Catherine Ruge: Rais Samia anawanyima Wazanzibar wenzake fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili

Muungano ni kama NDOA YA WAZAZI WAKO iliyofungwa kabla ya wewe kuzaliwa.....

Hauhojiki KUPITILIZA....
Hauvunjwi......
Hauvunjiki......

Hapa "UAMSHO" wanaweza kutupa funzo kubwa......

#KaziIendelee
Umekosea kabisa kufananisha vitu hivyo viwili. Kwanza ndoa kuna nyingi; kipagani, kikristu, kiislamu, kitamaduni, kiserikalu na madhehebu mengine.

Watanzania siyo watoto wa ndoa bali Muungano ni mtoto wa Zanzibar na Tanganyika. Wazazi wanaweza kummhoji mtoto
 
Ni vyema Wazanzibar wakaonesha msimamo wao mapema wakati huu Rais wa Tanzania akiwa ni Mzanzibari mwenzao. Badala ya kulilia usawa usio na tija kivile, wangeipambania Katiba Mpya inayotambua uwepo wa Serikali Tatu.

Kinyume na hapo, kero za Muungano hazitokuja kuisha kamwe.
Kuna misingi haivunjwi , ukipambana kuivunja utavunjika wewe.
 
Umekosea kabisa kufananisha vitu hivyo viwili. Kwanza ndoa kuna nyingi; kipagani, kikristu, kiislamu, kitamaduni, kiserikalu na madhehebu mengine.

Watanzania siyo watoto wa ndoa bali Muungano ni mtoto wa Zanzibar na Tanganyika. Wazazi wanaweza kummhoji mtoto
Ndoa za dini zote zinafanana....

Misingi yake mikuu ni ileile...wawepo wana ndoa ,mashahidi na mkataba wenyewe(makubaliano).....

Niliposemea kuwa hatuwezi kuhoji ndoa za wazazi wetu Nina maana ifuatayo:

Hwenda wazazi walifunga ndoa kimila ama kiserikali ,mtoto aliyepatikana leo amekuwa mkubwa na mwanadini mzuri....anataka kufunga ndoa msikitini ama kanisani.....je ana uhalali wowote wa kuhoji ndoa ya wazazi wake?!!! anataka nini?!!

MUUNGANO ulivyoundwa iwe una makosa ana sahihi ni kuwa sote tumezaliwa miaka mingi baada ya 1964......

Rejea yetu ni miungano ya nchi tofauti.....mingi wala WANANCHI HAWAKUSHIRIKISHWA?!!!

Mingi ilikuwa ni miungano iliyoshinikizwa KIHISTORIA NA KIULINZI....na mingine KIVITA(kwa pande kushinda ama kushindwa)....leo bado ipo....mathalani GREAT BRITAIN na US......

Kwa mfano US ,wananchi hawaruhusiwi kuuvunja MUUNGANO wao.....state(nchi) inayotaka KUJITENGA basi katiba inasema ITASHUGHULIKIWA KUSHURUTISHWA KIJESHI kubaki katika MUUNGANO HUO.....

*********************

MUUNGANO wetu ni wa KIHISTORIA ...baina ya watu wa BARA NA VISIWANI....haohao wabara ndio waliokwenda huko visiwani miaka mingi nyuma....ukitoa baadhi yao kutoka nje ya TANGANYIKA(Malawi,Msumbiji ,Comoro ,Kenya ,Kongo na Burundi).

Kuuhoji muungano na kutaka uparanganyike ni UMIMI TU WA KISIASA AMA KIKABILA(TAMADUNI)....

Kuuhoji muungano uvunjike ni kusahau MAZURI YAKE na kushikilia mapungufu tu ...ni kujitia katika "nakama" na "msambweni tu"!!!!

#NdimiMfiaMuungano
#NdimiMbara
#KaziIendelee
 
Si kweli....

Msitiri wa Zanzibar ni CCM....

Bila ya CCM ,Zanzibar ingelibaki mikononi mwa marafiki wa UFALME WA UINGEREZA(Sultan Jamshid aliyekimbilia na kuhifadhiwa Uingereza hadi hii leo).
Hujui kitu unaandika maneno mengi tu. Sultan yuko Oman toka November 2020
 
Ndoa za dini zote zinafanana....

Misingi yake mikuu ni ileile...wawepo wana ndoa ,mashahidi na mkataba wenyewe(makubaliano).....

Niliposemea kuwa hatuwezi kuhoji ndoa za wazazi wetu Nina maana ifuatayo:

Hwenda wazazi walifunga ndoa kimila ama kiserikali ,mtoto aliyepatikana leo amekuwa mkubwa na mwanadini mzuri....anataka kufunga ndoa msikitini ama kanisani.....je ana uhalali wowote wa kuhoji ndoa ya wazazi wake?!!! anataka nini?!!

MUUNGANO ulivyoundwa iwe una makosa ana sahihi ni kuwa sote tumezaliwa miaka mingi baada ya 1964......

Rejea yetu ni miungano ya nchi tofauti.....mingi wala WANANCHI HAWAKUSHIRIKISHWA?!!!

Mingi ilikuwa ni miungano iliyoshinikizwa KIHISTORIA NA KIULINZI....na mingine KIVITA(kwa pande kushinda ama kushindwa)....leo bado ipo....mathalani GREAT BRITAIN na US......

Kwa mfano US ,wananchi hawaruhusiwi kuuvunja MUUNGANO wao.....state(nchi) inayotaka KUJITENGA basi katiba inasema ITASHUGHULIKIWA KUSHURUTISHWA KIJESHI kubaki katika MUUNGANO HUO.....

