Televisheni cha ITV, iliyodai kuwa kuna kikundi cha dini ya Kiislamu kinachotumika kuchafua jina la mfanyabiashara maarufu na mwanasiasa nchini kwa kutumia nembo ya udini na ukabila.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Chifu Hussein Msopa, alizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, na kutoa tamko la kukitaka kituo hicho cha utangazaji kuiomba kamati hiyo radhi kwa kipindi kisichopungua siku saba kuanzia jana.

"Sisi tulikuwa kwenye mkutano wetu siku hiyo, hatukualika vyombo vya habari tulikuwa tukijadili masuala matatu; OIC, Kadhi na ukabila,” alisema Msopa, na kuongeza kuwa katika ajenda hizo, walilazimika kuachana na ajenda mbili ambazo ni OIC na Kadhi kwa kuwa Rais Jakaya Kikwete aliwasihi wananchi kuiachia serikali masuala hayo.

Alisema kitu cha kushangaza ni pale televisheni hiyo ilipofuatilia kwa siri mkutano huo bila kualikwa, na kurusha mjadala na mawazo ya baadhi ya wajumbe badala ya kusubiri nini kiliamriwa au baada ya kikao, kitu kilichowatia shaka juu ya usalama wao.

Aidha, Mwenyekiti huyo alisema taarifa hiyo ilipotosha umma na kuleta uzushi na uhasama baina ya Waislamu na Wakristo wanaoitakia mema dini hiyo, baada ya kueleza kuwa kikundi hicho kinachotumika kumchafua mfanyabiashara huyo, kinafadhiliwa na mtu aliyejulikana kwa jina moja la Manji.

“Tunatamka kwamba endapo ITV hawatatuomba radhi kwa siku hizo saba… tutahamasisha Waislamu na Wakristo nchi nzima kuacha kutazama taarifa yoyote ndani ya kituo hicho, pia kusitisha ushirikiano wowote wa kibiashara na Kampuni za IPP, na mwisho tutaomba dua na kulaani kituo hicho,” alisema Msopa.

Alisema kamwe Waislamu hawataacha kujadili suala la ukabila ambalo linazidi kuota mabawa nchini siku hadi siku, na kufanya baadhi ya sekta na idara za serikali kuendeshwa kikabila na bila ufanisi, sababu zinazopelekea migomo, maandamano na hata uzalishaji na huduma mbovu.

Juhudi za kumtafuta msemaji wa ITV ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhavile, hazikuzaa matunda, baada ya Katibu Muhtasi wake, kueleza kuwa anahudhuria mkutano, na kwamba hatazungumza na mtu ye yote. Kwa mujibu wa maelezo ya Msopa, taarifa hiyo ilitangazwa na kituo hicho Novemba 3, mwaka huu na kurudiwa siku iliyofuata, pamoja na kuonyesha picha za wahadhiri hao wakihudhuria kikao hicho.

My Take:
Angalia kile wanachotishia kukifanya baada ya siku saba na kile ambacho nilikiripoti jana kuwa kilirekodiwa kabla ya kipindi hicho kurushwa (kwamba uamuzi wa kufanya kinachotishiwa kufanywa baada ya siku saba ulifanyika kabla ya habari hii kutoka hewani- inawezekana vipi?). Je siyo kwamba baada ya siku saba watakukwa wanatekeleza hiki.

Sasa baada ya siku saba mkisikia habari ni hii itakuwa ni kwa sababu ITV wamekataa kuomba radhi au kwa vile uamuzi huo tayari ulishachukuliwa? Kwanini wasitishie kwenda mahakamani kama wanavyofanya wengine?

Ni wazi kuwa hawakanushi kukutana, hawakanushi kuwa wote waliotajwa walikuwepo kwenye mkutano huo na mwisho hawakanushi ajenda kubwa tatu za mkutano huo. Ni kwamba wanakubaliana na yote yaliyoonekana kwa macho ila wanakanusha yaliyosikika wakiyasema huku midomo ikionesha wazi kuwa wanaongea - duh, kazi kweli kweli.
 
Ni wazi kuwa hawakanushi kukutana, hawakanushi kuwa wote waliotajwa walikuwepo kwenye mkutano huo na mwisho hawakanushi ajenda kubwa tatu za mkutano huo. Ni kwamba wanakubaliana na yote yaliyoonekana kwa macho ila wanakanusha yaliyosikika wakiyasema huku midomo ikionesha wazi kuwa wanaongea - duh, kazi kweli kweli.

