brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,393
- Thread starter
- #21
Tena hiyo ni coke studio ya south africa ambayo ni kubwa zaidi kuliko ya kenya na diamond ndo mtanzania pekee aliechaguliwa, sasahuyu jamaa analeta chuki zakeKwan hao coke hawakumuona Ali mwenye vocal nzuri mbona wanamtaka huyo huyo saut inayokwaruza, chuki ni uchafu wa moyo