Hata ikifanyika reshuffle wataletwa waovu kuliko waliotoka,CCM ni genge la mafisadi wanazidiana viwango tu.Baadhi ya Mawaziri wajiandae na reshuffle baada ya ripoti hii.
Kuna nyepesi nyepesi kuhusu hilo nimeinyaka sehemu.
All in all watabadirishiwa Wizara tu ila wataendelea na kazi
sasa hua mnashangilia nini?Mwendazake alishaanzisha ujenzi huwezi achia njiani ni hasara mara 2.
Kwa mfano hayo mandege yalishawekewa oda na advance payments zililiowa huwezi kughairi utashitakiwa.
Upuuzi wote huu umeletwa na Mwendazake.
Lakini wewe ni CCM dam damMnakumbuka nilisema ni upumbavu kutumia Trilioni 27 kujenga reli na kununua ndege wakati ni mamiradi yasiyo na maana?
Hiyo ni Mwanzo tuu subiria SGR mtapata majibu
Kuwa ccm dam dam ndio kukubaliana na Kila kitu?Lakini wewe ni CCM dam dam
Angalau miezi hii miwili umeanza kuona loophole zilizopo serikalini chini ya CCM.. tofaut na yule Mwashambwa yeye ni kusifu na kuabudu kila Kitu.Kuwa ccm dam dam ndio kukubaliana na Kila kitu?
Hakuna cha maana hata ikionekana hela zote za hazina zimechukuliwa
Nashauri Ile taarifa ya Mkaguzi wa ndani ndio iwe inawasishwa Bungeni,Bunge la mwezi Sept au wa kumi,hii Iko more current na uzuri mmoja haitofautiani sana na hii ya CAG ambayo inatolewa baada ya miaka miwili 2022/2023inatolewa 2023/2024Hamnaga hata maana ya hizo ripoti, wala kuzitangaza....kama ni utaratibu wa kazi CAG aandae tu ampe boda apekele. Haya matangazo hayana tija.
Kwa hiyo unaona wivu. Ulitaka alale na mama yako ? Kwani mkeo ana mvutoMagufuli atakuwa alilala na Mkeo au Mama yako. Hii siyo kawaida, huu ni ugonjwa. Hata Mdude alietekwa na kuteswa anaona bora katili Magufuli kuliko huyu wa kurembua.