Mikopo ya Elimu ya Juu: Je, watumishi wa Umma wana ruzuku ya kusomesha watoto wao tofauti na wengine?

mzee wa nguna

Senior Member
Dec 5, 2012
132
113
Nimefuatilia matokeo ya walioomba mikopo ya kugharamia masomo ya elimu ya juu tangu walipotoa awamu ya kwanza hadi ya mwisho juzi tarehe 4/11/2021.

Kwanza idadi kubwa ya waombaji wa mikopo hiyo hawakupata. Pili, moja ya kundi kubwa la waombaji ambao hawakupangiwa mikopo kwa sababu mbalimbali ni watoto wenye mmojawapo wa wazazi ambaye ni mtumishi wa umma (mwajiriwa serikalini).

Ukitafakari kwa kina, halafu ufanye rejea ya hali za watumishi wa umma walio wengi katika hii nchi, vipato vyao havikidhi vema maisha yao na pia wana mikopo lukuki kwenye benki mbalimbali.

Sote tutakubaliana kwamba, watumishi wa umma kama ilivyo watanzania wengi, watoto na wategemezi walionao si mmoja au wawili pekee, huenda ni idadi kubwa. Kwa uelewa wangu, hakuna ruzuku yoyote ya ziada ambayo serikali inampa mtumishi wa umma kwa madhumuni ya kusomesha watoto. Aidha kinachotolewa na HELSB ni mkopo wa kuwezesha wasio na uwezo kumudu kusoma elimu ya juu. Inashangaza sana kigezo hiki cha Loan Board kuwaweka kando watumishi wa umma.

Najiuliza watanzania wenzangu, hivi vigezo viliwekwa kumsaidia nani? Na kwanini nchi yetu isiamue kuongeza bajeti ya elimu ili kila muombaji wa mkopo apate?

Chondechonde kama kuna uwezekano wahusika wapitie upya vigezo vyao, tusijikute tumesababisha watoto wa watumishi wa umma wabaki kuishi kwa kuunga-unga huko vyuoni kisa tu mzazi yupo kwenye payroll ya serikali.
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Hicho chuo cha tution fee ni kipi mkuu? Alafu huyu mtoto atakuwa anakula nini, ataendaje chuo? Hilo deni kubwa ni lipi kw mfano mwaka huu boom ni milioni mbili, ada laki nne tufanye jumla ni milioni 3 mara miaka 3 ni M9.

Ok fine weka ma riba atashindwa kurudisha mili milioni kumi na... Akiamua? Turudi kwenye mishahara ya watumishi wa umma ni wangapi wana mshara wa milioni take home? Lakini pia kumbuka pengine huyo aliyeko chuoni si yeye peke yake. Naungana na mtoa hoja hili liangaliwe unapomnyima mkopo mtoto ambaye mzazi anapokea laki 5/7 ukasema ana uwezo si sahihi.

Kwanza ule ni mkopo si hisani kwa nini kuwe na makundi
 
Kama unaweza msomeshe mtoto.

D424323C-A934-4314-BF62-F6D0FD708F90.jpeg

Mwezi ujao namaliza huu upuuzi MMKK. Party nitalofanya sidhani kama litakua la nchi hii.
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Hivi hicho kichwa chako kina ubongo au kimejaa kamasi! Ni watumishi wangapi ambao wana take home ya Shilingi milioni moja kwa asilimia?

Kumbuka huo mshahara ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida nyumbani na hakuna saving!
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Ninavyohangaika nayo ,nikiwa na kiuwezo kidogo sitaki kabisa mwanangu apitie ninayopitia
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Weeeee kuna hadi 1,300,000 hadi 1,800,000 aseeee
 
U
Hicho chuo cha tution fee ni kipi mkuu? Alafu huyu mtoto atakuwa anakula nini, ataendaje chuo? Hilo deni kubwa ni lipi kw mfano mwaka huu boom ni milioni mbili, ada laki nne tufanye jumla ni milioni 3 mara miaka 3 ni M9. Ok fine weka ma riba atashindwa kurudisha mili milioni kumi na... Akiamua? Turudi kwenye mishahara ya watumishi wa umma ni wangapi wana mshara wa milioni take home? Lakini pia kumbuka pengine huyo aliyeko chuoni si yeye peke yake. Naungana na mtoa hoja hili liangaliwe unapomnyima mkopo mtoto ambaye mzazi anapokea laki 5/7 ukasema ana uwezo si sahihi.
Kwanza ule ni mkopo si hisani kwa nini kuwe na makundi
nakuta tution fee ni 1,300,000 ila kuna gharam za chakula malazi vitabu usajili field unatakiwa uwe na 5M sasa uyoo anasemea tution fee sjui anamaanish nn. Sasa utaishije vhuoniiii
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Mtoto akipata mkopo anasoma kwa utulivu zaidi, atalipa akija kupata kipato hapo baadae.

Hayo mambo ya malipo yenye riba pia yanahitaji mjadala bungeni au uraiani. Sisi kama nchi, kama kweli tunajali elimu, kwa nini serikali isitoe ruzuku ili kufuta riba ya mkopo wa elimu?

Ninadhani Elimu kwa raia wa taifa hili bado inahitaji kupewa uzito inaoustahili kama ilivyo huduma zingine za kijamii ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia.
 