*********************

MUUNGANO wetu ni wa KIHISTORIA ...baina ya watu wa BARA NA VISIWANI....haohao wabara ndio waliokwenda huko visiwani miaka mingi nyuma....ukitoa baadhi yao kutoka nje ya TANGANYIKA(Malawi,Msumbiji ,Comoro ,Kenya ,Kongo na Burundi).

Kuuhoji muungano na kutaka uparanganyike ni UMIMI TU WA KISIASA AMA KIKABILA(TAMADUNI)....

Kuuhoji muungano uvunjike ni kusahau MAZURI YAKE na kushikilia mapungufu tu ...ni kujitia katika "nakama" na "msambweni tu"!!!!

#NdimiMfiaMuungano
#NdimiMbara
#KaziIendelee
ande zote 2 hazitaki Muungano. ZNZ wanasema tunawakalia kimabavu na tunawachelewesha kupata maendeleo yao wakati Tanganyika wanadai wanabeba gharama za kuiendesha Serikali ya ZNZ.

Muungano umefeli upigwe chini tu kama miungano mingine tu duniani mfano USSR, Yugoslavia etc. Kuna watu wanasingizia eti ACT inataka kumrudisha Sultani Jamshid Zanzibar. Jamshid anaanzia wapi kurudi? Kwanza unajuwa umri wake ni miaka mingapi na yuko wapi sasa? Ni kibabu cha miaka 92 na kilikuwa kinaishi Portsmouth Uingereza kama mnufaika wa utawala wa Malkia wa Uingereza (Subject of British Empire), last year ndiyo kimeruhuswa kurudi Oman kusubiri maka yake ya mwisho.

Tupige referendum, wananchi wapige kura, acheni kuwasemea
 
"Niko Unguja na Wazanzibari wanamwambia Mama Samia "Kitendo cha yeye Kuzuia madai ya Katiba Mpya ni kuwanyima Wazanzibari fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili, wanamkumbusha kuwa yeye kama mzanzibari anatakiwa alinde Maslahi ya Zanzibar asilewe Madaraka"-CPA Catherine Ruge

Icho kidole juu anajiingizia mwenyewe ,hivi kameolewa haka au ni zile type za akina Joyce Mukya
USSR
 
Ni vyema Wazanzibar wakaonesha msimamo wao mapema wakati huu Rais wa Tanzania akiwa ni Mzanzibari mwenzao. Badala ya kulilia usawa usio na tija kivile, wangeipambania Katiba Mpya inayotambua uwepo wa Serikali Tatu.

Kinyume na hapo, kero za Muungano hazitokuja kuisha kamwe.
Sasa hivi wanajifanya hawaoni.
 
"Niko Unguja na Wazanzibari wanamwambia Mama Samia "Kitendo cha yeye Kuzuia madai ya Katiba Mpya ni kuwanyima Wazanzibari fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili, wanamkumbusha kuwa yeye kama mzanzibari anatakiwa alinde Maslahi ya Zanzibar asilewe Madaraka"-CPA Catherine Ruge

Shosti umepotoka:
Madai ya Katiba mpya , kati ya ibara muhimu si kuipa Zanzibar uhuru, NOT TO THAT EXTENT, ;Zanzibar itabaki chini ya Tanganyika na Mungano utalindwa kwa gharama zozote.
Na Katiba haiji kwa hisni ya SSH Nauana-uke wake, hapana inakuja kwakuwa ni takwa la Wa-Tanganyika na Wa-Zanzibar.
by the way, wewe ni mrembo unastahili ndoa na mwanaume mwenye kujielewa, mwenye kujiheshimu, achana na wabana pua, nakuonya kama mama yako.
 
Halafu akilinda maslahi ya Zanzibar atalaumiwa kama JPM kwa "ukanda/ukabila."

Dear Chadema, jitahidini kufahamu vipaumbele vya Watanzania kisha muwe kipazasauti cha vipaumbele hivyo. Kadhalika, jibidiisheni kusoma upepo wa kisiasa ulivyo. Mama Samia anapendwa na Watanzania, pengine kutokana na kuwa Rais wa kwanza mwanamke. Lakini pia anaongea lugha ya kistaarabu. Sasa mkicheza ovyo karata zenu, mtaishia kuonekana mnam-bully.

Mwisho, mjibidiishe kuwa proactive. Anzisheni mijadala itakayowafanya Watanzania wafanye tafakuri badala ya sasa ambapo mnaendeshwa kwa matukio. Mnasubiri Mama Samia atamke hili au lile mpate cha kuongea.

Povu ruksa 😊
Wewe mwenyewe ni mtanzania kwa muda mrefu umekuwa ukitutaka tupiganie katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Lakini baada ya Mama kuingia umekuwa mpinzani mkubwa wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. inamaana Katiba Mpya uliyokuwa unapigania ni kwa sababu tu Rais alikuwa Magufuli? hii inaleta picha mbaya kwamba ulikuwa unamchukia Magufuli personally na sio mfumo mzima. Lakini pia haishangazi wewe unawakilisha watanzania wengi wanafiki.

Kwakweli Kaka Chahali mimi binafsi nimekuwa mfuasi wako wa muda mrefu kutokana na falsafa zako. Swala la wewe kuona sasa hakuna umuhimu wa ktiba Mpya na kwamba tujikite kwenye mambo mengine si tu limetuvunja moyo bali linatufanya tufikirie sana wengine tunadhani labda kuna jambo.
 
Back
Top Bottom