Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Hivi king Kiba keshaitwa Ikulu?, mbona show za mbele haitwi anaishia Kenya. Kiukweli Diamond Mkali. Tena kuanzia Leo atakaye mlinganisha Simba na yoooo ni wa kuchapwa. Platinumz now ni International Artists km watu hawajajua ndo wajue. Ebu jiulize y fiesta Teckno alisema Simba is my brother we proud of him. Muziki co Sauti tuuu. Na km mnatk kujua hili mfuatilieni msanii Chinbees....Kiukweli Baba tiffah is everything in bongo. Wkt yy anawaza collabo za mbele mwenzake anawaza collabo na kina baraka
 
Kawaida sana, anahitaji mazoezi ya ziada hasa kucontrol pumzi.

Hongera kwake kwa hutua kubwa.

Moja ya vitu ambavyo vinamsaidia jamaa ni kusikiliza ushauri na kuufanyia kazi, nadhani hili atadili nalo pia.

Nimeona mahali amenunua vyombo vyake vya live performance hope atafanyia mazoezi.
 
Authenticity kwenye Sauti ndo inafanya msanii awe interesting haijali kama Sauti inakwaruza au nyololo plus mashairi ya nguvu.
 
Moja ya vitu ambavyo vinamsaidia jamaa ni kusikiliza ushauri na kuufanyia kazi, nadhani hili atadili nalo pia.

Nimeona mahali amenunua vyombo vyake vya live performance hope atafanyia mazoezi.
Kitu ambacho ninamkubali Diamond ni kukubali makosa na kujifunza

1.Alikuwa hajui kingereza alikuwa anaongea/kuandika broken watu wakawa wanamcheka kwa sasa ni mmoja ya wasanii wanaongea/kuandika kingereza vizuri na anaongea kwa kujiamini

2.Kupunguza scandal,huko nyuma jamaa ilikuwa kila,siku kwenye media ni scandal za wanawake(Penny,Wema,Jokate) siku hizi zimepungua

3.Live perfomance,ni ukweli alikuwa hawezi kufanya live alizoea playback watu walimlaumu ikabidi anunue vifaa afanye mazoezi na sasa mabadiliko yanaonekana
 
kuna watu humu hata diamond akijamba watasema imesound vizuri na ina harufu nzuri. ikitokea diamond ana kaswende wataomba nao waugue kaswende kama la diamond!!
 
Nimefurahia sana ulichokifanya kwenye hii kazi hii.
Unatosha kile sehemu aiseee, fanya mpango kufanyia mazoezi ya kufa mtu sauti yako hasa kwenye Pitch. Unauza sana lakini tunataka tukuone ukiimbia live kama hivi.
Hongera sanaaaaa.


AFRICA'S FINEST

CC: MO11 , Red Giant , Nifah

Nikipata nafasi nitaicheki kwa heshima yako mkuu,asante.
 
Fiesta Tanzania, wasanii, wanamuziki na ma-producer/studio/directors wengine mnasikia quality ya sound na picha ya kitu hicho kilichotupiwa Youtube. Basi mjaribu viwango hivyo au zaidi ya hicho ili muziki usikike vizuri ktk ubora wa kimataifa.

Hongera ziende kwa Coke Studio na kujituma kwa Diamond + Cassper Nyovest pamoja na crew nzima.
Mkuu hivyo vyombo via muziki hapo coke studio in vya ubora wa hali ya juu mno, hizo headphones walizo vaa tu ni above 300$ per piece. Sidhani kama wabongo wanaweza wekeza hela nyingi hivyo kwenye mziki kwa sababu wanapenda shortcuts. Tuendelee kuinjoi tu vizuri vya wenzetu.
 
Back
Top Bottom