Hii habari imekaa kiuda daku hivi. Waislam wanakaa kumkataa Kiongozi wa kichaga ilhali kuna wachaga waislamu wengi tu this doesnt add up...
Habari ina mkanganyiko na mgoloko mwingi, mara ukabila mara udini muradi kukidhi haja ya kuchochea watanzania. Huu ni mzuka wa OIC na Kadhi utatuletea habari nyingi watu wasipokuwa makini na kummeza nzima nzima kuna hatari mbeleni huko.
Jamani huu mara nataka kuuliwa na Shabbir Dewji mara Manji sa]udaku typical Mengi sa mchaga hatakiwi kugombea urais halafu waislam wanatumwa Songea! sijui wapo waislam wangapi Songea.
Only JF
unajidhalilisha."udaku typical Mengi"
Point!
The whole thing has the look and feel of a spy novel. Hey, that's my opinion which I am entitled to it!
Currently Active Users Viewing This Thread: 63 (13 members and 50 guests)
Halisi, Gelange Vidunda, Jamco_Za, Jmpambije, Juakali, Kichwangumu, Kitia, Mkora, Mong'oo, Mtindiowaubongo, Pipiro, Utamaduni, Zion Train
Nyie semeni udaku wakati watu wamejaa tele wanafanya kazi, na watu walikuwa pale Falcon wanapokea fedha za safari kwenda mikoani. Subirini mahubiri huko mikoani. Hoja hapa udini na ukabila ni geresha hoja ni siasa, ndio maana Waislamu wanamsema IGP Mwema ambaye ni muislamu kwa sababu ni mchaga na katika wahubiri yuko mchaga na Albert asili yake ni Mkristo, hapo AKILI KICHWANI
Mwanakijiji said:Miongoni mwao ni mashehe na viongozi wengine wa kidini; baadhi yao ni pamoja na Shekhe Mazinge, Mwaipopo, Said Liko, Chifu Msokwa, Ustaadh Twaha, Dr. Salehe, Abubakar Bonde, Sheikh Amour Jongo, Rajabu Jazba, na Ustaadh Ramadhani. Waliokuwemo kwenye mkutano huo pia ni pamoja na Albert Marwa (inadaiwa ni mtoto wa kulelewa wa Generali Marwa) pamoja na mtu mmoja aitwaye Mtawa (huyu yasemekana ni mtumishi wa ngazi ya Juu ikulu). Walikuwepo baadhi ya watu wengine ambao wanadaiwa kuwa ni maafisa wa Usalama wa Taifa ambao kutokana na sheria hatuwezi kuwataja majina yao.
Mwanakijiji,
..ningeyapuuza madai haya kama jina la Bw.Mtawa lisingetajwa.
..Mtawa amekuwa msaidizi, na mtu wa karibu na Raisi, kwa zaidi ya miaka 15.
..sidhani kama ni vizuri kumhusisha na tuhuma kama hizi bila kuleta ushahidi usioweza kutiliwa mashaka.
..naungana na Game-Theory kuomba kideo cha hilo tukio kwenye You Tube, au kwenye mtandao wa KLH news.
NB:
..naomba sana safari hii msichezee akili za wananchi kama wakati mlipo ule wa kashfa ya Chenge na mambo ya ushirikina bungeni.
..wengi tunapenda mabadiliko nchini kwetu, lakini hatuko tayari kufikia lengo hilo kwa kutumia mbinu za kihuni-huni.
Mwanakijiji,
..yale madai yaliyokosa ushahidi ya Chenge na ushirikina ndiyo ninayoita uhuni.
..Bw.Mtawa ni mtu nyeti mno serikalini na sidhani kama ni busara kumtuhumu kiasi hiki bila kutuletea ushahidi wa kuridhisha.
..sisi ambao tuna mapenzi mema na nchi yetu tunaomba huo ushahidi wa kideo unaodai umeuona.
Wakuu heshima mbele, the dataz
1. Mkutano wa siri wa mafisadi Jumamosi usiku, umeamua kuweka nguvu zote by any means necessary kwa mgombea wa UV-CCM wa Zenji anaiyeitwa Masauni.
2. Mafisadi wamemtumia ujumbe mzito sana muungwan, kwamba ni lazima wapewe nafasi ya katibu mkuu wa UVC-CCM, ama sivyo watajitoa.
3. Leo saa saba mchana ulikuwa mkutano wa wabunge wa CCM, agenda Makamba.
Ahsante na Kwaherini, maana sina access ya mtandao hata huu nimeomba tu kwa mtu.
Respect!
Mwanakijiji,
..ningeyapuuza madai haya kama jina la Bw.Mtawa lisingetajwa.
..Mtawa amekuwa msaidizi, na mtu wa karibu na Raisi, kwa zaidi ya miaka 15.
..sidhani kama ni vizuri kumhusisha na tuhuma kama hizi bila kuleta ushahidi usioweza kutiliwa mashaka.
..naungana na Game-Theory kuomba kideo cha hilo tukio kwenye You Tube, au kwenye mtandao wa KLH news.
NB:
..naomba sana safari hii msichezee akili za wananchi kama wakati mlipo ule wa kashfa ya Chenge na mambo ya ushirikina bungeni.
..wengi tunapenda mabadiliko nchini kwetu, lakini hatuko tayari kufikia lengo hilo kwa kutumia mbinu za kihuni-huni.
a. Kuwaonesha waislamu kuwa Bw. Reginald Mengi na Freeman Mbowe ndio maadui wakubwa wa maslahi ya Waislamu nchini.
b. Kwamba Mengi na Mbowe wana mkakati wa kuhakikisha kiongozi anayekuja ni kutoka kabila la Wachagga. Katika hili la dhidi ya "Uchagga" wanamkakati walikuwa wana uhakika wa kutobughudhiwa na polisi kwenye mikutano ambayo waliipanga kuifanya hasa wakiamini kuwa IGP Said Mwema yuko upande wao. Hata hivyo mmoja wao aliapa kuwa aliwahi kuambiwa na Dr. Nchimbi kuwa Mwema ni Mchagga (sijui kwa upande wa mama) na hivyo wasitarajie sana.
c. Walioleta mpango huo wamemhusisha kiongozi wa juu serikalini kuwa ndiye aliyewatuma kutekeleza mpango huo hasa kuonesha kuwa vyombo vya IPP vinatumika kueneza Ukristu, kukandamiza Waislamu, na kuinua Wachagga. Hili litaelezwa ili Waislamu waanze kuvisusisa vyombo vya habari vya IPP.
d. Kuendelea kuwahusisha Mengi na Mbowe katika vifo vya Chacha Wangwe na Gavana Ballali.