ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,805
- 28,418
Acha uongo weka ushahidi hapa kama basi la Majinja lilipata ajali kitonga!?Watu 50 wamekufa juzi kwenye ajali ya basi la Majinjah mzee unamlisha matango pori kwa confidence kabisa. Nadhani wewe ndio haufuatilii media za bongo mkuu.
Last month kuna basi ilianguka tena ikafunga barabara luckily hakukuwa na vifo.
So huu mjadala wa Kamatu ya Ulinzi na Usalama umetokana na matukio kadhaa yaliyofululiza.