TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,515
- 11,277
Ndugai aliyekuwa kinara Wa kumuongozea muda tayari naye keshamgeuka.Kila kona madudu. Alafu kulikuwa na hoja ya kuongezewa muda
Ndugai aliyekuwa kinara Wa kumuongozea muda tayari naye keshamgeuka.Kila kona madudu. Alafu kulikuwa na hoja ya kuongezewa muda
NimemshtukiaHuyu CAG atakuwa katumwa na MABEBERU😲😲
Umesahau na sekta moja ya kujishauri mwenyewe na kujua kila kitu.Mwenda zaek mwanasayansi, injinia, shemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
Na saizi hajui afiche wapi sura yake.Ndugai aliyekuwa kinara Wa kumuongozea muda tayari naye keshamgeuka.
Angalia jinga hili hata halijielewi lishabebwa na upepo!!??
swala la foleni ni swala la CAG!!???
Kama rahisi vileMojawapo na solution ni ujenzi wa njia Mbezi shule mpaka Bunju via mabwepande ili mabus yote yaendayo kaskazini yapite hapo bila kurudi Morogoro road,
Pili njia ya Kibamba mpiji Magoe makabe njia panda ya Goba hii itakuwa Kama Mbezi bypass.
Lakini pia kutoka mloganzira kwenda kisarawe au kinyerezi hizi ziwe Kama bypass au ring road na mwisho ujunzi wa daraja mbezi
Mm langu gumu nigeuzie lako lain nijiliwazeTuliza tako mama madudu yameanza kuonekana utakufa kwa pressure
Mwendazake alibarikiwa vipaji vingi sana, he was a super human being😅Umesahau na sekta moja ya kujishauri mwenyewe na kujua kila kitu.
Kuna namna ana overlook his authorities kiherehere sana mchiziHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Hesabu pamoja na uhalali wake wa kutumika hizo fedhaHivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Ana lake jambo 😂😂😂Huyu CAG atakuwa katumwa na MABEBERU😲😲