Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,355
- 1,411
Hakuna wa kumlaumu kama kwa %kubwa wasiojiweza wamekosa mikopo ili hali wanavigezo.
Kwani Mama Mwenye nyumba alishasema " hata watoto wenye uwezo nao wanufaike mikopo" yote hayo ni kupindua mambo aliyofanya Past President kwajuhudi alizokuw akifanya. Na kwasababu alitamki ulitegemea board wafanye nini, kilichobaki ni kutekekeza tu.
Yaani kwa hapo RUSHWA imechezwa sana kwenye mikopo...
Watoto wa matajiri wanapata mikopo 100% kuliko watoto wasiojiweza.
Hii sisawa Japokuwa sisi wote ni Watanzania!
Kwani Mama Mwenye nyumba alishasema " hata watoto wenye uwezo nao wanufaike mikopo" yote hayo ni kupindua mambo aliyofanya Past President kwajuhudi alizokuw akifanya. Na kwasababu alitamki ulitegemea board wafanye nini, kilichobaki ni kutekekeza tu.
Yaani kwa hapo RUSHWA imechezwa sana kwenye mikopo...
Watoto wa matajiri wanapata mikopo 100% kuliko watoto wasiojiweza.
Hii sisawa Japokuwa sisi wote ni Watanzania!