CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

Kama Jiwe angekuwa hai leo hii tungekuwa tunasikia mapambio tu kwenye report ya CAG, sifa za miradi zingetawala kwa jinsi gani imetekelezwa kwa ufanisi mkuu bila upotevu wa fedha.
Pengine wiki ijayo ATCL kwa mapana kabisa ingewasilisha gawio la faida kwa serikali. Binadamu tumeumbiwa unafiki, wale wale waliogundua mapungufu katika yale yaliyofanywa na serikali ya Jiwe ndio hao hao waliokuwa wanapongeza kuwa miradi yote ilikuwa ni yenye tija kwa nchi.
 
Mojawapo na solution ni ujenzi wa njia Mbezi shule mpaka Bunju via mabwepande ili mabus yote yaendayo kaskazini yapite hapo bila kurudi Morogoro road,

Pili njia ya Kibamba mpiji Magoe makabe njia panda ya Goba hii itakuwa Kama Mbezi bypass.

Lakini pia kutoka mloganzira kwenda kisarawe au kinyerezi hizi ziwe Kama bypass au ring road na mwisho ujunzi wa daraja mbezi
Kama rahisi vile
 
Wakaodoti na Chato intanesheno eapoti, na hospitali ya kikanda ya chato.



Zote mayanga
 
Back
Top Bottom