Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Khaaa!:spy:leo nimekuwa ka-, wakati chumbani mi ni 'my' haya bana! sina neno. ulimwengu utakufunza maana halisi ya mfyonzo na wafyonzaji!
Khaaa!:spy:leo nimekuwa ka-, wakati chumbani mi ni 'my' haya bana! sina neno. ulimwengu utakufunza maana halisi ya mfyonzo na wafyonzaji!
aiseeee!Khaaa!:spy:
Ok cacico Msalimie sana mama aisee! Ukiona M-PESA yoyote inaingia toka sasa ujue ni mimi, hizo hela umpelekee mama aende Hindu Mandal, amwone daktari mmoja anaitwa Malik, hakika atapata nafuu, na ataendelea na Fantashiru zake!
Unavyopenda hela, sijui kama hii itafika.inshaallah baba, zimefika! salamu pia kwa wadogo zangu! huyu mkweo Asprin samehe tu, sikuwa na jinsi ikabidi niolewe uke wenza! nahitaji sana maombi yako kwenye ndoa hii, lol!
Kwishney...........!!aiseeee!
Ok cacico Msalimie sana mama aisee! Ukiona M-PESA yoyote inaingia toka sasa ujue ni mimi, hizo hela umpelekee mama aende Hindu Mandal, amwone daktari mmoja anaitwa Malik, hakika atapata nafuu, na ataendelea na Fantashiru zake!
inshaallah baba, zimefika! salamu pia kwa wadogo zangu! huyu mkweo Asprin samehe tu, sikuwa na jinsi ikabidi niolewe uke wenza! nahitaji sana maombi yako kwenye ndoa hii, lol!
Tobaaaa!!!!!cacico ikiingia useme, maana huyu mbishi mno!
vijiti mujini kupokezana! Sema huyu babangu, hakuna lililoharibika! Khaaaaaaa hubby mbona wivu?tobaaaa!!!!!
hubby, hujanimith?Kwishney...........!!
gfsonwin Lete Mlisho-Nyuma/Feedback, maendeleo ya mahusiano yenu kwa sasa!..isije ikawa ni nguvu ya soda!..
Nimjuavyo mimi cacico (kumbuka ni mwanangu wa kufikia) ni kwamba mama yake akichelewesha lunch huwa anasahau misamaha yote aliyowapa marafiki na ndugu na jamaa wote, anageuka mbogo ghafla!...ana njaa huyo mtoto, sijui ni njaa ya ukoo wa babu yao!
Wakati akiwa mdogo alimtesa sana mama yake, ikabidi mama yake amwombe mke wangu ili mwanae cacico awe ananyonya na kwa mke wangu ili at least ashibe!!(maana mamake cacico na mke wangu walizaaga msimu mmoja), na ndiyo maana ya cacico kuwa mwanangu wa kufikia.
Nisamehe kwa kuchelewa kuja kukusaidia kuomba msamaha gfsonwin .......namjua cacico vizuri hope ameshakusamehe kwa moyo wake wote......hii ramadhani inanifanya niwe busy kiasi chake lol
gfsonwin mie pia najipanga nitafute wazee waje na mbege kuniombea msamaha kwako.......unajua vile namaanisha kutoka uvunguni mwa moyo wangu!..... :busu
Mimi penda wewe sana ila nikicheki majukumu yananiandama!
Najaribu kuyatizama hayo maneno kwenye red
Nimekumiss sana wewe mkaka ndio mana leo nimeganda tu hapa nasubiri ulog in angalau niuone mwandiko wako!
Hapo red usijali sana .....mie wala sitashika hiyo mbege.....watashika hao wazee na hii ni kwa mujibu wa kabila la gfsonwin bila mbege sitasamehewa!
Nashukuru kwa kusikia sauti yako.......!
I love ou more my next of kin!! mmwaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!@pincess enny ma true blood sister i love you darling
Nisamehe kwa kuchelewa kuja kukusaidia kuomba msamaha gfsonwin .......namjua cacico vizuri hope ameshakusamehe kwa moyo wake wote......hii ramadhani inanifanya niwe busy kiasi chake lol
gfsonwin mie pia najipanga nitafute wazee waje na mbege kuniombea msamaha kwako.......unajua vile namaanisha kutoka uvunguni mwa moyo wangu!..... :busu
Mimi penda wewe sana ila nikicheki majukumu yananiandama!