.......fact.
 
Mimi mwenzenu ningefurahi kweli wangeenda mahakamani ili ushahidi utolewe na wao waitwe kama mashahidi katika vipimo vya kisheria maana yawezekana wameonewa kwa sababu ya dini yao tu. Sisi wengine tunaripoti facts jinsi zilivyo ni kazi ya mahakama kuamua kama hizo facts zina nguvu ya kisheria kukubalika.
 
Tuwe makini tunapokutana na upinzani usio na msingi katika mijadala muhimu.Hapa kuna mkundi kadhaa ya wanaojitahidi kui-discredit topic hii au kuilazimisha ibadili mwelekeo.
Kwanza kuna wale usual critics ambao nadhani kutokana na obession na useless criticism wanaweza hata ku-criticise their actual dates of birth or hawa wanajulikana.Wanachojua wao ni kupinga tu.In most cases,hawaji na topic mpya bali huvamia na kupinga tu.Hawa tumewazowea.
Kundi la pili ni wale wanaopinga kwa minajili ya kupata habari zaidi.Baadhi yao wanaweza kuwa vikaragosi wanaoshinda hapa kujua kinachoendelea.Wanatumia ujanja wa kubisha ili kupata habari zaidi.

Kundi jingine,na hili ni la hatari,ni wale wanaohusisha habari hii na "vita" dhidi ya dini flani.Hawa ni kama waumini wenye msimamo mkali.Ukitaja imani yao,hata kama ni kwa nia nzuri,basi umewachokoza.Hawapingi mada hii kwa vile wana ushahidi kuwa huu ni udaku lakini kwa vile hawataki kuona imani yao inaguswa.Jina jepesi la hawa ni WADINI,na huenda wana-wish uharamia unaozungumzwa kwenye mpango huu ungefanikiwa.

Kundi la mwisho,ambalo linashabihiana na la pili na la tatu ni hawa wenzetu wanaojifanya wanajua kila kitu.Kwa wao,kilicho sahihi ni kile wanachokifahamu wao tu.Pia akitajwa mtu ambaye ni rafiki kwao basi mada nzima ni uzushi.Pengine wanapaswa kujiuliza hivi:kama mtu anaweza kuwa cheated na mkewe without their knowledge,kwani rafiki/mtu unayemfahamu asiweze kuwa anajihusisha na mambo ambayo wewe unayamini ni rafiki yake huyajiu?Who's more closer to you,wife au rafiki?

Mwanzisha mada aliiweka habari hii kwa nia nzuri ya kuhabarishana na kupata data zaidi.Mwanakijiji akatupa data zaidi.Wenzetu huko nyumbani wameiona kwenye tv.Baadaye watuhumiwa wamekanusha kwenye gazeti (na sio kukanusha kuwa hawakukutana au hawakuzungumzia OIC,Udini na Ukabila)....lakini kuna wenzetu hawataki kuamini mpaka habari hiyo iwe kwenye youtube!!!This cant be serious.Mbona hata hotuba ya juzi ya JK kwa taifa haiko kwenye youtube na same youtube-addicted critics hawabishi?
 
Tuwe makini tunapokutana na upinzani usio na msingi katika mijadala muhimu.Hapa kuna mkundi kadhaa ya wanaojitahidi kui-discredit topic hii au kuilazimisha ibadili mwelekeo.
Kwanza kuna wale usual critics ambao nadhani kutokana na obession na useless criticism wanaweza hata ku-criticise their actual dates of birth or hawa wanajulikana.Wanachojua wao ni kupinga tu.In most cases,hawaji na topic mpya bali huvamia na kupinga tu.Hawa tumewazowea.
Kundi la pili ni wale wanaopinga kwa minajili ya kupata habari zaidi.Baadhi yao wanaweza kuwa vikaragosi wanaoshinda hapa kujua kinachoendelea.Wanatumia ujanja wa kubisha ili kupata habari zaidi.

Kundi jingine,na hili ni la hatari,ni wale wanaohusisha habari hii na "vita" dhidi ya dini flani.Hawa ni kama waumini wenye msimamo mkali.Ukitaja imani yao,hata kama ni kwa nia nzuri,basi umewachokoza.Hawapingi mada hii kwa vile wana ushahidi kuwa huu ni udaku lakini kwa vile hawataki kuona imani yao inaguswa.Jina jepesi la hawa ni WADINI,na huenda wana-wish uharamia unaozungumzwa kwenye mpango huu ungefanikiwa.

Kundi la mwisho,ambalo linashabihiana na la pili na la tatu ni hawa wenzetu wanaojifanya wanajua kila kitu.Kwa wao,kilicho sahihi ni kile wanachokifahamu wao tu.Pia akitajwa mtu ambaye ni rafiki kwao basi mada nzima ni uzushi.Pengine wanapaswa kujiuliza hivi:kama mtu anaweza kuwa cheated na mkewe without their knowledge,kwani rafiki/mtu unayemfahamu asiweze kuwa anajihusisha na mambo ambayo wewe unayamini ni rafiki yake huyajiu?Who's more closer to you,wife au rafiki?

Mwanzisha mada aliiweka habari hii kwa nia nzuri ya kuhabarishana na kupata data zaidi.Mwanakijiji akatupa data zaidi.Wenzetu huko nyumbani wameiona kwenye tv.Baadaye watuhumiwa wamekanusha kwenye gazeti (na sio kukanusha kuwa hawakukutana au hawakuzungumzia OIC,Udini na Ukabila)....lakini kuna wenzetu hawataki kuamini mpaka habari hiyo iwe kwenye youtube!!!This cant be serious.Mbona hata hotuba ya juzi ya JK kwa taifa haiko kwenye youtube na same youtube-addicted critics hawabishi?

Mlalahoi

Analysis mzuri sana Mkuu.

Mimi naomba nitoe wito kwa Mkandara, GT na wengine waliopinga kwa kashfa badala ya hoja kumuomba radhi Mzee Mwanakijiji kwa kumuita Mzushi. huo ndio ungwana wa hapa JF.


Credibility ya JF is bigger than ever.
 
Mlalahoi

Analysis mzuri sana Mkuu.

Mimi naomba nitoe wito kwa Mkandara, GT na wengine waliopinga kwa kashfa badala ya hoja kumuomba radhi Mzee Mwanakijiji kwa kumuita Mzushi. huo ndio ungwana wa hapa JF.

Credibility ya JF is bigger than ever.

YY bwana, I dont expect that from you! Credibility is big lakini haimzuii mtu kuhold back information hadi pale atakapojiridhisha personaly. Una uhakika gani kwamba ndio hao tu wanapinga habari hii?
 
Mwanakijiji,
Nikuulize wewe mkuu wangu labda sijaelewa.
1. Hivi mikutano yote ya mapadre nchini huwa wanaalika waandishi wa habari? na kama hawakualika kuna mtu anayewafuata kwa kuvizia hadi wanakolala kujua wanazungumzia kitu gani. Na sababu hasa ya mtu kufikia kufanya hivyo ni ipi hasa!
2. Kuna hata siku moja mikutano hiyo (Mapadre) mtu kachukua video kutaka kuwa record viongozi hao bila wao kujijua...
3. Je, ni marufuku kwa chombo cha kiislaam kuzungumzia hali ya Uongozi nchini? mbona Mapadre huzungumzia na hata kutoa hotuba ambazo huandikwa ktk magazeti.. Juzi juzi tu wamezungumzia hata kuhusu Hotuba ya Kikwete kuhusiana na mafisadi..kuna mtu aliwafuata kujua habari hiyo imeanzia wapi?
4. hapa kijiweni tumezungumzia yote yaliyotajwa hapo juu je nasi tuna mpango gani? wengine tumekutana Ohio kwenye Bash la Old school na tumezungumzia mengi, hao wenye video walichelewa wapi?...

Kisha mkuu wangu, nimepewa habari kuwa video yenyewe inaonekana mtu alikuwa mbali hivyo hakuwepo mkutanoni isipokuwa alikuwa akifanya uchunguzi wake binafsi na ajabu maelezo yote yanaonekana kama vile mtu alikuwa ndani mkutanoni..Yaani siewi kabisa.

Kuna mtu kasema huko Nyuma kwamba tunazungumza kwa fikra za Udini kupinga hoja hii wakati Mwanakijiji hakuwakilisha kwa Udini..Nawaomba nyote someni maneno haya yaliyotangulia kisha nambie kama hayakutungwa kwa nia kusambaza chuki za Udini..
KLHN yaweza kuripoti kwa uhakika kabisa kuwa mpango wa kuanzisha uchafuzi wenye mlengo wa kidini na kikabila nchi umeundwa na sasa umefichuliwa. Mpango huo ambao unawahusisha watu mbalimbali wenye majina makubwa umedhihirika kuanzia siku ya Ijumaa iliyopita.

Mpango huo ulianza kusukwa wiki chache zilizopita na hatimaye kuanza kutekelezwa siku ya Ijumaa iliyopita. Kwa wanaokumbuka siku ile (ya Ijumaa) kulikuwa na mkutano wa Waislamu kuelezea masuala mbalimbali ya maslahi yao na hasa suala la OIC. Baadhi ya viongozi wa Waislamu toka mikoani walikuwa jijini pia.

Ilikuwa ni katika nafasi hii timu iliyokuwa imeanza kukusanywa iliweza kuwakutanisha viongozi mbalimbali hao wa Waislamu kwa kuandaa mkakati kamambe ambao kwa madai yao mipango yake inatoka ndani na juu kwenye serikali. Katika kufanya hivyo viongozi kama 9 hivi wa Kiislamu waliweza kupatikana na kukutanishwa katika hoteli ya Regency siku ya Ijumaa

Kwa hiyo ni baada ya mkutano hizi njama zinapoingia hakuna mtu aliyebisha mkutano ulikuwa na agenda zipi ila baada ya mkutano ndio hoja kubwa ya mjadala huu na ndipo video zinapoingia..Kuna sehemu mbili tofauti za mikutano kulingana na habari iliyotolewa..

Mwanakijiji, Mkuu wangu nakuheshimu sana ktk utoaji wa habari lakini jaribu mara nyingi kutokurupuka hasa habari inapokuwa na utata na hasa pale unaposema waislaam hao wanapojenga hoja ya Ukabila.. Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema na wote uliowataka sii wanachama wa Chadema. Ni wanachama wa chama cha Mapinduzi na CUF kwa nini swala la ukabila lisihusiane na vyama vyao, sii wanatafuta ajira au?..
Zaidi ya hapo watafanya nini against Mbowe ama Mengi kuhusiana Ukabila ikiwa watu hawa sio viongozi ndani ya serikali hii...
Mkuu wangu hawa jamaa wote wanaojenga majungu ni watu waliopitwa na wakati, sasa hivi kuna generation mpya, generation ambayo haioni Ukabila wala dini katika Ubora wa binadamu..Wamesoma na watu wa makabila, dini na jinsia tofauti kiasi kwamba wanajua ELIMU haitokani na vitu hivyo bali msomi mwenyewe. kama Kabuntas wapo kila kabila kila dini na kadhalika.
Enzi wa Mahubiri ya chuki, scare tactics, fear, THEM against US kina McCain, Bush, Ahmadinajad, Osama na wengine umekwisha, sasa hivi ni wakati wa vijana kina Obama, Mbowe wanakuja na mwamko mpya wa kisayansi ambao hauhitaji ulozi (uchawi).
Hao Ansur Sunni na Evangelist ambao wamejitenga hata ktk madhehebu yao kwa kuendekeza imani iliyopitwa na wakati, wanataka kuingiza dini ktk siasa wakijenga chuki baina ya dini zetu wamefikia Ukingoni mwa dunia yao ya kusadikika..Na inasikitisha sana kuona vijana wetu wakijiunga na makundi kama haya! mtanisamehe lakini!
 
YY bwana, I dont expect that from you! Credibility is big lakini haimzuii mtu kuhold back information hadi pale atakapojiridhisha personaly. Una uhakika gani kwamba ndio hao tu wanapinga habari hii?


Mama,

Sijasema hao peke yao...soma vizuri tu.

Sisemi waombe radhi kwa sababu wamepinga bali kwa kumuita Mwanakijiji ""mzushi".
 
Tuwe makini tunapokutana na upinzani usio na msingi katika mijadala muhimu.Hapa kuna mkundi kadhaa ya wanaojitahidi kui-discredit topic hii au kuilazimisha ibadili mwelekeo.Kwanza kuna wale usual critics ambao nadhani kutokana na obession na useless criticism wanaweza hata ku-criticise their actual dates of birth or hawa wanajulikana.Wanachojua wao ni kupinga tu.In most cases,hawaji na topic mpya bali huvamia na kupinga tu.Hawa tumewazowea.
Kundi la pili ni wale wanaopinga kwa minajili ya kupata habari zaidi.Baadhi yao wanaweza kuwa vikaragosi wanaoshinda hapa kujua kinachoendelea.Wanatumia ujanja wa kubisha ili kupata habari zaidi.

