Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Cassper Nyovest ft Diamond Platnumz - My heart

Special for coke studio za ila ishashambaa mitandaoni uko nigeria na S.A utasema official track haijawahai tokea mash up ikatembea mitandoni fast km hii
Hio ndo power ya diamond.. Kila anachugusa kinakua diamond twitter huko anatrend hatariii
 
mbona mnatumia vibaya jina la mwalimu nyerere ..mwalimu bila shaka angeweza kumkubal huyu kijana
Cassper nyovest kaimba vizuri anaonekana hana papara nafikiri kwasababu ya uzoefu kijana diamond inabidi aongeze juhudi na mazoezi anaimba kwa kudonoa maneno na papara nyingi na hapo inaonyesha kafanya mazoezi na hicho kikundi kwa siku nyingi ingekuwa ni kitu cha kustukiza ingempa shida kwenda sawa na hivyo vyombo lakini kajitaidi Sana!

-Nyerere-

Cassper nyovest kaimba vizuri anaonekana hana papara nafikiri kwasababu ya uzoefu kijana diamond inabidi aongeze juhudi na mazoezi anaimba kwa kudonoa maneno na papara nyingi na hapo inaonyesha kafanya mazoezi na hicho kikundi kwa siku nyingi ingekuwa ni kitu cha kustukiza ingempa shida kwenda sawa na hivyo vyombo lakini kajitaidi Sana!

-Nyerere-
 
Niggas want to kill me cause a nigga coming up - Fundi Meek mill
 
Mambo vipi wadau katika Burudani!!!!!
Leo nmekuwekea hapa Collabo kati ya Diamond(simba wa Tandale) na Cassper Nyovest ambayo wameifanya kwenye Coke Studio ZA. Enjoy🙂

 
Hongera sana Diamond Kwa kutuwakilisha Tz..proudly, Ila cha msingi asijiendekeze Na sifa anazozipata kutoka Kwa fans wa Tanzania, aendeleze kukaza buti especially Kwenye mziki wake uwe bora, abehave kama superstar (icon), aongeze confidence, mazoezi ya kutosha kwenye sauti n.k. Ukiangalia hiyo video Cassper ameonesha kujiamini sana (refer body language), Diamond ameact Kama underground flani aliyepewa chance as if kuna kitu anaogopa(kutojimini). Nampa big up, keep it up.
 
ujue watu wanashindwa kutofautisha
casper nyovest anachana ,haimbi
msanii wa hiohop huwa hawekezi kwenye sauti, anawekeza kwenye mistari
ndio maana hajaimba kwa hisia ...

halafu rafudhi yake ya kingereza inamfanyia wepesi...
wazungu/wahindi wanasauti nzuri kutokana na rafudhi yao!!!
Watanzania nadhani tynajijua rafudhi yetu!!!! hata tukiongea kingereza hatupendezi
..

diamond anaimba, ndio maana amejitahidi kuweka hisia ili sauti ikae sawa watu wamuelewe!!!
japo mnasema ana sauti mbaya!!

huwezi kufananisha uimbaji wa rich mavoko na darasa wakiwa jukwaani!!!
lazima muimbaji akaze! ila hiphop artist utakuta yuko zake kawaida tu.
hakuna mtu kazaliwa na sauti ya kuimbia!!
lazima utafute sauti yako ya nyimbo
na hapo ndipo inapokuja kazi!!!
 
Fiesta Tanzania, wasanii, wanamuziki na ma-producer/studio/directors wengine mnasikia quality ya sound na picha ya kitu hicho kilichotupiwa Youtube. Basi mjaribu viwango hivyo au zaidi ya hicho ili muziki usikike vizuri ktk ubora wa kimataifa.

Hongera ziende kwa Coke Studio na kujituma kwa Diamond + Cassper Nyovest pamoja na crew nzima.
 
Cassper Nyovest and Diamond Platnumz - 360 perfomance
WATCH Cassper Nyovest and Diamond Platnumz perform their brand new fire fusion, "My Heart", from a unique angle

Coke Studio ZA
 
Aise huyu bwana mdogo hafai kabisa siyo wakumlinganisha na vinyago vinavyo imba

Mimi nimeshangaa sanaaaa,
Kama akifanyia mazoezi ya nguvu sauti yake atafute na watu wenye kipaji wa back vocals na wapiga vyombo.
Ataingia kuimba nchi yoyote ile hapa duniani, watu wanataka kusikiliza muziki na siyo makelele.
 
Back
Top Bottom