Poleni wafiwa, by the way huyu ndie alietekwa na akina Yassin Memba?
Poleni wafiwa, by the way huyu ndie alietekwa na akina Yassin Memba?
Capt MAzula ni miongozni mwa Wazalendo halisi wa Nchi hii na atakumbukwa kwa ujasiri wake pale alipoirusha ndege ya E.A Airways na kuishusha Tanzania wakati Jumuiya ya A. Mashariki inavunjika. Tumempoteza Shujaa na Mzalendo halisi.
BWANA alitoa na BWANA ametwaa, Jina lake lihimidiwe!
Ctaki kuamini kama kweli Mazula Katutoka. The best Rubani we ever Had in TZ. I was so comfortable with his flight
RIP George