Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Diamond ni msanii mzuri Sana kwa sababu Ana uwezo wa kuimba na kuongea hongera kwa hilo na kwa kuongea katika nyimbo hii badala ya kuimba
 
Ukisema unaonekana hater cjui team domo wanamatatizo gani
Hv huwa hamuoni soni kudandiana kila siku kwenye mitandao?? Can't you be the fans for all of them for the interests and honor of our country??
 
Cassper nyovest kaimba vizuri anaonekana hana papara nafikiri kwasababu ya uzoefu kijana diamond inabidi aongeze juhudi na mazoezi anaimba kwa kudonoa maneno na papara nyingi na hapo inaonyesha kafanya mazoezi na hicho kikundi kwa siku nyingi ingekuwa ni kitu cha kustukiza ingempa shida kwenda sawa na hivyo vyombo lakini kajitaidi Sana!

-Nyerere-
kuna watu mtu hata akifanya nini mnaponda ...
sisi hatujui dolemifaso wala sio majaji wa mziki...
tunachojua ni mziki mzuri tu.!!
jamaa wameimba vizuri wote...

punguzeni chuki binafsi!!!
khaaaa.......
wa matopeni em mtupisheee
 
Jinni..chafu kabisa roho mbaya..!! Bin laden..dangote..!!
 
kuna watu mtu hata akifanya nini mnaponda ...
sisi hatujui dolemifaso wala sio majaji wa mziki...
tunachojua ni mziki mzuri tu.!!
jamaa wameimba vizuri wote...

punguzeni chuki binafsi!!!
khaaaa.......
wa matopeni em mtupisheee
Kumbe hao na wale wekundu wa msimbazi hawachekani?? Wote wa matopeni
 
kuna watu mtu hata akifanya nini mnaponda ...
sisi hatujui dolemifaso wala sio majaji wa mziki...
tunachojua ni mziki mzuri tu.!!
jamaa wameimba vizuri wote...

punguzeni chuki binafsi!!!
khaaaa.......
wa matopeni em mtupisheee
Mbaya zaid ata waponde ..they dnt *** shit..living out there to the fullest
 
Special for coke studio za ila ishashambaa mitandaoni uko nigeria na S.A utasema official track haijawahai tokea mash up ikatembea mitandoni fast km hii
Mbona mash up nyingi tu ukifingua you tube adds zipo kibao tu.
 
Mbona mash up nyingi tu ukifingua you tube adds zipo kibao tu.
Hii sasa inapatikana kwny website za mziki tayari km tooexclusive.com n notjustok.com youtube c uwa zinawekwa kwny channel ya coke studio
 
Hii mbna ni coke studio? list ya washiriki wa hii season huwajui mpka povu unalitoa kwa mtu mmoja ? acha zako kama ndo hvo vanessa anaongoza kwa collabo maana kila cku yupo coke studio
 
Wameimba vizur sana, hapo palipokwaruza huwa inatokeaga tu,koo ndo limekataa hapo ni kula yai bichi tu mambo yanakuwa vyema haihusiani na sauti. Nafkiri Diamond ana sauti nzuri sana na anajua kuimba pia
 
Back
Top Bottom