Kundi jingine,na hili ni la hatari,ni wale wanaohusisha habari hii na "vita" dhidi ya dini flani.Hawa ni kama waumini wenye msimamo mkali.Ukitaja imani yao,hata kama ni kwa nia nzuri,basi umewachokoza.Hawapingi mada hii kwa vile wana ushahidi kuwa huu ni udaku lakini kwa vile hawataki kuona imani yao inaguswa.Jina jepesi la hawa ni WADINI,na huenda wana-wish uharamia unaozungumzwa kwenye mpango huu ungefanikiwa.

Kundi la mwisho,ambalo linashabihiana na la pili na la tatu ni hawa wenzetu wanaojifanya wanajua kila kitu.Kwa wao,kilicho sahihi ni kile wanachokifahamu wao tu.Pia akitajwa mtu ambaye ni rafiki kwao basi mada nzima ni uzushi.Pengine wanapaswa kujiuliza hivi:kama mtu anaweza kuwa cheated na mkewe without their knowledge,kwani rafiki/mtu unayemfahamu asiweze kuwa anajihusisha na mambo ambayo wewe unayamini ni rafiki yake huyajiu?Who's more closer to you,wife au rafiki?

Mwanzisha mada aliiweka habari hii kwa nia nzuri ya kuhabarishana na kupata data zaidi.Mwanakijiji akatupa data zaidi.Wenzetu huko nyumbani wameiona kwenye tv.Baadaye watuhumiwa wamekanusha kwenye gazeti (na sio kukanusha kuwa hawakukutana au hawakuzungumzia OIC,Udini na Ukabila)....lakini kuna wenzetu hawataki kuamini mpaka habari hiyo iwe kwenye youtube!!!This cant be serious.Mbona hata hotuba ya juzi ya JK kwa taifa haiko kwenye youtube na same youtube-addicted critics hawabishi?

mhhhh ok

2ntfv48.jpg


naona umesahau lile kundi linalolipwa kuwetha threads kwa ajili ya kuwafurahisha wanao walipa pesa....sijui hili ni la pili au lipi?

maana naona kila mtu humu ana interest na of course huwezi kuwakataza watu wasi criticise au wasikubaliane na mawazo yako
mfano tulikuwa na thread humu kuuliza watu kwa nini wanakubali kumwimba Mungu ambaye haluna aliyewahi kumwona wala kutuletea evidence kama yupo mwishowe tukaambiwa kuwa tunapenda kubisha tuuu

And then kuna lile kundi na SUPERMARKET JOURNALISTS ...kundi ambalo naona hujalizungumzia
 
Mama,

Sijasema hao peke yao...soma vizuri tu.

Sisemi waombe radhi kwa sababu wamepinga bali kwa kumuita Mwanakijiji ""mzushi".


issue hapo ni kuomba msamaha, kwa kuwa wamepinga habari hii. Hii habari ni ya kupikwa (na wanamtandao wanao/walioasi or else ma ant-Kikwete).... na kama si ya kupikwa basi hao jamaa wapelekwe mahakamani. Ushahidi si upo yego murra!

Petrol iwekwe karibu moto halafu isilipuke? Kila siku nawaita sisiemu wanafiki wakubwa, kwa vile wanaweza kutumia mbinu iwe iwayo kuhakikisha lao linakuwa.
 
Zaidi ya yote haya, kichekesho zaidi kuliko yote ni kwamba hawa hawa watu walisema Maswala ya OIC na mahakama ya kadhi ni maswala la dini. Viongozi wa dini wamekutana kuzungumzia hayo hayo kama ushauri wao, wanafuatwa na kuzushiwa mengine mapya!
Jamani hivi kweli kuna kitu waislaam watafanya kionekane halali?..Wafanye nini jamani!
Kama sio udini toka kwa hawa jamaa, wakristu wachache wanaotaka kujenga chuki ni kitu gani hasa!
 
Of course element ya Udini imeingizwa na Mwanakijiji

kila mtu analijua hilo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom