- Thread starter
- #61
Hivi kwani depo Mnasomaga hapo naamini mtakula jaramba bila shaka huko oral maswali ya kizalendo tu itakuwa.duhh mzee m mjibu vng nshasahau na sjui nn wanaulza
Hivi kwani depo Mnasomaga hapo naamini mtakula jaramba bila shaka huko oral maswali ya kizalendo tu itakuwa.duhh mzee m mjibu vng nshasahau na sjui nn wanaulza
Hivi kwani depo Mnasomaga hapo naamini mtakula jaramba bila shaka huko oral maswali ya kizalendo tu itakuwa.
Mimi ni kwa mujibu, hata mimi nimehisi kama ulivyohisi Mkuu.Ulimaliza mujibu au kujitolea? Maana kuna washkaji zangu kama 8 walitoboa mkataba wale wa kujitolea wameomba na wote wameitwa. Nashawishika kusema labda kipaumbele ilikua kwa hao kwanza baadae hao wa mujibu japo tangazo halikubagua hivyo. Ila haya ni mawazo yangu tu.
Hizo post jamaa wanahusikaga yaani wanapewaga kazi hiyo sina hakika sana ila jiandae kwa namna yeyote ile class na physical fit mkuu maana hiyo post ni ya kiaskari mkuu ikitokea imetokea class class upige fresh na physical fitness upige vizuri.naskia interview n watu wa bandarn wajeda awausik apo
naskia wanauska tpa lile n kama eneo tu bas wanaombaHizo post jamaa wanahusikaga yaani wanapewaga kazi hiyo sina hakika sana ila jiandae kwa namna yeyote ile class na physical fit mkuu maana hiyo post ni ya kiaskari mkuu ikitokea imetokea class class upige fresh na physical fitness upige vizuri.
Mkuu wewe ni mujibu au kujitolea?naskia wanauska tpa lile n kama eneo tu bas wanaomba
Wa mujibu huyo kulingana na alivojibu juu mkuu.Mkuu wewe ni mujibu au kujitolea?
Kwata unajua dogo? kule ni kwata kwenda mbeleKikubwa cheti.kukaa miaka mingi kambini sio kigezo.mimi mwenyewe ni mujibu lakin nimechaguliwa.
Kwata nalijua vizuri.tena kinouma nomaKwata unajua dogo? kule ni kwata kwenda mbele
Ulimaliza mwaka gani kozi mkuuKikubwa cheti.kukaa miaka mingi kambini sio kigezo.mimi mwenyewe ni mujibu lakin nimechaguliwa.
Ulimaliza mwaka gani kozi mkuuKikubwa cheti.kukaa miaka mingi kambini sio kigezo.mimi mwenyewe ni mujibu lakin nimechaguliwa.
Ulimaliza mwaka gani kozi mkuu
Mkuu wewe ni mujibu au kujitolea?