kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,342
- 6,495
Nafikiri wewe ndio umejaza funza kichwani, sababu huna uwezo wa kumwelewesha mtu kwa staha pale unapoona amatoa hoja lakini kuna kitu cha kisheria hakifamu.Stendi za daladala huwa zinakengwa nje ya hifadhi ya barabara? Hivi huwa mnapata faida gani hasa pale mnapotoa ubongo kichwani na kujaza funza?