Calvin Francis afariki dunia

Kweli Facebook na utoto wao wamevamia majukwaa yote ya JF mambo ta vyuo na Sekondari huyakosi jana ilikuwa Martin kadisa mara hadindi
Leo tena Muorombo haya RIP lkn muwe mnafafanua

ukwajuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
umenichekesha mkuu! ila ndo majina yetu wabantu!
 
calvin fransis .......RIP. ELEZEA NI NANI HUMU JAMVINI NA TUONE AENZIWE VIPI NA WANA JAMII F
 
Calvin Francis afariki katika ajali ya gari aliyokua anaendesha maeneo ya masaki karibu na Colleseum Hotel akitokea Coco Beach..anatarajiwa kusafirishwa kesho kwenda Rombo, Kilimanjaro kwa mazishi..

1989-2012 RIP Calvin William Francis
I know the young man!
Died in his prime.
Kwao Kibamba, its too bad kuwa kapata ajali, saw him2 moths ago alipokuja party nyumbani kwangu, looked simple composed and collected.

May the Lord rest his soul in eternal peace.
 
T bag fake sana wewe,unaanzisha thread afu unashindwa kutoa maelezo ya maana
Kama huna kazi ya kufanya ni bora kabisa kulala,kuliko kuanzisha kitu kisha unawaacha watu na question mark....?
R.I.P KEVOO!!
 
Sasa Huyo martin mbona jina lake la mshua linaeleza kwamba kadinda? Nani anayesema ni Han.ithi?
 
I know the young man!
Died in his prime.
Kwao Kibamba, its too bad kuwa kapata ajali, saw him2 moths ago alipokuja party nyumbani kwangu, looked simple composed and collected.

May the Lord rest his soul in eternal peace.

Daahh jana was there kwao kibamba yani nimemuona mama yake amelia nimejiskia vibaya..daahhh, I think i know you!!
 
YES!!
He's an IT Personnel..akapata kazi JMall pale..ni kweli amefariki bana!

Yaani tangu asubuhi uko kimya. Sasa amepatikana mchangiaji anayemfahamu kidogo ndio unakurupuka!
 
Next tym.. Ulilete thread za namna hii! Lete habari ilikamilika kama huna info za kutosha tupa kule tutasoma ktk mablog ya watu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mnatuletea ma boy friend wenu mnafikiri tunawajua?

R.I.P lakini.
 
Next tym.. Ulilete thread za namna hii! Lete habari ilikamilika kama huna info za kutosha tupa kule tutasoma ktk mablog ya watu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Don worry yang man, wnhen you kick the bucket there will be no celebrations!
 
mh!kama mpaka wewe humjui huyu mtu basi!ila ngoja niseme tu R.I.P Calvin,pole Tbag Hatari

Kwani huyo jamaani ni maarufu sana kushinda Invisible? unaemfahamu wewe sio kila mtu lazima amfahamu maana siku hizi masuper star bongo wengi sana kuanzia kwenye kitaa mpaka national level.

Ila ukweli pale palipotokea ajali inabidi pafanyiwe maarifa nimeshapoteza mtu wangu wa karibu sana pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…