Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Wadau,
Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.
Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.
Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506
View attachment 163507
Nawasilisha!!
Wadau,
Juzi hapa zilisambaa picha tofauti za mheshmiwa huyu akiwa na wadada wawili tofauti katika mionekano ya kuashiria kuna mapenzi baina yao. Kama kawaida ya wanasiasa wengi walivyo waongo, Mheshmiwa huyu alikimbilia Clouds FM kukanusha kuhusika kwake kwenye picha hizo.
Pamoja na sababu zingine, Mheshmiwa huyu alidai kua Picha za Uso/Sura/Kichwa chake zilitumika kuunganisha kwenye kiwiliwili cha mtu mwingine aliekuwepo na huyo dada ili ionekane ni yeye wakati sio kweli.
Sasa hapa chini zimenaswa picha mbalimbali za Mheshmiwa huyu akiwa na Nguo zilezile alizozikataa hapo mwanzo kua sio yeye bali sura ndio ilikua ya kwake.
View attachment 163506
View attachment 163507
Nawasilisha!!
Mbona hamumsemi mwenyekiti wenu alie na vimada kila kona?
dr hosea yuko CID ama kitengo gani?.Tunaongozwa na mijitu ya ajabu sana asee.gazeti la mtanzania wameandika Dk.Hosea kuwasaka waliomchafua Komba
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?
Tiba
Hizi za KOMBA hata kama ni halisi unaweza kuzitazama mbele ya Mkweo , ila zile za Kamanda Machemuli hazifai hata kuzitizama mwenyewe.
Mbona hamumsemi mwenyekiti wenu alie na vimada kila kona?
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?
Tiba
Walitaka Ku balance upepo ionekane na 'Upinzani' wamo pia.
Huumjui machemli ww acha kuropokwa, en for yo info yule 2015 harud mjengon hata kugombea hagombei dats y anafanya umalaya,,, picha zake yupo kifua waz umeona wapi picha ya kimba akiwa kifua wazi,????? Acha ushabk
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Hizo za Komba ni picha halisi lakini za yule Mkerewe, ni za kuchonga!!!!! Sijui akili za watu wengine, yaani unakwenda kwenye mchepuko halafu unakubali kupigwa picha?
Tiba
Hivi kuna mtu wa kumtetea kicheche mzee!!!??? hata ukifanyaje ni yeye TUUUU!! anafahamika hata Lulu wa Kanumba anamgegeda!! Huyu aache kuwakilisha watu ili asifuatiliwe!! Kicheche ni kicheche tu!!
Mbona hamumsemi mwenyekiti wenu alie na vimada kila kona?
honestly huwa naithamini sana michango yako apa jamvini.,,well argued comments kama zako zinalipandisha heshima jamvi letu
kwa nini unaahisi/unaamini zile za mkerewe ni za kuchonga mkuu???
Critical reasons ni zipi hasa mkuu tiba?