Hayo mambo ya kudai mikopo ni ulaji tu watu wamejitengenezea, kimsingi tangu enzi za mwalimu elimu katika vyuo vya umma inatolewa kwa ufadhili wa serikali na siyo mkopo, ni moja ya majukumu ya serikali kutoa elimu kwa raia wake na hivyo bajeti kwa ajili ya ufadhili wa wanafunzi walioko kwenye vyuo vya umma inatengwa na serikali na miaka yote wizara imekuwa inatoa ufadhili huo...........sasa wasitufanye hatujui kuhusu hili.
 
Mikopo ya HESLB ni mibaya. Iepuke kama ukoma kama una uwezo wa kufanya hivyo.

Tatizo la wabongo ni kama kenge yaani hawasikiii wala hawaoni.

Vyuo vya serikali Tuition fee in range kuanzia Tsh 800,000-Tsh 1,200,000 kwa mwaka. Na zinalipwa kwa semester.

Kama una mzazi mtumishi anashindalwaje kukulipia pesa hiyo.

Jamani pesa ya Bodi siyo RUZUKU siku ukianza kuilipa ndio UTAJUA HUJUI yaani.
Vyuo gani hivyo..huko muhas wanalipa 1.8m

Anyway hoja yako ni nzuri..mikopo ya kuepuka sana..kama mzazi ana uwezo asithubutu kumruhusu kijana wake aingie huu mkenge.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao HESLB sio binadamu wa kawaida. Wamewanyima yatima na wengine kutoka kaya maskini tena wenye utambulisho wa Tasaf . Lengo lao sijajua ni nini
 
Hayo mambo ya kudai mikopo ni ulaji tu watu wamejitengenezea, kimsingi tangu enzi za mwalimu elimu katika vyuo vya umma inatolewa kwa ufadhili wa serikali na siyo mkopo, ni moja ya majukumu ya serikali kutoa elimu kwa raia wake na hivyo bajeti kwa ajili ya ufadhili wa wanafunzi walioko kwenye vyuo vya umma inatengwa na serikali na miaka yote wizara imekuwa inatoa ufadhili huo...........sasa wasitufanye hatujui kuhusu hili.
Baadhi yao wananyanyasa wenzao lakini nao walisomeshwa serikali
Bado wanatumia nyumba za serikali,magari ya serikali,walinzi wa serikali,chakula cha serikali,maji ya serikali na wengine hata luku hawalipi ila ndio wanaona wapo mbinguni
 
Waoneeni huruma basi watoto wa masikini, yaani baba yako anafanya kazi serikalini atashindwa kweli kukulipia 3M kwa mwaka tena kidogokidogo, ada 1,200,000 matumizi mengine kama kula, hostel/chumba n.k 1,800,000.

Kama una uwezo wa kusomeshwa na mzazi achana na mikopo. Waachie wanaostahili mbuzi weusi nyie!!
 
Baadhi yao wananyanyasa wenzao lakini nao walisomeshwa serikali
Bado wanatumia nyumba za serikali,magari ya serikali,walinzi wa serikali,chakula cha serikali,maji ya serikali na wengine hata luku hawalipi ila ndio wanaona wapo mbinguni
Kuanzisha bodi ya mikopo ni ujanja wa serikali kukwepa uwajibikaji kwenye kutoa elimu kwa raia wake, serikali haiwezi kusema inatoa mikopo kusomesha wanafunzi kwenye vyuo au taasisi za umma badala ya kutenga bajeti kufadhili elimu kwenye vyuo na taasisi zake.........huu ni ukwepaji wa majukumu ya serikali ambao unatakiwa usemwe wazi.
 
Kuanzisha bodi ya mikopo ni ujanja wa serikali kukwepa uwajibikaji kwenye kutoa elimu kwa raia wake, serikali haiwezi kusema inatoa mikopo kusomesha wanafunzi kwenye vyuo au taasisi za umma badala ya kutenga bajeti kufadhili elimu kwenye vyuo na taasisi zake.........huu ni ukwepaji wa majukumu ya serikali ambao unatakiwa usemwe wazi.
Sijui kama watakuelewa
 
Nilishasema humu kuwa, iyo bodi ya mikopo imejikita kibiashara zaid kulko kuhudumia jamii.

Ndiomaana huduma hiyo haiwalengi wahitaji ambao ni mayatima, masikini na wasio na uwezo,

Hiyo bodi haina utofaut na mabenki ambayo ili ukopesheke basi inatakiwa uwe na dhamana ya Mali zako& uwezo wa ajira ya kuaminika, or otherwise utasugua goti kwa machozi na hutopata hata sent-moja.

Bodi ya mikopo ni hovyo Sana, inahitaji marekebisho makubwa Sana ili ifanye kazi nzuri.

Ttzo ni pale hii bodi inapofunga ndoa na wanasiasa kuifanya kuwa sehem ya wao kujipatia Kiki za kiasa na sifa za kipuuzi ndyo hayo matokeo unayaona wanaforce tuwaone wametoa mikopo kwa wanafunzi wengi, kumbe walichofanya ni equal to zero, yani wameharibu kabsa...
 
Back
Top Bottom