Nimeisikiliza siku nzima hiyo nyimbo
So sure
Inabd na ndugu yetu kiba nae aipateNgekewa ya huyu jamaa kali sana.
bila kuisahau na hii combination Mr.fleva &Juliana _Ololufe/haturudi nyuma,ipo kwenye play list yangu audio & video bonge moja la romantic song dooh....Mm n shabiki wa muziki mtamu, nachelea kusema hii ndo the best collabo hit Coke studio had ever experienced......
Mmmh...Kawaida sana, anahitaji mazoezi ya ziada hasa kucontrol pumzi.
Hongera kwake kwa hutua kubwa.
Mimi nimeshangaa sanaaaa,
Kama akifanyia mazoezi ya nguvu sauti yake atafute na watu wenye kipaji wa back vocals na wapiga vyombo.
Ataingia kuimba nchi yoyote ile hapa duniani, watu wanataka kusikiliza muziki na siyo makelele.