cacico am sorry...............ma sweetheart.

cacico am sorry...............ma sweetheart.

thanks for accepting my apology ma sweetheart, najua it was difficult na naumia sana nikikumbuka but our good lord huwa hashindwi my true friend we are just going to pray for the rest. Asprin sikusomi kabisa leo lakini kiupekee kabisa naomba niutambue mchango wa platozoom, PakaJimmy charming gal Kipipi ingawa alinigongelea misumari mito asante sana kaka mkubwa princess enny i can feel your empathy rutta ma true brother i love you and wote wale ambao wamenisaidia sana katika kufanikisha msamaha wangu kukubaliwa. Nina waahidi kwamba sitowaangusha kamwe nitakuwa rafiki mwema sana.

Thanks ma true friend cacico, i love you ma swrheart. am with you in prayers ma dear.
gfsonwin Lete Mlisho-Nyuma/Feedback, maendeleo ya mahusiano yenu kwa sasa!..isije ikawa ni nguvu ya soda!..
Nimjuavyo mimi cacico (kumbuka ni mwanangu wa kufikia) ni kwamba mama yake akichelewesha lunch huwa anasahau misamaha yote aliyowapa marafiki na ndugu na jamaa wote, anageuka mbogo ghafla!...ana njaa huyo mtoto, sijui ni njaa ya ukoo wa babu yao!
Wakati akiwa mdogo alimtesa sana mama yake, ikabidi mama yake amwombe mke wangu ili mwanae cacico awe ananyonya na kwa mke wangu ili at least ashibe!!(maana mamake cacico na mke wangu walizaaga msimu mmoja), na ndiyo maana ya cacico kuwa mwanangu wa kufikia.
 
Hii nmeipenda ,yani cacico ana ID nyinge alafu et naye anacoment kwenye hii post,tena ametaja cjui uende kuomba msamaha na .....,,alafu ndo utasamehewa.et uciende mikono mitupu.
 
gfsonwin Lete Mlisho-Nyuma/Feedback, maendeleo ya mahusiano yenu kwa sasa!..isije ikawa ni nguvu ya soda!..
Nimjuavyo mimi cacico (kumbuka ni mwanangu wa kufikia) ni kwamba mama yake akichelewesha lunch huwa anasahau misamaha yote aliyowapa marafiki na ndugu na jamaa wote, anageuka mbogo ghafla!...ana njaa huyo mtoto, sijui ni njaa ya ukoo wa babu yao!
Wakati akiwa mdogo alimtesa sana mama yake, ikabidi mama yake amwombe mke wangu ili mwanae cacico awe ananyonya na kwa mke wangu ili at least ashibe!!(maana mamake cacico na mke wangu walizaaga msimu mmoja), na ndiyo maana ya cacico kuwa mwanangu wa kufikia.
PakaJimmy babangu wa kufikia, heshima yako kwanza! yote yaliyonipata nimesamehe, na maisha yaendelea! vipi mamangu hajambo?
 
Last edited by a moderator:
PakaJimmy babangu wa kufikia, heshima yako kwanza! yote yaliyonipata nimesamehe, na maisha yaendelea! vipi mamangu hajambo?
Mamako analia tu jinsi ulivyomsusa tangu mwakajana!...anasema eti ile SOSO uliyomleteaga imeshaisha!
Mimi nikitaka kumnunulia anakataa, anataka wewe tu!...sijui ulimpaga nini mamako mwanangu!..huh!
 
Mamako analia tu jinsi ulivyomsusa tangu mwakajana!...anasema eti ile SOSO uliyomleteaga imeshaisha!
Mimi nikitaka kumnunulia anakataa, anataka wewe tu!...sijui ulimpaga nini mamako mwanangu!..huh!
hiyo ndio bond kati ya mama na mwanaye, huwezi ielewa, ni MUUMBA PEKEE JUU AJUAYE! sijamsusa nitakuja rasmi weekend hii, mjulishe mwambie mzazi mwenzie pia yu agonjeka! inshaallah MWENYEZI MUNGU ATAMPA WEPESI!
 
hiyo ndio bond kati ya mama na mwanaye, huwezi ielewa, ni MUUMBA PEKEE JUU AJUAYE! sijamsusa nitakuja rasmi weekend hii, mjulishe mwambie mzazi mwenzie pia yu agonjeka! inshaallah MWENYEZI MUNGU ATAMPA WEPESI!
Ok cacico Msalimie sana mama aisee! Ukiona M-PESA yoyote inaingia toka sasa ujue ni mimi, hizo hela umpelekee mama aende Hindu Mandal, amwone daktari mmoja anaitwa Malik, hakika atapata nafuu, na ataendelea na Fantashiru zake!
 
Last edited by a moderator:
Unajua haka kademu ambako nimekapandisha cheo na kukabatiza cheo cha u-wife kananificha sana baadhi ya ndugu zake? Au kameolewa na njemba nyingine?
leo nimekuwa ka-, wakati chumbani mi ni 'my' haya bana! sina neno. ulimwengu utakufunza maana halisi ya mfyonzo na wafyonzaji!
 
Ok cacico Msalimie sana mama aisee! Ukiona M-PESA yoyote inaingia toka sasa ujue ni mimi, hizo hela umpelekee mama aende Hindu Mandal, amwone daktari mmoja anaitwa Malik, hakika atapata nafuu, na ataendelea na Fantashiru zake!
inshaallah baba, zimefika! salamu pia kwa wadogo zangu! huyu mkweo Asprin samehe tu, sikuwa na jinsi ikabidi niolewe uke wenza! nahitaji sana maombi yako kwenye ndoa hii, lol!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom